Tetesi: Dkt. Slaa kuibuka na Umoja Party

Tetesi: Dkt. Slaa kuibuka na Umoja Party

Hakika, wakijitambua, mbona watakua na mtaji mkubwa sana .

Watu waelewe, CCM ya Sasa, ni CCM ya 2005-2015.

CCM ilochukiwa haswahaswa.

Kwa Chama Cha upinzzan Makini ambacho kitagusa Mtanzania Moja Kwa Moja.

Kitakua na mtaji mkubwa wa watu

Chadomooo wamebaki kutetea ujingaaa .
Yani nitasapoti kwa moyo mkunjufu movement za Umoja Party
 
Mzee yuko poa anawazidi wengine hawa watawala uchwara na wazee wa asali
 
Ni zaidi ya hivyo @ Ndugu!
Kuna mambo hutokea inabidi maamuzi yafanyike Na yakofanyika vile.
Halafu Kwani tatizo lilikuwa ni nini?!
Kwani upande ule alokuwa msafi alikuwa yupi?
Na hata hao wengine Pengine ni Wasafi sababu fursa bado hawajazipata!

Ndio maana TEC wanataka Viongozi waondolewe kinga.
Walipata umaarufu na kupendwa kupitia vita yao ya ufisadi wakaja kuisaliti kwa kumkaribisha waliemtuhumu ufisadi kwa miaka mingi.

Walipata wabunge wengi 2015, wakabaki na wabunge wachache sana 2020 na mgombea mwenyewe aliesaidia kupatikana wabunge wote hao akarudi kwao. Wakapoteza moral high ground ya kukemea ufisadi.

Mimi binafsi nilijisikia kuwaogopa sana, niliumia zaidi kwamba niliwahi kuwaamini.

Uki compromise kwenye principles, unaweza kupata matokeo lakini hayawezi kuwa sustainable, mwisho wa siku lazima uanguke.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Hela haikataliwi mkuu kutokana na umasikini, ni kama tunavyochukua pesa za wanaoamini ushoga wakati hatuukubali. Lakini 2020 hakukuwa na uchaguzi bali ushenzi wa kiwango cha juu.
Deep down naamini unaumia sana hawa wenzio kukubali kupokea ruzuku, by the way kwani kipindi kile kuna mtu aliwanyima ruzuku?

Walitoa sababu gani wakati wanaikataa na wametoa sababu gani leo za kuikubali?

Yani ina maana wasingeweza kuishi bila ruzuku?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Deep down naamini unaumia sana hawa wenzio kukubali kupokea ruzuku, by the way kwani kipindi kile kuna mtu aliwanyima ruzuku?

Walitoa sababu gani wakati wanaikataa na wametoa sababu gani leo za kuikubali?

Yani ina maana wasingeweza kuishi bila ruzuku?

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app

Mimi sio msemaji wa hicho chama, wala mtoa maamuzi. Ninachojua 2020 hakukuwa na uchaguzi bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hawa wanaochukua pesa sasa wameamua kuchukua kwa makubaliano yao na mtazamo wa taasisi yao. Lakini hilo halinifanyi mimi nione kuwa ule ulikuwa uchaguzi.
 
Anzisha chama chako tuone.
Sio kukaa unakandia tu eti hatuna chama cha upinzani!
Kwa mawazo yako unataka chama cha upinzani kiweje?
Kiingie mstuni na kuanzisha vita?
Umemaliza? Hongera, ndipo uwezo wako ulipoishia. 😂
 
Ndio taarifa za chini kwa chini kwamba Dr Slaa ataibuka na chama kipya cha Umoja ( Umoja Party)

Taarifa zaidi zitawajia kwa kadri zitakavyothibitishwa hasa na watu wa ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa

Mlale unono!
Hapo itanikumbusha uleusemi uliotamkwa na bwana yesu kuwa petro utachukuliwa namtu na utakwenda usipo kutaka naona na Dr slaa atakuwa nae ikitokea ataenda asipo kutaka
 
Minaona NCCR ichukuwe iyo ajenda ya magulification itatingisha sana, endapo umoja part awatapata usajili
 
Back
Top Bottom