NUMAN
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 807
- 1,164
Hao Wana vip passNasikia wakina mondi,konde gang,mwijaku,baba level dotto magari wakipita hapo hamuwapapasi ...kweli mkuu
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Wana vip passNasikia wakina mondi,konde gang,mwijaku,baba level dotto magari wakipita hapo hamuwapapasi ...kweli mkuu
Ova
Marijuana!!Huyo alikuwa balozi wa mwendazake siyo balozi wa utawala uliopo.
Bangi.Marijuana!!
Sioni kama kuna haja ya mjadala, kwa sababu huna la kujutia.Sasa anataka kupewa barua rasmi atapewa kwenye media asubiri!
Naungana na Dr, kama aliteuliwa kwa barua, na kutenguliwa ni kwa barua, hivyo kama ametenguliwa tuu kwa kauli na hakuna barua yoyote ya utenguzi, then Dr. Slaa, bado ni Balozi. Ijue Hadhi ya Ubalozi, its Rights & Privileges. Wajua Kufutwa Ubalozi Dr. Slaa Hakutokani na Ukosoaji wa Bandari na Anaweza Kurejeshewa Ubalozi Wake?Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.
Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.
Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.
Kama ni kweli Samia alimvua Dr Slaa hadhi ya ubalozi itakua jambo la kipuuzi kabisa. Na hili ni mojawapo ya mambo yanawafanya wananchi wenye kumuenzi Magufuli kumuona mama sio kiongozi mzalendo. Kama hawajamuandikia barua bila shaka mama atakua amegundua haukua uamuzi sahihi kumfanyia mtu mwenye hadhi kama Dr Slaa.Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.
Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua ya Ubalozi na Kiapo cha Ubalozi, hayo mengine hayatambui.
Ikumbukwe kuwa Septemba 1, 2023 Rais Samia alimvua Dkt. Slaa hadhi ya Ubalozi bila kutaja sababu ya maamuzi hayo lakini watu wengi wanadai ni kutokana na Dkt. Slaa kuwa mwiba mkali kwa Serikali ya awamu ya sita hasa suala la mkataba wa DP World.
Pia soma
Siasa ni fursa