Leo mtandao wa Mwanahalisi umemnukuu Dr. Wilbroad Peter Silaa akisema kwamba wananchi wanaosema kuwa 'Mbowe sio Gaidi' wanamkera Sana kwani hawapaswi kusema hivyo Ila waiachie Mahakama!
Hakusoma lolote kuhusu wale wananchi wengine ambao wao Kutwa kucha wanasema Kinyume chake yaani wanasema kuwa 'Mbowe NI Gaidi' .... hakutaka kuwakemea hao Bali anakemea kundi linalosema Kinyume na Hilo.
Mwambieni Dr Slaa akasome Katiba ya nchi, ibara 13 (6), (b) inayopiga MARUFUKU mtu anayeshtakiwa kutenda 'KOSA' fulani kuhesabika kuwa ana HATIA mpaka pale mahakama itakapotamka. Wananchi HAWAKOSEI wanaposema #MboweSioGaidi na si kuingilia UHURU wa mahakama kama yeye anavyodhani!
Yeye na wenzake ambao wanaona kuwa 'Mbowe NI Gaidi' ndio wanaingilia Uhuru wa Mahakama! Waiachie Mahakama kwani Katiba yetu imeweka wazi na bayana kuhusu MTU kutuhumiwa Kwa kosa Fulani sio kwamba amelitenda kosa Hilo na anahesabiwa Hana Hatia mpaka itakapothibitika Mahakamani.
Dr. Slaa tusimchukulie kuwa ameropokwa la hasha! Huyu amekuja kupima kina cha maji, ametumwa kuandaa UMMA Kisaikolojia, anapima kauli yake itapokelewa vipi na UMMA, anajaribu kuonyesha upande wa mashitaka wanayo hukumu ya Aina gani kabla hata ya kusikiliza utetezi wanajitetea vipi na Kwa ushahidi gani.
Wengine wanafikiria kuwa Dr. Slaa ana msongo wa mawazo kutokana na Mambo ambayo anayapitia sasa kwenye Maisha yake! Huenda ikawa kweli lakini Kwa jinsi nilivyomsikiliza na kumtazama unaona kabisa dimina yake inakuonyesha amamaanisha kitu gani! Asipuizwe Kwa alichokifanya kwani anajua anafanya nini na Kwa malengo gani!
Kuna siku ntakuja kumfunua alivyo, na matendo yake maovu ya Muda mrefu, hamtaamini kuwa huyu ni Yule Dr. Slaa au NI MTU Mwingine anafananishwa Naye kwani sio msafi kama mnavyomfikiria!
Sio muaminifu kwenye ndoa, pesa, kiapo na Pia sio muaminifu Kwa watu wake anaowaongoza au anaofanya nao KAZI!
Hakusoma lolote kuhusu wale wananchi wengine ambao wao Kutwa kucha wanasema Kinyume chake yaani wanasema kuwa 'Mbowe NI Gaidi' .... hakutaka kuwakemea hao Bali anakemea kundi linalosema Kinyume na Hilo.
Mwambieni Dr Slaa akasome Katiba ya nchi, ibara 13 (6), (b) inayopiga MARUFUKU mtu anayeshtakiwa kutenda 'KOSA' fulani kuhesabika kuwa ana HATIA mpaka pale mahakama itakapotamka. Wananchi HAWAKOSEI wanaposema #MboweSioGaidi na si kuingilia UHURU wa mahakama kama yeye anavyodhani!
Yeye na wenzake ambao wanaona kuwa 'Mbowe NI Gaidi' ndio wanaingilia Uhuru wa Mahakama! Waiachie Mahakama kwani Katiba yetu imeweka wazi na bayana kuhusu MTU kutuhumiwa Kwa kosa Fulani sio kwamba amelitenda kosa Hilo na anahesabiwa Hana Hatia mpaka itakapothibitika Mahakamani.
Dr. Slaa tusimchukulie kuwa ameropokwa la hasha! Huyu amekuja kupima kina cha maji, ametumwa kuandaa UMMA Kisaikolojia, anapima kauli yake itapokelewa vipi na UMMA, anajaribu kuonyesha upande wa mashitaka wanayo hukumu ya Aina gani kabla hata ya kusikiliza utetezi wanajitetea vipi na Kwa ushahidi gani.
Wengine wanafikiria kuwa Dr. Slaa ana msongo wa mawazo kutokana na Mambo ambayo anayapitia sasa kwenye Maisha yake! Huenda ikawa kweli lakini Kwa jinsi nilivyomsikiliza na kumtazama unaona kabisa dimina yake inakuonyesha amamaanisha kitu gani! Asipuizwe Kwa alichokifanya kwani anajua anafanya nini na Kwa malengo gani!
Kuna siku ntakuja kumfunua alivyo, na matendo yake maovu ya Muda mrefu, hamtaamini kuwa huyu ni Yule Dr. Slaa au NI MTU Mwingine anafananishwa Naye kwani sio msafi kama mnavyomfikiria!
Sio muaminifu kwenye ndoa, pesa, kiapo na Pia sio muaminifu Kwa watu wake anaowaongoza au anaofanya nao KAZI!