Hajaanza kutumika mwakahuu hata 2015 alitumika sana kama mzalendo baada ya kumkimbia Lowassa kwakigezo kwamba ni fisadi. Kule alipotoka wakamuita mzee wawatu oilchafu,fisadi nk . Marahii wamempokea tena eti amerudi nyumbani
Tena maisha ya wanasiasa yaani achenitu