Dkt. Slaa amesahau Katiba au anapotosha makusudi?

Nasikia mushumbusi kamkimbia
 
Eti ndio angekuwa Rais wa Tanzania kama ule uchaguzi angeibuka kidedea. Mmmmmm, CHADEMA msilifanye kosa hilo tena, kwa maana al manusura mlirudie kwa Lowasa na sasa mnataka kulifanya kwa LISSU. Kweli CHADEMA hamjifunzi kutokana na makosa.

CHADEMA itazamishwa na wana- CHADEMA wenyewe.
 
njaa mbaya sana
 
Hili dubu zee sina imani wala sitaki kulisikia!!
 
Zee lishakuwa TUMWA la Majitu Maovu.lilishindwa kumtumikia MUNGU Sasa linamtumikia shetani na vibaraka wa shetani
 
Kuishi bila kupigana vita ya kuwa na kipato huru huwa inaleta laana.Imagine kizee kama hiki kinapambana ili kipate teuzi kiweze kuishi.

I gonna risk everything to posses my own stream source of income.Haya maisha ya kuja kuongea pumba uzeeni ili niweze kuishi siyawezi.
 
Sasa wewe hiyo inakuhusu nini si ndio furaha yenu ccm.
 
Waandishi wa habari sikuhizi nivichwa uji Bora ingekua maji raia mwema nayo nimekuta hivyo wakimhoji akiwa kwake mbweni ,walijua wanaenda kumuhoji mtu Mambo yakikatiba lakini wakaenda na ujiwao mzito wakarudi nao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…