Dah, nchi hii ina vichwa ngumu kwelikweli. Kwahiyo hoja yake haijadiliwi ila hayo ya Canada.Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Baadhi yetu waswahili ni NGURUWE TU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, nchi hii ina vichwa ngumu kwelikweli. Kwahiyo hoja yake haijadiliwi ila hayo ya Canada.Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Huyu ni ndumilakuwili. Asiaminiwe kabisaView attachment 2562704
Dr Slaa ambaye aliteuliwa na Dr Magufuli kuwa Balozi , na ambaye sasa amestaafu , amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .
Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda , kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya ?
Acha lugha za kijinga.Mshawishi akubaliane na dokta.Dah, nchi hii ina vichwa ngumu kwelikweli. Kwahiyo hoja yake haijadiliwi ila hayo ya Canada.
Baadhi yetu waswahili ni NGURUWE TU
Wewe utakuwa ni mchepuko wa MBOWEWakati anatafuna mbona alikaa kimya
Huyu jamaa si alisema wananchi hawataki mambo ya katiba bali wanataka maendeleo? Nini limebadilikaView attachment 2562704
Dr Slaa ambaye aliteuliwa na Dr Magufuli kuwa Balozi , na ambaye sasa amestaafu , amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .
Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda , kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya ?
Tujibu hoja na siyo historia ya mtu. Watu hukosea na kujirudi.Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Dr Slaa , uko vizuri .
Dr Slaa ambaye aliteuliwa na Dr Magufuli kuwa Balozi , na ambaye sasa amestaafu , amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .
Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda , kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya ?
Huyu si alipinga katiba mpya kama miaka mitatu iliyopita!!!Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda , kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya ?
ExcellentMzee Slaa yupo sahihi.Tujadili alicho ongea sio ‘kuufyata’ wkt wa utawala wa giza wa Magufuli.
Kuna njama za uchaguzi wa 2025 kufanyika na tume hii hii ya CCM na akishinda Mama ndiyo imetoka maana akina Makamba 2030 hawawezi hata anza ijadili Katiba mpya.
CDM mna nafasi sasa ya kudai katiba mpya sababu CCM imegawanyika,haya madubwana yakija kukaa kuwa kitu kimoja hayawezi leta katiba mpya iwaondoe madarakani.
Kwa mtu mwenye uelewa na upeo, ataelewa msingi wa hoja ya Dr Slaa.Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Tusimuhukumu kwa uzee wake, tuhukumu hoja zake, hoja haziangalii umri au jinsia ya mtoaji wake.Huyu mzee atulie tu anajiaibisha
SwadaktaMzee Slaa yupo sahihi.Tujadili alicho ongea sio ‘kuufyata’ wkt wa utawala wa giza wa Magufuli.
Kuna njama za uchaguzi wa 2025 kufanyika na tume hii hii ya CCM na akishinda Mama ndiyo imetoka maana akina Makamba 2030 hawawezi hata anza ijadili Katiba mpya.
CDM mna nafasi sasa ya kudai katiba mpya sababu CCM imegawanyika,haya madubwana yakija kukaa kuwa kitu kimoja hayawezi leta katiba mpya iwaondoe madarakani.
CDM Sidhani kama wanamaanisha wanachosema Kwa sababu wako bize kugawa watu, sasa unajiuliza ina maana hawajui kwamba katiba inawahitaji watu wote? Unagundua kwamba wanajua, sasa je kwanini hawataki Hilo ndiyo kitendawili kilipoMzee Slaa yupo sahihi.Tujadili alicho ongea sio ‘kuufyata’ wkt wa utawala wa giza wa Magufuli.
Kuna njama za uchaguzi wa 2025 kufanyika na tume hii hii ya CCM na akishinda Mama ndiyo imetoka maana akina Makamba 2030 hawawezi hata anza ijadili Katiba mpya.
CDM mna nafasi sasa ya kudai katiba mpya sababu CCM imegawanyika,haya madubwana yakija kukaa kuwa kitu kimoja hayawezi leta katiba mpya iwaondoe madarakani.
Siku ya mwisho kila goti litapigwaHuyu si alipinga katiba mpya kama miaka mitatu iliyopita!!!
Ndege mjanja amenaswa kwenye tundu bovuSiku ya mwisho kila goti litapigwa
Atamshauri naye alambe asali ili atulie, asipige kelele hovyo hovyo.Mbowe ni mstaarabu.Atamshauri.
Akili za mtu utaxijua tu akifungua mdomoHuyu mzee atulie tu anajiaibisha
Changamoto yako wewe ni kila muda unawaza ulambaji wa asali.Wote ni Watanzania tu wanaotakiwa kuonesha njia njema.Atamshauri naye alambe asali ili atulie, asipige kelele hovyo hovyo.