Kwa hiyo tumpuuze?Mbona ameibuka gafla kutoka mafichoni huyu babu Slaa, tena ni mkosoaji mkubwa ktk kipindi hiki cha mama, mbona huko nyuma alinyamaza kimya, au kipindi chote hicho hakukuwa na ajenda yeyote ambayo ingekinzana na maoni yake, sio kweli analo lake jambo, suala la bandari limekuwa kama ni kisingizio tu.
Wewe mleta uzi; mbona hatutajiuliza na wala kukuuliza ni kwa nini sasa hivi hunyonyi, hutambai, wakati uliwahi kunyonya na kutambaa hapo nyuma? Au mbona una nafasi (hatuijui ) fulani sasa wakati labda uliwahi kuwa darasa la kwanza miaka fulani nyuma. Iweje hukubakia anayenyonya, anayetambaa na hata mwanafunzi wa darasa la kwanza daima?Mbona ameibuka gafla kutoka mafichoni huyu babu Slaa, tena ni mkosoaji mkubwa ktk kipindi hiki cha mama, mbona huko nyuma alinyamaza kimya, au kipindi chote hicho hakukuwa na ajenda yeyote ambayo ingekinzana na maoni yake, sio kweli analo lake jambo, suala la bandari limekuwa kama ni kisingizio tu.
Hauna akili.Mbona ameibuka gafla kutoka mafichoni huyu babu Slaa, tena ni mkosoaji mkubwa ktk kipindi hiki cha mama, mbona huko nyuma alinyamaza kimya, au kipindi chote hicho hakukuwa na ajenda yeyote ambayo ingekinzana na maoni yake, sio kweli analo lake jambo, suala la bandari limekuwa kama ni kisingizio tu.
Wewe jamaa mbona unauliza maswali mepesi,kwani huyu mzee ndo anakosoa huu mkataba au umekosa kauli ya kutaka kusema amekosa teuzi wakati ni barozi?Mbona ameibuka gafla kutoka mafichoni huyu babu Slaa, tena ni mkosoaji mkubwa ktk kipindi hiki cha mama, mbona huko nyuma alinyamaza kimya, au kipindi chote hicho hakukuwa na ajenda yeyote ambayo ingekinzana na maoni yake, sio kweli analo lake jambo, suala la bandari limekuwa kama ni kisingizio tu.
Huko nyuma kuna Bandari iliuzwa?Mbona ameibuka gafla kutoka mafichoni huyu babu Slaa, tena ni mkosoaji mkubwa ktk kipindi hiki cha mama, mbona huko nyuma alinyamaza kimya, au kipindi chote hicho hakukuwa na ajenda yeyote ambayo ingekinzana na maoni yake, sio kweli analo lake jambo, suala la bandari limekuwa kama ni kisingizio tu.
Hana jinsi ya kufanya vipi wakati na yeye yumo,bado analazimisha kwamba sisi tunachezea bahati,kuchezea bahati kwenye mkataba wake yeye na watoto wake?Wamepitisha mkataba wanaouita ni Maridhiano, Lakini cha Moto wanakiona.
Angalia hata ongeaji ya mheshimiwa Raisi Jana inaonekana kabisa Hana furaha na huu mkataba lakini Hana jinsi ya kufanya.
Siku ukiionja utakuwa mwadilifuHuyo cha pombe atupishe, ana maadili gani ya kuongea na viongozi wa dini?
Hana haya?
Kumekucha! Mpaka wateme ndoano ama walete diko 🤣🤣🤣WITO WA KUHUDHURIA MKUTANO MKUBWA WA HADHARA: BANDARI ZETU! URITHI WETU!
Kwa viongozi wa dini zote na Madhehebu yote nchini Tanzania!
Sisi Watanzania tulioko ndani na nje tumeamua kulinda rasilimali za nchi tulizopewa na Mungu sisi na vizazi vyetu kama ilivyoanishwa kwenye Ibara ya 27 (1) na (2) ya Katiba yetu. Tunaomba waumini wote wafike kwa wingi na kuwaalika wengine kufika Mkutano Mkubwa wa Hadhara kupata elimu kuhusu Mkataba wa Bandari wa DP World siku ya Jumamosi 22 Julai 2023.
Viongozi wa dini, wanasiasa, mawakili, vyama vya kiraia na wanaharakati mbalimbali nchini watashiriki kwenye mkutano huo.
Taarifa itatolewa kuhusu mahali lakini muda ni kuanzia Saa 4 asubuhi mpaka saa 12 Jioni.
Imetolewa na
Dr. Wilbroad Peter Slaa, kwa niaba ya Sauti ya Watanzania (SYW).
Dar es Salaam, 14 Julai 2023