Dkt. Slaa: Bado nina hadhi ya Ubalozi

Dkt. Slaa: Bado nina hadhi ya Ubalozi

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
Hahaha.....sina comment
 
😂😂😂😂🤣🤣🤣😂😂😂
Dkt Mihogo
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
Uzee umekamilika
 
Njaa imembana amekumbuka hadhi ya ubalozi ndio shida ya kufuata mikumbo isiyo na maana wakati ubalozi ungemtunza kwa hali yake ya sasa.
Hii kutetemekea vyeo ndio kumewafanya wanaccm karibia wote kuwa watumwa wa watawala, hata wakifanya mambo ya hovyo.
 
Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.
Rais ana fitina sana huyu. 2025 akipata tena urais nchi itafitinika kabisa.
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
Aje apite hapa JULIUS NYERERE IA aone kama hatutampapasa kwenye mashati yake ...
 
Huyo alikuwa balozi wa mwendazake siyo balozi wa utawala uliopo.
Dkt. Slaa ndio aliratibu ziara ya baba Mtakatifu Papa Yohane Paul aliyeketi Kitini pake Mtume Petro

Padre Slaa aliteuliwa na Rais Mwinyi kuongoza Jopo la Itifaki ya baba Mtakatifu

Hivi karibuni Uongozi wa juu wa CCM akiwemo Mwenyekiti, Katibu mkuu, Rostam Aziz, Hussein Bashe na Makamba jr walimtembelea baba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi kitini pake Mtume Petro huko Vatican 😀
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
Sasa anataka kupewa barua rasmi atapewa kwenye media asubiri!
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
HUYU MDINI TU UNAMUHANGAISHA. AKIJA RAIS MUISLAM ANAKUWA MKALI SANA, AKIWA RAIS MKIRISTO ANAKUWA KARIBU NA MTAWALA
 
Back
Top Bottom