Dkt.Slaa: Mabadiliko ya Mawaziri, Serikali haijui inataka nini, kubadili viongozi kama Gauni haisaidii kitu

Samia urais aliupata kama zali, hakujiandaa kua rais na hakutegemea hata siku moja atakuja kua rais kwa sababu anajijua mwenyewe na alisema mwenyewe kwamba alishajipima akajiona uwezo hana.

Mtamlaumu bure, hajui analolifanya.
Ni miaka ya Zali hii, Jingine linakuja huko USA- KAMALA HARIS.
Usishangae ndugu yangu, hizi ndio zama zake, muache atambe Maza wetu. TZ imeonyesha njia!
 
kwani yeye aliefukuzwa upadre na alikua anabadilisha vyama vya siasa na wanawake alikua anawabadili kama gauni au soksi?🐒

kwanza yeye yupo chama gani saivi kama sio tamaa tu zimemjaa hajui hata ajiunge chama gani kote anataka awepo 🐒
 
kwani yeye aliefukuzwa upadre na alikua anabadilisha vyama vya siasa na wanawake alikua anawabadili kama gauni au soksi?🐒

kwanza yeye yupo chama gani saivi kama sio tamaa tu zimemjaa hajui hata ajiunge chama gani kote anataka awepo 🐒
Kwi Kwi Kwi, Slaa kapiga penye mshono!
 
Yaani Slaa anataka hata watu wakivurunda waachwe waendelee kupuyanga ??!!😳

Kweli WaTZ hawajui nini hasa wanakihitaji !
Zaidi wamekuwa ni Pinga pinga fc
Kila kitu wanapinga tu! Hata jambo likiwa jema 🙄🙌🤦🏽‍♂️
 
Tutumie akili. Nape hana akili, uwezo au mamlaka ya kuukataa uwekezaji wa Elon Musk. Uamuzi huo ulikuwa maagizo toka juu - labda ili nafasi hiyo iende kwa wapendwa
 

Na sisi tuseme, yeye Dr. Slaa kutoka upadre hadi uanasiasa hadi kuoa na kuacha na kuchukua mchepuko anabadili wanawake, hajui anataka nini. 🤔🤔
 
Huyu bora alee wajukuu kama anao ameshapoteza ushawishi
 
Mridisheni Babu mumpe u-KM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…