Ubalozi uliondoka pamoja na mwendazakeKwani ubalozi alishatolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubalozi uliondoka pamoja na mwendazakeKwani ubalozi alishatolewa?
Ndio maana akastukiwaHuyu babu hakuwa mpinzani alikuwa ni pandikizi
Nasikia mushumbusi kamkimbiaAkibanwa na mavi ndio huongea ujinga ujinga. Yaani mtu aseme Mbowe sio gaidi yeye anakasirika ebo... so anataka watu waseme Mbowe ni gaidi? upumbavu wake ampelekee Josephine. Hao waliomshitaki Mbowe ndio awakasirikie. Mwambieni afikirie kabla hajaongea.
At that age? Just imagine....! Si astaafu tu kama wengine?Anasubiri uteuzi as DC? Mbona kituko
Bado ana hasira sn na CHADEMANdio maana akastukiwa
We dada ni mbeya snHiyo ni kutenda kwa kufuata kihisia and assumption and leave the fact behind ... to me hata ungekuwa wewe ni mke wangu na unatuhumiwa ugaidi bado ningeandika the same.
Lowasa hana dhiki za kijinga jinga. Anakula mshahara asilimia 80 ya PM wa sasa.Lowassa yeye anasemaje?
Eti ndio angekuwa Rais wa Tanzania kama ule uchaguzi angeibuka kidedea. Mmmmmm, CHADEMA msilifanye kosa hilo tena, kwa maana al manusura mlirudie kwa Lowasa na sasa mnataka kulifanya kwa LISSU. Kweli CHADEMA hamjifunzi kutokana na makosa.Huyu mzee ni kichefuchefu na kifaduro tupu, anasema mahakama iachwe iamue na hapo hapo ana imply vinginevyo ni jambo la ajabu sana, watu wa namna hii sijui ni kwa nini wasiitwe mbele za haki. Mungu ni wa wakosaji na kama Slaa ni mkamilifu wa kuwashambuliwa watotoa maoni, basi na yeye huko juu, dishi limeyumba.
njaa mbaya sanaLeo mtandao wa Mwanahalisi umemnukuu Dr. Wilbroad Peter Silaa akisema kwamba wananchi wanaosema kuwa 'Mbowe sio Gaidi' wanamkera Sana kwani hawapaswi kusema hivyo Ila waiachie Mahakama!
Hakusoma lolote kuhusu wale wananchi wengine ambao wao Kutwa kucha wanasema Kinyume chake yaani wanasema kuwa 'Mbowe NI Gaidi' .... hakutaka kuwakemea hao Bali anakemea kundi linalosema Kinyume na Hilo.
Mwambieni Dr Slaa akasome Katiba ya nchi, ibara 13 (6), (b) inayopiga MARUFUKU mtu anayeshtakiwa kutenda 'KOSA' fulani kuhesabika kuwa ana HATIA mpaka pale mahakama itakapotamka. Wananchi HAWAKOSEI wanaposema #MboweSioGaidi na si kuingilia UHURU wa mahakama kama yeye anavyodhani!
Yeye na wenzake ambao wanaona kuwa 'Mbowe NI Gaidi' ndio wanaingilia Uhuru wa Mahakama! Waiachie Mahakama kwani Katiba yetu imeweka wazi na bayana kuhusu MTU kutuhumiwa Kwa kosa Fulani sio kwamba amelitenda kosa Hilo na anahesabiwa Hana Hatia mpaka itakapothibitika Mahakamani.
Dr. Slaa tusimchukulie kuwa ameropokwa la hasha! Huyu amekuja kupima kina cha maji, ametumwa kuandaa UMMA Kisaikolojia, anapima kauli yake itapokelewa vipi na UMMA, anajaribu kuonyesha upande wa mashitaka wanayo hukumu ya Aina gani kabla hata ya kusikiliza utetezi wanajitetea vipi na Kwa ushahidi gani.
Wengine wanafikiria kuwa Dr. Slaa ana msongo wa mawazo kutokana na Mambo ambayo anayapitia sasa kwenye Maisha yake! Huenda ikawa kweli lakini Kwa jinsi nilivyomsikiliza na kumtazama unaona kabisa dimina yake inakuonyesha amamaanisha kitu gani! Asipuizwe Kwa alichokifanya kwani anajua anafanya nini na Kwa malengo gani!
Kuna siku ntakuja kumfunua alivyo, na matendo yake maovu ya Muda mrefu, hamtaamini kuwa huyu ni Yule Dr. Slaa au NI MTU Mwingine anafananishwa Naye kwani sio msafi kama mnavyomfikiria!
Sio muaminifu kwenye ndoa, pesa, kiapo na Pia sio muaminifu Kwa watu wake anaowaongoza au anaofanya nao KAZI!
Hili dubu zee sina imani wala sitaki kulisikia!!Leo mtandao wa Mwanahalisi umemnukuu Dr. Wilbroad Peter Silaa akisema kwamba wananchi wanaosema kuwa 'Mbowe sio Gaidi' wanamkera Sana kwani hawapaswi kusema hivyo Ila waiachie Mahakama!
Hakusoma lolote kuhusu wale wananchi wengine ambao wao Kutwa kucha wanasema Kinyume chake yaani wanasema kuwa 'Mbowe NI Gaidi' .... hakutaka kuwakemea hao Bali anakemea kundi linalosema Kinyume na Hilo.
Mwambieni Dr Slaa akasome Katiba ya nchi, ibara 13 (6), (b) inayopiga MARUFUKU mtu anayeshtakiwa kutenda 'KOSA' fulani kuhesabika kuwa ana HATIA mpaka pale mahakama itakapotamka. Wananchi HAWAKOSEI wanaposema #MboweSioGaidi na si kuingilia UHURU wa mahakama kama yeye anavyodhani!
Yeye na wenzake ambao wanaona kuwa 'Mbowe NI Gaidi' ndio wanaingilia Uhuru wa Mahakama! Waiachie Mahakama kwani Katiba yetu imeweka wazi na bayana kuhusu MTU kutuhumiwa Kwa kosa Fulani sio kwamba amelitenda kosa Hilo na anahesabiwa Hana Hatia mpaka itakapothibitika Mahakamani.
Dr. Slaa tusimchukulie kuwa ameropokwa la hasha! Huyu amekuja kupima kina cha maji, ametumwa kuandaa UMMA Kisaikolojia, anapima kauli yake itapokelewa vipi na UMMA, anajaribu kuonyesha upande wa mashitaka wanayo hukumu ya Aina gani kabla hata ya kusikiliza utetezi wanajitetea vipi na Kwa ushahidi gani.
Wengine wanafikiria kuwa Dr. Slaa ana msongo wa mawazo kutokana na Mambo ambayo anayapitia sasa kwenye Maisha yake! Huenda ikawa kweli lakini Kwa jinsi nilivyomsikiliza na kumtazama unaona kabisa dimina yake inakuonyesha amamaanisha kitu gani! Asipuizwe Kwa alichokifanya kwani anajua anafanya nini na Kwa malengo gani!
Kuna siku ntakuja kumfunua alivyo, na matendo yake maovu ya Muda mrefu, hamtaamini kuwa huyu ni Yule Dr. Slaa au NI MTU Mwingine anafananishwa Naye kwani sio msafi kama mnavyomfikiria!
Sio muaminifu kwenye ndoa, pesa, kiapo na Pia sio muaminifu Kwa watu wake anaowaongoza au anaofanya nao KAZI!
Huna hoja umebaki kufanya vihojaWe dada ni mbeya sn
Sasa wewe hiyo inakuhusu nini si ndio furaha yenu ccm.Eti ndio angekuwa Rais wa Tanzania kama ule uchaguzi angeibuka kidedea. Mmmmmm, CHADEMA msilifanye kosa hilo tena, kwa maana al manusura mlirudie kwa Lowasa na sasa mnataka kulifanya kwa LISSU. Kweli CHADEMA hamjifunzi kutokana na makosa.
CHADEMA itazamishwa na wana- CHADEMA wenyewe.
Bwana mihogo! Wale vijana wanaweza wasiielewe hii code!!!!!Asipoendelea kusifu na kuabudu kisiasa atakua keshajichinja mazima. Acheni bwana mihogo atafute ugali wake angalau abadili menyu.