Dkt. Slaa aomba Watanzania Tuamke, Tusichezewe, aitilia mashaka Tume ya Haki Jinai

Dkt. Slaa aomba Watanzania Tuamke, Tusichezewe, aitilia mashaka Tume ya Haki Jinai


Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .

Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Mkuu 'Erythro', sijui wewe' lakini mimi nasikiliza kwa makini.

Unajua mkuu; hata shetani hufanya maigizo ambayo ni mazuri sana ya kumnasa anayemnyemelea. Lakini binaadam huyo akiwa na akili ya kutambua tu kwamba mazuri hayo yanatoka kwa shetani, mtu huyo atayachukua na kufanya mema yaliyoletwa na shetani mwenyewe.

Haya hapa aliyoyasema Dr mhogo ni ya ukweli mtupu.

Lakini hii mbinu ya hadaa inayofanywa na Samia tulishaisema mara nyingi tu humu humu JF
Jipya aliloleta Dr Mhogo ni ufafanuzi mzuri kabisa alioutoa, tena unaoeleweka vizuri kabisa.

Nampa pongezi zake, hata kama bado simwelewi vizuri kuhusu baadhi ya vitendo vyaky, hasa mwaka 2015.
 
Rais Samia hana nia ya kuleta katiba mpya. Uhtaji na uharaka wa kupata katiba mpya hauendani na kasi ya kusuasua ya rais Samia ktk suala hili.
Hebu mweleze mkuu 'Erythro', huenda wewe ukafanikiwa kumfikishia ujumbe huu unaoeleweka kirahisi tu.

Mimi nimeambiwa mara kadhaa "nisubiri muda." Sijui hadi lini ndipo nieleweke!
 
😂

Kuna Shujaa mmoja kasema ana shida na pesa kalamba za michango na 20% kaenda ila akirudi amaliziwe 24%

Kuna mmoja leta baga men! Yaani kasahau dona ndio limemlea
Huyo "shujaa mmoja" unayemsema hapa kuna mashaka. Si ajabu ukakuta naye yupo upande huu wa pili alioangukia Daktari wa Mihogo.
Na kama si hivyo, inawezekana kabisa akajikalia kimya huko huko aliko kuliko kujiingiza kwenye aibu hii aliyoiingia Mwenyekiti wake.
 
Wanao muita Dr. Slaa mnafiki au msaliti nadhani huwa hawajitambui. Kwa mtu mwenye akili timamu na mwenye mshipa wa aibu huwezi kumpokea na kumpigia kampeni mtu uliyemtukana na kumuita mwizi miaka zaidi ya mitano hakika inahitaji unafiki wa hali ya juu.
 

Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .

Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Rubbish. Huyu bwana ni Padri wa Kanisa Katoliki, alikula nadhiri ya kumtumikia Yesu hadi afe. Kuna wengi huanza lakini wanashindwa FORM 4 au F6 au Seminari Kipalapala. Yeye alifoka hadi PhD Roma bado anamdanganya Mungu. Alipoona bado hapato anachopata akaasi, amazing useja, akawa Raia. Baadaye kapewa kazi nzito na Magufuli ya Balozi kutuwakilisha Watanzania Sweden, sasa na hiyo anaasi. Tutamwelewaje? Na tutamwelewa hadi lini? Huyu akiwa Rais atatuuza kwa Shetani, ndicho pekee alichobakiza.
 

Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .

Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Bibi tozo hana nia njema na Tanzania kwao ni Uarabuni akimaliza muda wake anaenda kwao
 
Hakuna watu wa hovyo kama wanachadema, hawa jamaa wanaamini kwenye uchadema zaidi kuliko upinzani.
 
Ikiwa hivyo kwa mara ya kwanza tangu mfumo wa vyama vingi uanze nitachukua kadi ya chama cha siasa
 
Hebu mweleze mkuu 'Erythro', huenda wewe ukafanikiwa kumfikishia ujumbe huu unaoeleweka kirahisi tu.

Mimi nimeambiwa mara kadhaa "nisubiri muda." Sijui hadi lini ndipo nieleweke!
Kuna msemo wa kiswahili kwamba " Mchawi mpe mwanao akulelee " siyo kwamba sisi hatuoni "delay tactic" ya Samia , bali hatuoni namna atakavyokwepa mitego ya katiba mpya .

Ni hivi , Samia amezungukwa na watu wasiotaka mabadiliko akiwemo Mizengo Pinda , labda kwa kufichua ni hivi , Pinda si kiongozi tu wa chama na serikali , huyu ndio link ya kitengo ndani ya serikali , yeye na wengine (sitawataja kwa sasa) , ndio wanaoamua mambo mengi sana ya nchi , usione analima mananasi ukamchukukia poa .

Sasa juzi Mama kamteua awe mshauri wake kwenye kilimo , hii maana yake ni kumuengua kwenye kikosi kazi , sijui kama unanielewa , hata Bi Mkubwa si kwamba anaitaka Katiba mpya bali kuna shinikizo kubwa kutoka kwa watoa hela , na kimsingi yeye kama yeye hana ujanja , bali hawa wahafidhina ambao hawajali shida za nchi , wao kwao hata wananchi wakiteseka ili mradi ccm ikiwa madarakani kwao haina shida .

Sisi mchezo wote tunaujua (Kumbuka kwamba Lissu alikuwa nje kwa matibabu , lakini pia bado alikuwa Kiongozi wa Chadema na alifanya kazi za chama , sitaingia kwa undani )

bali kuwepo kwa Lissu Ubelgiji ulikuwa mkakati wa chama chake , angeweza hata kutibiwa USA , Bali aliminya ubelgiji (ifuatilie kwa makini ubelgiji)

Kwa kifupi ni kwamba Chadema siyo Mabwege .
 
Kuna msemo wa kiswahili kwamba " Mchawi mpe mwanao akulelee " siyo kwamba sisi hatuoni "delay tactic" ya Samia , bali hatuoni namna atakavyokwepa mitego ya katiba mpya .

Ni hivi , Samia amezungukwa na watu wasiotaka mabadiliko akiwemo Mizengo Pinda , labda kwa kufichua ni hivi , Pinda si kiongozi tu wa chama na serikali , huyu ndio link ya kitengo ndani ya serikali , yeye na wengine (sitawataja kwa sasa) , ndio wanaoamua mambo mengi sana ya nchi , usione analima mananasi ukamchukukia poa .

Sasa juzi Mama kamteua awe mshauri wake kwenye kilimo , hii maana yake ni kumuengua kwenye kikosi kazi , sijui kama unanielewa , hata Bi Mkubwa si kwamba anaitaka Katiba mpya bali kuna shinikizo kubwa kutoka kwa watoa hela , na kimsingi yeye kama yeye hana ujanja , bali hawa wahafidhina ambao hawajali shida za nchi , wao kwao hata wananchi wakiteseka ili mradi ccm ikiwa madarakani kwao haina shida .

Sisi mchezo wote tunaujua (Kumbuka kwamba Lissu alikuwa nje kwa matibabu , lakini pia bado alikuwa Kiongozi wa Chadema na alifanya kazi za chama , sitaingia kwa undani )

bali kuwepo kwa Lissu Ubelgiji ulikuwa mkakati wa chama chake , angeweza hata kutibiwa USA , Bali aliminya ubelgiji (ifuatilie kwa makini ubelgiji)

Kwa kifupi ni kwamba Chadema siyo Mabwege .
To summarize HOJA Yako ni;

1. CDM inaitumia ubelgiji na mataifa mengine kuishinikiza Serikali ikubali Katiba mpya.

2. LISSU ana connection na mataifa ya nje kuinfluence masuala ya ndani ya nchi Kwa Nia njema.

3. TANZANIA itapata Katiba mpya Si Kwa Sababu ni takwa la wananchi Kwa kuidai hadharani, Bali Kwa mataifa ya nje kutumika kutusaidia kupata kakiba mpya.

Yote hayo ni mambo MAZURI na ni mikakati mizuri.

Swali kwetu wananchi ni;

1. Mzungu Huwa Hana Cha Bure, CDM wakifanikiwa kupata KATIBA mpya Kwa shinikizo Kutoka nje na kushika Dola Kwa mfano, watatoa nini kama Asante? Au mikataba Gani ya awali wameshasainishana?

2. Kwa uliyoyasema, ni dhahiri CDM ni makupe ya nchi za magharibi na Magu hakukosea kuwaita WASALITI, maana Kuna Siri za Nchi mnawapa wageni, unaliongeleaje Hilo?

3. Unaamini wasioonekana Wala kujulikana watanasa ktk mtego mliowategea, unamjua vzr Putino na siasa za mashariki?

Naamini Ukombozi wa Kweli utatoka CCM kupitia chama kipya baada ya kugawana fito.

Tusubiri.
 
To summarize HOJA Yako ni;

1. CDM inaitumia ubelgiji na mataifa mengine kuishinikiza Serikali ikubali Katiba mpya.

2. LISSU ana connection na mataifa ya nje kuinfluence masuala ya ndani ya nchi Kwa Nia njema.

3. TANZANIA itapata Katiba mpya Si Kwa Sababu ni takwa la wananchi Kwa kuidai hadharani, Bali Kwa mataifa ya nje kutumika kutusaidia kupata kakiba mpya.

Yote hayo ni mambo MAZURI na ni mikakati mizuri.

Swali kwetu wananchi ni;

1. Mzungu Huwa Hana Cha Bure, CDM wakifanikiwa kupata KATIBA mpya Kwa shinikizo Kutoka nje na kushika Dola Kwa mfano, watatoa nini kama Asante? Au mikataba Gani ya awali wameshasainishana?

2. Kwa uliyoyasema, ni dhahiri CDM ni makupe ya nchi za magharibi na Magu hakukosea kuwaita WASALITI, maana Kuna Siri za Nchi mnawapa wageni, unaliongeleaje Hilo?

3. Unaamini wasioonekana Wala kujulikana watanasa ktk mtego mliowategea, unamjua vzr Putino na siasa za mashariki?

Naamini Ukombozi wa Kweli utatoka CCM kupitia chama kipya baada ya kugawana fito.

Tusubiri.
Usinilishe maneno , Aliyesema Watanzania hawataki katiba mpya ni nani ? umewahi kufuatilia maoni ya wananchi kwenye Tume ya warioba , yale waliyoyatoa ni maoni ya wazungu yale ?

Kwanini Nyerere alienda UNO kudai Uhuru wa Tanganyika , aliwapa nini Wazungu ?
 
Mzee kaongea jambo la msingi sana ukweli unakuwa na Tume za nini wakati tuna rasimu ya katiba ambayo ingeweza kuyasema yote haya. Upotezaji wa hela na kupoteza muda. Hiyo tume ya Haki Jinai inakusanya maoni kijinga sana hawatoi nafasi kwa watu wa chini kuwafikia. Slaa yupo sahihi.
 
Hakuna watu wapumbavu kama nyie Sukuma Gang mnaona watu wote nchi hii siyo wazarendo ila nyie masalia ya marehemu dhalim.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Sasa hivi kila anayekosoa ni sukuma gang ndio maana nasema Chadema ni watu wa hovyo sana. Yani nyie ndio mnajiona chama pekee cha upinzani, nyie ndio pekee wenye akili, mkifanya nyie mpo sahihi na wakifanya wengine ni wasaliti.
 
Back
Top Bottom