Dkt. Slaa aomba Watanzania Tuamke, Tusichezewe, aitilia mashaka Tume ya Haki Jinai

Dkt. Slaa aomba Watanzania Tuamke, Tusichezewe, aitilia mashaka Tume ya Haki Jinai

Kuna msemo wa kiswahili kwamba " Mchawi mpe mwanao akulelee " siyo kwamba sisi hatuoni "delay tactic" ya Samia , bali hatuoni namna atakavyokwepa mitego ya katiba mpya .

Ni hivi , Samia amezungukwa na watu wasiotaka mabadiliko akiwemo Mizengo Pinda , labda kwa kufichua ni hivi , Pinda si kiongozi tu wa chama na serikali , huyu ndio link ya kitengo ndani ya serikali , yeye na wengine (sitawataja kwa sasa) , ndio wanaoamua mambo mengi sana ya nchi , usione analima mananasi ukamchukukia poa .

Sasa juzi Mama kamteua awe mshauri wake kwenye kilimo , hii maana yake ni kumuengua kwenye kikosi kazi , sijui kama unanielewa , hata Bi Mkubwa si kwamba anaitaka Katiba mpya bali kuna shinikizo kubwa kutoka kwa watoa hela , na kimsingi yeye kama yeye hana ujanja , bali hawa wahafidhina ambao hawajali shida za nchi , wao kwao hata wananchi wakiteseka ili mradi ccm ikiwa madarakani kwao haina shida .

Sisi mchezo wote tunaujua (Kumbuka kwamba Lissu alikuwa nje kwa matibabu , lakini pia bado alikuwa Kiongozi wa Chadema na alifanya kazi za chama , sitaingia kwa undani )

bali kuwepo kwa Lissu Ubelgiji ulikuwa mkakati wa chama chake , angeweza hata kutibiwa USA , Bali aliminya ubelgiji (ifuatilie kwa makini ubelgiji)

Kwa kifupi ni kwamba Chadema siyo Mabwege .
Natamani sana zingekuwepo alama za "nzuri" zaidi ya moja, zote ningezimwaga hapa!

Heshima sana mkuu 'Erythro' kwa andiko hili hapa linalopiga penyewe hasa!

Lakini,...
Kwa kifupi ni kwamba Chadema siyo Mabwege .
Ninakutahadharisha sana kuhusu hili.
CHADEMA shaondolewa kwenye reli sana. Kuinyanyua na kuipandisha tena kwenye reli ianze tena ilipokuwa imeishia na moto ule uliokuwepo na hadi ifanye kweli, kama "Hichilema wa Zambia...", hiyo itakuwa ni kazi ngumu sana, hata kufikia kuwa haitawezekana kwa muda huu uliobaki.

Mtavurugwa sana ndani ya chama chenu wakati huu hata msione mnakwenda wapi.

Kama ni "mkakati" kama unavyoeleza, basi mkakati huu utawageukia nyinyi wenyewe.
 
1. Mzungu Huwa Hana Cha Bure, CDM wakifanikiwa kupata KATIBA mpya Kwa shinikizo Kutoka nje na kushika Dola Kwa mfano, watatoa nini kama Asante? Au mikataba Gani ya awali wameshasainishana?
CHADEMA ikionekana/bainika kuwa imelala kitanda kimoja na hawa jamaa na wananchi wakajua, na hasa ikitumiwa na mahasimu wao... "Kazi Kwisha."

Hili la kushirikiana na hao jamaa haliongezi manufaa makubwa kwa chama.
 
Naamini Ukombozi wa Kweli utatoka CCM kupitia chama kipya baada ya kugawana fito.
Akiwemo Dr Mhogo?

Ninakubaliana nawe: CHADEMA wamejiweka kwenye hali ngumu, walipoweka (kama ni kweli) ya kumnasa Samia.
Badala ya kumnasa aliyelengwa, inaonekana ni wao sasa walionaswa.

Hili limewapa CCM muda mzuri wa kujipanga upya, hata kama siyo kwa kumtupilia mbali Samia, au kwa kuunda chombo kingine nje ya CCM
Nilishasema humu JF, CCM yenyewe inajitosheleza sana kwa kuwa na makundi ndani ya chama yenye milengo mbalimbali.
Kundi lolote likijitoa ndani ya chama linapoteza nguvu; kwa hiyo watabanana tu humo humo ndani ya chama hadi waelewane.
 

Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .

Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Asante sana DR Kwa weledi huu.
Hii ni kweli kabisa hii tume ni bomu kwani inajiwejea yaleyale ya uCCM na KATIBA kuchelewa.
Hivi vyama vya upinzani hamlioni hili na sio afya Kwa mustakabali wa KATIBA mpya na Tume huru?!

Huko.kwenye hiyo tume ni viongozi wangapi wa upande wa pili mlioko huko?

Inatakiwa kupingwa Kwa nguvu zote.
Waamshe Dr. Maridhiano yasiwe TAABU.
 
Sasa hivi kila anayekosoa ni sukuma gang ndio maana nasema Chadema ni watu wa hovyo sana. Yani nyie ndio mnajiona chama pekee cha upinzani, nyie ndio pekee wenye akili, mkifanya nyie mpo sahihi na wakifanya wengine ni wasaliti.
Mikono yenu imejaa damu zisizo na hatia zilimwagwa na huyo Mhutu wenu aliyeko kuzimu

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Akiwemo Dr Mhogo?

Ninakubaliana nawe: CHADEMA wamejiweka kwenye hali ngumu, walipoweka (kama ni kweli) ya kumnasa Samia.
Badala ya kumnasa aliyelengwa, inaonekana ni wao sasa walionaswa.

Hili limewapa CCM muda mzuri wa kujipanga upya, hata kama siyo kwa kumtupilia mbali Samia, au kwa kuunda chombo kingine nje ya CCM
Nilishasema humu JF, CCM yenyewe inajitosheleza sana kwa kuwa na makundi ndani ya chama yenye milengo mbalimbali.
Kundi lolote likijitoa ndani ya chama linapoteza nguvu; kwa hiyo watabanana tu humo humo ndani ya chama hadi waelewane.
CCMM dude kubwa,

Wanaweza kumtosa sa100 na kuyakana maridhiano.

CDM wakija Kwa wananchi kulalamika, nasi tutawauliza iweje mwende meza ya majadiliano na agenda za madaraka pekee nkasahau kukemea RUSHWA, mfumuko wa Bei nk nk.

CDM wamebanwa kwenye corner. LISSU ameanza kulalama muda haitoshi kupata KATIBA mpya.

Tusubiri, maybe watachomoka.
 
CCMM dude kubwa,

Wanaweza kumtosa sa100 na kuyakana maridhiano.

CDM wakija Kwa wananchi kulalamika, nasi tutawauliza iweje mwende meza ya majadiliano na agenda za madaraka pekee nkasahau kukemea RUSHWA, mfumuko wa Bei nk nk.

CDM wamebanwa kwenye corner. LISSU ameanza kulalama muda haitoshi kupata KATIBA mpya.
usu
Tbiri, maybe watachomoka.
Kwa muda uliosalia, itawabidi wawe mafundi sana wa "kuchomoka". Sasa hivi wamekabwa 'kabali'
 
Kumuumbua Mhutu kuwa ana PhD ya Magumashi ni hatia? Wewe na huyu Mhutu mwenzako mna roho ya kishetani ndiyo maana unamtetea sana naamua kukupuuza tu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mpuuze huyo marehemu kabisa usimuongelee endelea na maisha yako, ila kutwa Magufuli hivi mara Magufuli vile mbona Mo mnayesema alitekwa na Magufuli hamuongelei Magufuli anaendelea na mambo yake ila wewe fukara ndio kutwa kumuongelea Magufuli sijui ndio kwa sababu za umasikini.
 
Back
Top Bottom