Dkt. Slaa kusimamisha nchi trh 3/12 katika mahojiano maalum na TBC

Hana umuhimu kihivyo unavyojaribu kuiweka.Anaisimamisha Nchi ipi wakati vijiji hawamjui.
 
Mtu ambaye alishawahi kulala kifudi fudi mbele ya altare akasaliwa litania ya watakatifu wote akala kiapo cha useja, huyo akikengeuka hawezi kuwa na mwisho mzuri. Mifano ipo lukuki
 
Sawa
 
Hana umuhimu kihivyo unavyojaribu kuiweka.Anaisimamisha Nchi ipi wakati vijiji hawamjui.
Mleta post angesema Silaa atasimamisha ukoo wake na CCM wenzake na siyo watanzania .
 
Chadema ilipata 12% ya kura zikizopigwa mwaka 2020, ile ya 39% ya 2015 ilichangiwa na juhudi zake za kujenga Chama akiwa katibu mkuu.
 
Mwaka 2020 wakapata mbunge mmoja
 
Kwahiyo walipotisha jina kwa shingo upande
 
Yaani ukitoa dk john pombe joseph Magufuli basi hakuna mwamba mwingine anayependwa zaidi ya dk slaa nchi hii!
Kama ni hivyo basi bila shaka mwaka 2025 atagombea urais kupitia chama ambacho hajawahi kukiacha

Amandla...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…