Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hapo kaongea aibu gani?Huyu mzee atulie tu anajiaibisha
Nani hakuufyata? Mashujaa wetu si walikimbia nchi kabisa [emoji1787]Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Wakati anatafuna mbona alikaa kimya
Hapo kuna hoja, mtoa hoja ana thread kibao humu za kumsasambua! Hapa jadili hoja tuache ujinga.Akipewa teuzii atatulia huyu
Kama walamba asali walivyotulia sasa hivi! Ndio wanasiasa wetu hao na siasa zetu.Wakati anatafuna mbona alikaa kimya
Ndicho anachokitafutaAkipewa teuzii atatulia huyu
Vijana wa Mbowe ni wabaguzi, wabinafsi na madikteta hawataki watu watoe Maoni waongee wao tuMzee asikilizwe.Kwani huwa hatukosei?Jambo jema lisikilizwe na kifanyiwa kazi.
Sasa mbona tumeandika habari zake ?Vijana wa Mbowe ni wabaguzi, wabinafsi na madikteta hawataki watu watoe Maoni waongee wao tu
Ni hasira tu.Nao wasamehewe.Vijana wa Mbowe ni wabaguzi, wabinafsi na madikteta hawataki watu watoe Maoni waongee wao tu
Mbowe ni mstaarabu.Atamshauri.MBOWE ATAPINGA