Dkt. Slaa amesahau Katiba au anapotosha makusudi?

Dkt. Slaa amesahau Katiba au anapotosha makusudi?

Yaani niwe na stress kwamba Babu Slaa ambaye amepoteza mwelekeo na anajisemea vya moyoni na sio vya akilini?

Ogopa Sana MTU anaongozwa kufanya uamuzi Kwa kutii moyo na tumbo badala ya akili!

Slaa ana stress za kumtosha .......
Akili inahitaji kulishwa kama hujui. Dr Slaa is right, yeye hajaegemea upande wowote. Siyo nyie mnaotaka kujifanya majaji wakati ana kesi ya kujibu.
 
Mbona naona wewe ndio unamwekea maneno mdomoni, mahaba yako kwa Mbowe yamekupofusha, ikiwa si gaidi au ni gaidi tuiache mahakama itoe uamuzi wake hilo ndio muhimu kwa sasa. Kubali kutokukubaliana itakupungizia stress.

Lakini katiba ipo wazi mtuhumiwa hata chukuliwa hatiani mpaka mahakama imthibitishe. Ndio maana CHADEMA wanadai sio gaidi maana mahakama haijatoa maamuzi.
 
Kuna siku ntakuja kumfunua alivyo, na matendo yake maovu ya Muda mrefu, hamtaamini kuwa huyu ni Yule Dr.Slaa au NI MTU Mwingine anafananishwa Naye kwani sio msafi kama mnavyomfikiria !

Sio muaminifu kwenye ndoa,pesa ,kiapo,na Pia sio muaminifu Kwa watu wake anaowaongoza au anaofanya nao KAZI!
Huyu ni mbadhirifu sana hasa kipindi kile yupo kamati ya bunge inayosimamia serikali za mitaa sijui na Halmashauri. Ni mwizi mno.
 
Akili inahitaji kulishwa kama hujui. Dr Slaa is right, yeye hajaegemea upande wowote. Siyo nyie mnaotaka kujifanya majaji wakati ana kesi ya kujibu.

Unaweza kumwita mtu gaidi wakati mahakama haijamthibitisha?. Au hakuna kitendo Cha kigaidi kilichofanyika?. Siasa imetuadhiri mpaka uongo tunauita ukweli. Ukitaka ugaidi nenda Somalia kaulize au nenda Westgate kaulize. Tanzania hakuna ugaidi.
 
FB_IMG_1646105812962.jpg
 
Bora aliondoka CHADEMA, Leo karma inamtafuna. Kuiacha familia na kubeba make wa mtu na mwisho kukiacha chama kilichokuheshimu na kumfata mwamke. Sasa leo dunia imemgeuka, CHADEMA hawana muda nae na familia haina muda nae.
 
Ni kwa sababu upeo wako wa aki ndipo ulipofikia basi ngoja ninyamaze maana sijui unafikiri kwa kutumia kichwa kipi!
Unaweza kumwita mtu gaidi wakati mahakama haijamthibitisha?. Au hakuna kitendo Cha kigaidi kilichofanyika?. Siasa imetuadhiri mpaka uongo tunauita ukweli. Ukitaka ugaidi nenda Somalia kaulize au nenda Westgate kaulize. Tanzania hakuna ugaidi.
 
Heshima yake yoooote imebakia historia tu huyo Mzee
 
Leo mtandao wa Mwanahalisi umemnukuu Dr. Wilbroad Peter Silaa akisema kwamba wananchi wanaosema kuwa 'Mbowe sio Gaidi' wanamkera Sana kwani hawapaswi kusema hivyo Ila waiachie Mahakama!

Hakusoma lolote kuhusu wale wananchi wengine ambao wao Kutwa kucha wanasema Kinyume chake yaani wanasema kuwa 'Mbowe NI Gaidi' .... hakutaka kuwakemea hao Bali anakemea kundi linalosema Kinyume na Hilo.

Mwambieni Dr Slaa akasome Katiba ya nchi, ibara 13 (6), (b) inayopiga MARUFUKU mtu anayeshtakiwa kutenda 'KOSA' fulani kuhesabika kuwa ana HATIA mpaka pale mahakama itakapotamka. Wananchi HAWAKOSEI wanaposema #MboweSioGaidi na si kuingilia UHURU wa mahakama kama yeye anavyodhani!

Yeye na wenzake ambao wanaona kuwa 'Mbowe NI Gaidi' ndio wanaingilia Uhuru wa Mahakama! Waiachie Mahakama kwani Katiba yetu imeweka wazi na bayana kuhusu MTU kutuhumiwa Kwa kosa Fulani sio kwamba amelitenda kosa Hilo na anahesabiwa Hana Hatia mpaka itakapothibitika Mahakamani.

Dr. Slaa tusimchukulie kuwa ameropokwa la hasha! Huyu amekuja kupima kina cha maji, ametumwa kuandaa UMMA Kisaikolojia, anapima kauli yake itapokelewa vipi na UMMA, anajaribu kuonyesha upande wa mashitaka wanayo hukumu ya Aina gani kabla hata ya kusikiliza utetezi wanajitetea vipi na Kwa ushahidi gani.

Wengine wanafikiria kuwa Dr. Slaa ana msongo wa mawazo kutokana na Mambo ambayo anayapitia sasa kwenye Maisha yake! Huenda ikawa kweli lakini Kwa jinsi nilivyomsikiliza na kumtazama unaona kabisa dimina yake inakuonyesha amamaanisha kitu gani! Asipuizwe Kwa alichokifanya kwani anajua anafanya nini na Kwa malengo gani!

Kuna siku ntakuja kumfunua alivyo, na matendo yake maovu ya Muda mrefu, hamtaamini kuwa huyu ni Yule Dr. Slaa au NI MTU Mwingine anafananishwa Naye kwani sio msafi kama mnavyomfikiria!

Sio muaminifu kwenye ndoa, pesa, kiapo na Pia sio muaminifu Kwa watu wake anaowaongoza au anaofanya nao KAZI!
Hiyu mtu hajawahi kabisa kuwa muaminifu katika viapo vyote alivyowahi kuapa ama nadhiri alizowahi kuweka. Alivunja kiapo cha useja na kile cha upadri, akavunja nadhiri yake ya uanachama wa CCM, akakimbilia upinzani, hakudumu akavunja nadhiri ya uanachama na kiuongozi wa CDM! Amewasaliti wapenda madiliko ya kweli kwa vipande vya shilingi!

Si ajabu kwake kumsaliti yule mtu aliyekuwa naye karibu kiuongozi, mtu ambaye alimuamini na hata kumpa nafasi ya juu ya Katibu Mkuu wa chama. Mtu ambaye alimsaidia katika shida na raha, pale alipokuwa upande wa wapenda mabadiliko ya kweli hapa nchi.

Slaa, Slaa, Slaa! Nimekuita mara tatu, nafikiri unapaswa kukaa kimya na ikiwezena ukwepe kuzungumza baadhi ya masuala yanayoendelea hapa nchi. Umri wako umefikia kiwango cha kuongozwa na hekima na busara, wala si kuwa mtu mropokaji na mwenye kuukwepa ukweli.

Kwepa kuzungumzia dhuluma ama hujuma dhidi ya utu wa kibinadamu ama demokrasia hapa nchini. Kwepa kuishi maisha ya kuchumia tumbo ili tu upate kuufurahisha upande wa watu waovu, wauaji, dhalimu na pia wenye roho mbaya.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Yaani niwe na stress kwamba Babu Slaa ambaye amepoteza mwelekeo na anajisemea vya moyoni na sio vya akilini?

Ogopa Sana MTU anaongozwa kufanya uamuzi Kwa kutii moyo na tumbo badala ya akili!

Slaa ana stress za kumtosha .......
Kama hajawakamata mbona mnaporomoka humu bila breki?

Yule anamjua Mbowe kuliko nyinyi mnaobofya bofya simu kumtukana.

Amewahi kuwa kiongozi mkuu wa chama hivyo anajua mipango mingi ya gizani kuliko sisi tunaoandika andika humu.

Tatizo Chadema mko kama nyumbu mnakariri sana mahaba ya chama kuliko uhalisia.
 
Lakini katiba ipo wazi mtuhumiwa hata chukuliwa hatiani mpaka mahakama imthibitishe. Ndio maana CHADEMA wanadai sio gaidi maana mahakama haijatoa maamuzi.
The biggest problem we have tunaamini na kulazimisha tunachowaza badala ya kuacha fact iamue. In court of law fact and evidence will set anyone free or find guilt including our brother Mbowe. Since we started shouting kuna nini kimebadilika? Ukisukuma ukuta unajichosha walau sukuma kinachosukumika... utaona kuna dalili kina move au la.
 
Lakini katiba ipo wazi mtuhumiwa hata chukuliwa hatiani mpaka mahakama imthibitishe. Ndio maana CHADEMA wanadai sio gaidi maana mahakama haijatoa maamuzi.
Kwa nini unaingalia katiba upande mmoja tu... kwa nini unazuia haki ya mtu mwingine kutoa maoni yake? Ikiwa we unaamini sio gaidi kwa nini unashindwa kuelewa wengine wanamwona gaidi... ndio maana tunasema both should be patient until court judge otherwise.
 
The biggest problem we have tunaamini na kulazimisha tunachowaza badala ya kuacha fact iamue. In court of law fact and evidence will set anyone free or find guilt including our brother Mbowe. Since we started shouting kuna nini kimebadilika? Ukisukuma ukuta unajichosha walau sukuma kinachosukumika... utaona kuna dalili kina move au la.
Angekuwa dingi ako yupo magereza wewe sister usingeongea huu ujinga wako
 
Asipoendelea kusifu na kuabudu kisiasa atakua keshajichinja mazima. Acheni bwana mihogo atafute ugali wake angalau abadili menyu.
 
Angekuwa dingi ako yupo magereza wewe sister usingeongea huu ujinga wako
Hiyo ni kutenda kwa kufuata kihisia and assumption and leave the fact behind ... to me hata ungekuwa wewe ni mke wangu na unatuhumiwa ugaidi bado ningeandika the same.
 
Si tunaambiwa kwamba Mbowe ndiye aliyemjengea nyumba Slaa hadi akamkabidhi funguo zake. Wanasema fadhila mpe mbuzi kwa binadamu atakupa maudhi.

Slaa ni bogus, ajishughulishe na mambo yake aachane na mambo ya Mbowe, yeye aongelee tu mambo ya huko ccm walikofikiana bei.
Wakati anatoka CDM, Josephine alikuwa kaiweka nyumba hiyo 'rehani' kwenye biashara zake. Dr Slaa alikuja fahamu wakati nyumba yataka kupigwa mnada ili kulipa deni la Tshs 350,000,000/-, ambalo 'yaonekana' kuwa lilipikwa. Dr Mwakyembe, kwa upendo mkubwa wa CCM 'alililipa' deni hilo na PIA akamwandalia press conference, akiaminishwa kuwa kuondoka kwake kutaivuruga CDM, akaishia kuvurugika yeye.
 
Akili inahitaji kulishwa kama hujui. Dr Slaa is right, yeye hajaegemea upande wowote. Siyo nyie mnaotaka kujifanya majaji wakati ana kesi ya kujibu.
Kwa hiyo wewe na Dr Slaa msioegemea 'kokote' mwasemaje kuhusu wale akina Zero waliyoongea na BBC ?
 
Back
Top Bottom