Dkt. Slaa: CHADEMA walimteka mtu wao, wakamtesa, wakamtupa, mimi nikajua watekaji ni Usalama wa Taifa

Mwanaume aliyeshindwa upadri akashindwa na kulea familia hapaswi kusikilizwa kwa lolote atakalosema.

Hiki ni kielelezo halisi cha mwanaume asiyejiweza.
 
Mzee Mihogo ni wa kumhurumia.
Sasa hivi anajitahidi kutunga mauongo kuliko hata shetani mwenyewe aliyemyumbisha akaasi kiapo chake.
Kama vile Slaa halisi ndio anajianika. Kama vile ndo anatuaga.
 
Hivi bado huyu mbwa anatumwa kama jini?
Mbarbaig hawezi kustaarabika daima!
 
Eti kiongozi mzuri lazima aseme ukweli, sasa mbona ulinyamaza baada ya kujua ukweli wa mwenyekiti wako kupigwa? angekuwa disaster huyu bora alichomolewa mapema
 
Kama alisaliti nadhiri ya upadre aliyoiweka kwa Mungu ndio sembuse nyinyi binadamu? Anaanzaje kuona haya kwa mfano?
 
Kumbuka Kikwete alitamka kwa kinywa chake ni bora Padre Slaa ashinde Urais kuliko Tundu Lisu kushinda ubunge.

Nadhani sasa ndio mtakuwa mmemuelewa vyema Kikwete Profesa wa Siasa.

Tundu Lisu ndio threat kwa ccm na siyo Padre Slaa value yake Kikwete alishaijuwa siku nyingi ila wengi hatukumuelewa Kikwete lakini sasa tunamuelewa.
 
Mzee Mihogo ni wa kumhurumia.
Sasa hivi anajitahidi kutunga mauongo kuliko hata shetani mwenyewe aliyemyumbisha akaasi kiapo chake.
Kama vile Slaa halisi ndio anajianika. Kama vile ndo anatuaga.
Uwongo ajaanza leo, uchaguzi wa mwaka 2010 alitudanganya wamekamata kontena lenye kura feki Tunduma, mnakumbuka?

Bila haya alidiriki kuongopa mchana kweupe, na huyu mzee ndio chanzo cha kifo cha Mwangosi kama mtakumbuka.

Pia mkumbusheni aliahidi kumsomesha mtoto wa Mwangosi hadi chuo kikuu je anatimiza ahadi yake? Kama amesahau tunamkumbusha.
 
Sibishi. Huenda kweli huyu ni real Dr. Slaa Kikwete aliyemuona kwa “macho ya kiroho”.

Kikwete noma Oktoba 2015 alitutangazia kabisa kuwa katuletea “chuma kinachotema cheche”! Tukadhani utani hadi ubatizo wa moto ulipokatiza mitaa ya Bumbuli. Wote tulisinyaa na kubakia wadogo kama piriton!
 
Nampenda Dr. Slaa. Yeye husema ukweli. Anatufaa sana kuwa Rais wetu.
Na ndani ya Chadema hakuna aliye tayari kufanya naye mdahalo wa wazi kwani wanajua anajua mengi. Wamebaki Chadema wa JF wasiojua chochote huku wakijifanya wanajua.
 
Dr Moleli aliwaambia tena bungeni kuwa Lisu alipigwa risasi na chadema wenyewe. Cha ajabu mkaa kimya amkuchukua hatua yoyote. SIKIA YESU ALISEMA SHETANI ATOI SHETANI MWENZIWE. Mwenye akili wanajua wahusika ni nyinyi wenyewe. Ndiyo sababu hamuwezi kuruhusu uchunguzi. Alfonce mawazo mlimuua peupe walikuwa chadema wale?. Hatua gani mlichukua?. Hadithi yako zuri sana kwa wale wakioambiwa wajue kusoma na kuandika tu. Ila siyo kwa wenye uwezo wa kutafakari
 
kwa hyo ni sahihi viongozi wa chadema kukaa kimya?
Slaa ndiye mwenye ushahidi, kwanini yeye asianze kwenda kushtaki?

Alafu pia vyombo vya ulinzi navyo vimesikia, wawaite Chadema na Slaa walielezee vizuri hilo. Chadema wao wanajipelekaje wakati ni victims?
 
Kama ben saa 8 alipotezwa na wamekaa kimya unadhani watu watawahisi vipi viongozi wa chadema na hizi tuhuma?
Una uhakika walikaa kimya? Mbona waliongea sana na kutoa mpaka namba ambazo zilikuwa zinatishia uhai wake na serikali haikufanya chochote?
 
Baada ya kutoa namba kimefuatia Nini?
Kuna kesi imefunguliwa au wamekubali matokeo?
Una uhakika walikaa kimya? Mbona waliongea sana na kutoa mpaka namba ambazo zilikuwa zinatishia uhai wake na serikali haikufanya chochote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…