Dkt. Slaa: Bado nina hadhi ya Ubalozi

Dkt. Slaa: Bado nina hadhi ya Ubalozi

Waambie ukweli Hawa machawa hawaelewi kitu chochote kabisa mwamba!
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.
Naungana na Dr, kama aliteuliwa kwa barua, na kutenguliwa ni kwa barua, hivyo kama ametenguliwa tuu kwa kauli na hakuna barua yoyote ya utenguzi, then Dr. Slaa, bado ni Balozi. Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?
P
 
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.

Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.

Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.

Pia soma
Kama ni kweli Samia alimvua Dr Slaa hadhi ya ubalozi itakua jambo la kipuuzi kabisa. Na hili ni mojawapo ya mambo yanawafanya wananchi wenye kumuenzi Magufuli kumuona mama sio kiongozi mzalendo. Kama hawajamuandikia barua bila shaka mama atakua amegundua haukua uamuzi sahihi kumfanyia mtu mwenye hadhi kama Dr Slaa.
 
Back
Top Bottom