Nazungumzia ccm kuchokwa na upinzani kutumia nguvu nyingi kama kushirikiana kwa vyama ili tu kupambana na ccm ambaye amechokwa,au huko kushirikiana kwa vyama na kula za waislamu ndio zinaweza kushinda nguvu ya dola waliyonayo ccm?Wapinzani wana nguvu ya dola?
Acha utopolo wako!Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee Magufuli hali mbaya sana.
Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote ni fadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
PIA SOMA:
= > Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa
Umma una nguvu kuliko dola ukiamua.Nazungumzia ccm kuchokwa na upinzani kutumia nguvu nyingi kama kushirikiana kwa vyama ili tu kupambana na ccm ambaye amechokwa,au huko kushirikiana kwa vyama na kula za waislamu ndio zinaweza kushinda nguvu ya dola waliyonayo ccm?
Sasa ingekuwa ccm imechokwa tungeona nguvu ya uuma ikiamua kusingekuwa na haja ya kushirikiana kwa vyama ili kupata kura nyingi wala kuhofia kugawika kwa kura,sasa mnapoyafanya yote hayo ili kupambana na ccm halafu hapohapo mnatuambia ccm imechokwa inakuwa haingii akilini.Umma una nguvu kuliko dola ukiamua.
Hivi hoja yako ni nini hapa dogo?Sasa ingekuwa ccm imechokwa tungeona nguvu ya uuma ikiamua kusingekuwa na haja ya kushirikiana kwa vyama ili kupata kura nyingi wala kuhofia kugawika kwa kura,sasa mnapoyafanya yote hayo ili kupambana na ccm halafu hapohapo mnatuambia ccm imechokwa inakuwa haingii akilini.
Kama ccm anatumia nguvu ya dola basi huko kushirikiana kwa vyama wala kura za waislamu hazitosaidia chochote.
Hoja yangu ni kwamba ccm ingekuwa imechokwa basi tusingeona upinzani wakitumia nguvu nyingi kupamba na ccm iliyochokwa,tusiongeona vyama kushirikiana ili kumkabili ccm iliyochokwa wala Ponda kuongeza nguvu kwa kura za waislamu ili tu kupambana na ccm iliyochokwa.Hivi hoja yako ni nini hapa dogo?
Waislamu sio watanzania? Unajua unachoongea ww dogo?Hoja yangu ni kwamba ccm ingekuwa imechokwa basi tusingeona upinzani wakitumia nguvu nyingi kupamba na ccm iliyochokwa,tusiongeona vyama kushirikiana ili kumkabili ccm iliyochokwa wala Ponda kuongeza nguvu kwa kura za waislamu ili tu kupambana na ccm iliyochokwa.
Wakati anagombea slaa mbona hakutoa hiyo kauli ilileo airudie yeye ajiandae kuondoka ikulu ama nikubaliane nae slaa alikuwa mpinzani mzuri lakini sasa lisu ni mzuri zaidi tunakuomba kwaheshima mpishe ikulu tafadhaliInamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee Magufuli hali mbaya sana.
Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote ni fadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
PIA SOMA:
= > Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa
Magufuli punguza kuropoka, unajivunjia heshima. Yaonekana halmashauri ya kichwa chako ni mbovu. Haina ushirikiano na mdomo.Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee Magufuli hali mbaya sana.
Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote ni fadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
PIA SOMA:
= > Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa
Magufuli ana hali mbaya sana. Amekataliwa kila kona mpaka chato.Mzeebaba kakataliwa Kusini kakataliwa Kaskazi, mashariki imemgomea na Magharibi haimtaki...
Hii ndio ile wanasema " Kumkataa shetani na Kazi zake zote "
Waislamu ni watanzania na kila mmoja ana haki na uhuru wa kumchagua mgombea anaeona anafaa,ila Ponda kawachagulia waislamu mgombea na kuwa kama jambo la waislamu na ndio maana imekuwa masheikh wakizozana. Kwa sababu ccm imechokwa kama mnavyosema hivyo kulikuwa hakuna haja ya Ponda kuwaelekeza waislamu wampigie kura nani na kuleta mizozo kwa masheikh.Waislamu sio watanzania? Unajua unachoongea ww dogo?
Mzeebaba kakataliwa Kusini kakataliwa Kaskazi, mashariki imemgomea na Magharibi haimtaki...
Hii ndio ile wanasema " Kumkataa shetani na Kazi zake zote "
Ni suala la ku connect dots!!Slaa alikuwa CCM akahamia Chadema baada ya kukatwa.Akapata ubunge na akawa mjenga hoja mzuri.Slaa aliwika sana kipindi cha Kikwete na kwa mambo yaliyotokea katika miaka hii mitano ya JPM ni wazi JPM alitumikia uwaziri katika kipindi cha JK kwa ugumu (nahisi na nahisi tena alikuwa akifurahia bakora za Slaa kwa JK.)Kwa mantiki hiyo ni wazi kuwa umefika wakati muafaka wa kuweka wazi kile alichokuwa anakiamini!!JPM ni mkweli na muwazi sana!!Inamaana mabalozi wengine hawafai? Mbona kwingine hakutumia majina ya mabolozi kufanya kampeni? Huyu mzee Magufuli hali mbaya sana.
Kwahio ukipewa uwaziri, au uongozi wowote ni fadhila. Wananchi wananufaika nini na ubalozi wa MTU binafsi?
PIA SOMA:
= > Dkt. Magufuli: Sijawahi kuona mpinzani bora kabisa nchini kama Dkt. Slaa
Sheikh Ponda ameingia baada ya Yule Sheikh wa Dar Es Salaam ambaye Hana maadili kumfanyia JPM Kampeni za wazi wazi msikitini na kupitia Ile Tume ya Kimagumashi ya Kitaifa inayotaka Amani bila Haki.Mbona Sheikh ponda anatumika ili kupata kula za waislamu hadi masheikh wanazozana? hii pia ina tafsiri kuwa hata Lissu hali sio nyepesi.
Saa Mbovu hiyo isikupotezee mudaHivi hoja yako ni nini hapa dogo?
Sasa hoja yako ni ipi maana kama hao masheikh hawana mvuto kwenye jamii kwa hivyo hizo kampeni zao hazina athari,sasa iweje tena Ponda akurupuke huko ili kukabiliana na hizo kampeni za masheikh kwa yeye nae kufanya kampeni kwa Lissu? Kwani Ponda aliona kuwa kama asingeingia kufanya kampeni basi hizo kampeni za masheikh zingempunguzia kura Lissu?Sheikh Ponda ameingia baada ya Yule Sheikh wa Dar Es Salaam ambaye Hana maadili kumfanyia JPM Kampeni za wazi wazi msikitini na kupitia Ile Tume ya Kimagumashi ya Kitaifa inayotaka Amani bila Haki.
Kinachowauma CCM ni kuwa Masheikh wanaompugia Debe JPM hawana mvuto kwenye jamanii mana hawana historia ya kupigania haki Kama Sheikh Ponda. Masheikh wanaompigia Chapuo JPM ni wachumia tumbo Tu.
Wewe unaona hao Masheikh wa CCM wana mvuto wowote kwenye Jamii? Yule wa Dar Hana haiba ya usheikh hivyo kujiassociate naye kunapunguza kura badala ya kuongeza.Sasa hoja yako ni ipi maana kama hao masheikh hawana mvuto kwenye jamii kwa hivyo hizo kampeni zao hazina athari,sasa iweje tena Ponda akurupuke huko ili kukabiliana na hizo kampeni za masheikh kwa yeye nae kufanya kampeni kwa Lissu? Kwani Ponda aliona kuwa kama asingeingia kufanya kampeni basi hizo kampeni za masheikh zingempunguzia kura Lissu?
NakunukuuWewe unaona hao Masheikh wa CCM wana mvuto wowote kwenye Jamii? Yule wa Dar Hana haiba ya usheikh hivyo kujiassociate naye kunapunguza kura badala ya kuongeza.
Sheikh Ponda hakwenda Kwa Lissu Ili kubalance Kura ambazo JPM atapata toka Kwa Waislam kutokana na ushawishi wa Masheikh wa CCM. Nshaeleza hawana ushawishi wowote Kwa Waislam wenye akili timamu. Sheikh Ponda kaenda kama raia Mwenye akili Timamu mana anafaham msimamo wa Lissu katika kupigania Haki, Jambo ambalo Sheikh Ponda amekuwa akalipigania ktk sehemu kubwa ya maisha yake.
Halafu ukizungumzia Jamii kama jamii basi huyo Ponda hana mvuto bali mvuto wake upo kwa waislamu wa aina ya siasa kali tu,hivyo huwezi kumpananisha huyo jamaa Ponda na masheikh.Wewe unaona hao Masheikh wa CCM wana mvuto wowote kwenye Jamii? Yule wa Dar Hana haiba ya usheikh hivyo kujiassociate naye kunapunguza kura badala ya kuongeza.
Sheikh Ponda hakwenda Kwa Lissu Ili kubalance Kura ambazo JPM atapata toka Kwa Waislam kutokana na ushawishi wa Masheikh wa CCM. Nshaeleza hawana ushawishi wowote Kwa Waislam wenye akili timamu. Sheikh Ponda kaenda kama raia Mwenye akili Timamu mana anafaham msimamo wa Lissu katika kupigania Haki, Jambo ambalo Sheikh Ponda amekuwa akalipigania ktk sehemu kubwa ya maisha yake.
Wanajamii wengine hawapendi Haki itamalaki?Halafu ukizungumzia Jamii kama jamii basi huyo Ponda hana mvuto bali mvuto wake upo kwa waislamu wa aina ya siasa kali tu,hivyo huwezi kumpananisha huyo jamaa Ponda na masheikh.