Uchaguzi 2020 Dkt. Slaa kutumika kwenye kampeni 2020, imekaaje hii

Uchaguzi 2020 Dkt. Slaa kutumika kwenye kampeni 2020, imekaaje hii

Amekataliwa Hadi kijijini kwake kwa aibu maagizo wamegoma apisha mawakala wa chadema ili wapite bila kupingwa.
 
Mzeebaba kakataliwa Kusini kakataliwa Kaskazi, mashariki imemgomea na Magharibi haimtaki...

Hii ndo ile wanasema " Kumkataa shetani na Kazi zake zote "
Hadi Chato town hawamtaki thus kapiga biti mawakala wa chadema kuapishwa hajawahi shinda chochote bila kubebwa
 
Watu wa Karatu huwa wana elimu ya uraia ya kutosha, Hakuna watu wenye elimu ya Urai ya kutosha kama karatu
Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee jiwe hali mbaya sana.

Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote nifadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
 
Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee jiwe hali mbaya sana.

Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote nifadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
Siku zingine utumie Akili kidogo kwani Kihistoria CCM hupata 'taabu' mno hapo Karatu hivyo Kumtumia Dk. Slaa Kuwavutia Watu ni 'Mtaji' tosha tu.
 
Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee jiwe hali mbaya sana.

Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote nifadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
IMEKAA POA SAANA KWANI NAYE NI MWANASIASA MAKINI SAANA
 
Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee jiwe hali mbaya sana.

Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote nifadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
Mkuu ungetulia ama dakika 5 ungeelewa pumba ulizoziandika

Unauliza "eti wananchi wananufaika vipi na ubalozi wa mtu"

Balozi ni muwakilishi wa nchi yetu ughaibuni, hivyo likitokea lolote lihusulo nchi yetu huko aliko litapitia kwake

Hii ni sawa na kusema yeye ni muwakilishi wetu

By the way kama kampeni za Magufuli hazikufurahishi wewe wala kukukuna jaribu kuchek na mgombea mwingine unayemkubali ukamskilize kwakua wagombea ni zaid ya 10
 
Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee jiwe hali mbaya sana.

Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote nifadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
Tulieni dawa iwaingie vizuri kunako.
 
Mbona Sheikh ponda anatumika ili kupata kula za waislamu hadi masheikh wanazozana? hii pia ina tafsiri kuwa hata Lissu hali sio nyepesi.
Aliyeanza ni shekhe wa Dar na kundi lake lile kamati ya amani
 
Mzeebaba kakataliwa Kusini kakataliwa Kaskazi, mashariki imemgomea na Magharibi haimtaki...

Hii ndo ile wanasema " Kumkataa shetani na Kazi zake zote "
...na mambo yake yote, na hila zake zote.
 
Mbona Sheikh ponda anatumika ili kupata kula za waislamu hadi masheikh wanazozana? hii pia ina tafsiri kuwa hata Lissu hali sio nyepesi.

Wapinzani wao waliambiwa upinzani umekufa.
 
Chadema watajuta kumsimamisha msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
 
Back
Top Bottom