Hayo ya kuunga juhudi mimi siyajadili kwenye mada hii, ukitaka kujuwa ninakosimamia kuhusu hilo, nenda kwenye mada inayozungumzia hilo.Inategemea
Ila Kwa ishu kama ya slaa ya kuwalaumu chadema eti hawaungi mkono movement yake ni ya kijinga sababu kwanza yeye sio mwanachama wa chadema
Ofisi za msajili zipo wazi jumatatu mpaka ijumaa
Mbona zito alitumia haki yake
Ila ninachoona hapa nyinyi ni genge tu la kulipwa, mtindo ule ule anaotumia Samia na machawa wake.
Watu wa aina yenu nawadharau sana.