Pre GE2025 Dkt. Slaa: Minyukano ya kambi za uchaguzi wa Mwenyekiti (Mbowe & Lissu) CHADEMA, sababu ni Mbowe anataka kugombea Urais 2025

Pre GE2025 Dkt. Slaa: Minyukano ya kambi za uchaguzi wa Mwenyekiti (Mbowe & Lissu) CHADEMA, sababu ni Mbowe anataka kugombea Urais 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Fuatilia kwa umakini minyukano ya siasa za uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA Taifa utakaofanyika tarehe 21/01/2025 inayoendelea ndani ya chama hiki kisha husianisha na matukio haya👇..

TUKIO #1: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea u - Rais wa JMT 2025 iwapo chama chake kitampa ridhaa. Asema, tayari ameshaiweka nia yake hiyo kwa barua (maandishi) na kuiwasilisha kwa katibu mkuu..
View attachment 3192796

TUKIO#2: Sambamba na kuweka wazi nia yake kugombea u - Rais wa JMT, TL pia atangaza kusudio lake la kuwania Umakamu mwenyekiti wa CHADEMA kwa awamu ya pili 2024 - 2025..

TUKIO #3: Ghafla, Tundu Lissu aondoa kusudio lake la kuwania Umakamu mwenyekiti wa CHADEMA na badala yake kutangaza kuwania nafasi ya juu zaidi (Uenyekiti) wa CHADEMA...

TUKIO #4: Tundu Lissu apokea vitisho vya kuuwawa tena kama ilivyokuwa mwaka 2017 alipopigwa risasi 37. Anasema mtu muhimu na mzito sana ndani ya serikali kampa siri ya mipango inayosukwa na kikosi kazi cha siri ndani ya serikali. Aambiwa achukue tahadhari zote kwa usalama wake. Aanza kuvaa "bullet proof" kila anapokuwa ktk shughuli zake za nje...

TUKIO #5: Katibu mkuu John John Mnyika, atangaza rasmi tarehe ya uchaguzi, kuchukua na urejeshaji fomu za kuomba kuteuliwa kugombea nafasi mbali ndani ya chama ikiwemo Uenyekiti Taifa. Tundu Lissu siku ya kwanza tu aenda kuchukua fomu na kesho yake akalipia 1,500,000 (pesa ambayo anasema ilitolewa na mwanaharakati Sativa kama njia ya kumsapoti)

TUKIO #6: Wanaosemekana wafuasi na wapenzi wa M/Kiti kadhaa wafika kwake kwa kile walichodai kumshawishi achukue fomu Ili naye agombee (atetee nafasi). Asita kukubali siku hiyo. Awaambia wasubiri, atafakari kwanza aone mambo yanavyokwenda na akiona "chama chake kinaparanganyika, ataingia mzigoni" na masaa 48 atakuwa analo jibu. Masaa 48 yakaisha, akatoa jibu la NDIYO na kutangaza rasmi kuwa atachukua fomu na kutetea kiti chake...!

TUKIO #7: Freeman Mbowe baada ya siku kadhaa kuwa kimya, aonekana kwenye kituo kimoja cha TV ya matandaoni (Online TV) akifanya mahojiano na mwandishi wa habari maarufu Salimu Kikeke. Mahojiano yake hayo yanazua maswali mengi. Anasema, haelewi ni kwanini Makamu wake (Tundu Lissu) ameamua kugombea uenyekiti kwa kuwa walikaa, wakazungumza na kukubaliana. Hakuweka wazi walizungumza na kukubaliana nini. Anamshauri mwandishi aende akamuulize swali hili Tundu Lissu, maana yeye hana jibu. Japo hakusema wazi, lakini inawezekana makubaliano yao ni "NANI AWE MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA" tena 2024 - 2029...

TUKIO #8: Hili ndilo msingi mkuu wa mjadala huu na hayo mengine yote yatakuwa ni rejea. Ni Dr Wilbroad Slaa (Balozi) akiwa kwenye mjadala wa Moja ya Club 🏠 House mtandaoni akichambua hoja za Freeman Mbowe ktk interview ile ya kwenye Online TV. Dr Slaa anasema, kiini cha vita hii ya siasa za madaraka ya uongozi kati ya FREEMAN MBOWE na TUNDU LISSU, ni kwa sababu mapatano ya Samia na Mbowe ni kuwa, yeye Freeman Mbowe ndiyo agombee u - Rais ktk uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 kwa tiketi ya CHADEMA na sio Tundu Lissu. Mama Abdul atatoa mapesa mengi kwa CHADEMA na watapata/achiwa/shindishwa kwenye majimbo kadhaa ya ubunge...!

âś“ Inasemekana Moja ya makubaliano ya kilichoitwa "maridhiano" ni Freeman Mbowe kuhakikisha Tundu Lissu "anatoka katika picha" kabisa ya CHADEMA kwa kutokuwa na nafasi yoyote ya uongozi. Sasa anza kuunganisha dots:

âś“ Ndiyo maana TL aliwekewa Hezekiah Wenje apambane naye kwenye nafasi ya Umakamu mwenyekiti. System ingehakikisha Wenje anashinda iwe mvua au jua huku Freeman Mbowe naye akiwa mgombea pekee au akiwekewa mshindani dhaifu kwenye Uenyekiti..

âś“ Tundu Lissu akatonywa mkakati huu, akaambiwa, mfuate huko huko juu naye akajibu "sasa nampandia huko huko juu", kwenye Uenyekiti....

âś“ Kwa mujibu wa Dr Wilbroad Slaa, ni kuwa mapatano ya Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT na Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA) kwenye "maridhiano" yao ni:
Moja; Ni kuhakikisha Tundu Lissu hana nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama na ikibidi afukuzwe uanachama kabisa. Kwa njia hii hatakuwa na jukwaa la kusemea.

Pili, kuhakikisha yeye Freeman Mbowe ndiye anakuwa mgombea u - Rais wa CHADEMA na siyo Tundu Lissu. Lengo sio Mbowe ashinde bali kutoa unafuu wa Samia Suluhu na CCM kushinda kilaini. Mtu kama Tundu Lissu kwa ushawishi alionao kwao CCM na Samia wao ni hatari, atakuwa anawalaza na viatu...

##Sasa unaweza kuelewa ni kwanini TL mara kwa mara anayaponda maridhiano hayo na kusema wazi "Kuna mengi nyuma ya pazia ambayo Mwenyekiti huwa hawaambii wenzake kwenye hii kitu inayoitwa maridhiano..."

✓Pamoja na mikakati na figusufigisu hizi zinazoendelea ndani ya CHADEMA kuhakikisha TL "is out of the picture" kwa vihoja vya mara oh anatoa siri za chama, mara ooh hana busara, au amevunja na kukiuka katiba au mara hivi au vile; ieleweke tu kuwa, yote haya ni harakati za kujaribu kumjengea hoja ya "kumkosesha sifa ya haki ya kugombea uongozi na uanachama" Ili lengo na kusudi la kumtoa ktk chama (to take him out of the picture) litimie, ili CCM na Samia wao wapumue..!

âś“ Lakini pia moja ya "option" iliyosukwa kama njia hizi za ndani ya chama zinashindikana, ni kumuua kabisa au kumdhuru au kumjeruhi vibaya kabla ya uchaguzi Ili atumie muda mwingi kujiuguza hospitalini, akitoka huko akute mwana si wake..

âś“ Huu mkakati wa kumdhuru TL unasukwa na "wasiojulikana" ndani ya serikali/CCM na wengine wako ndani ya CHADEMA na Freeman Mbowe anajua fika...!!

Sasa unaweza kuelewa ni kwanini Team Campaign ya Freeman Mbowe ni wakali na wanahakikisha yanakuwa kama ilivyopangwa iwe jua au mvua kwa sababu ya ahadi walizopewa ikiwemo viti kadhaa vya ubunge, fedha za kampeni ya u - Rais nk

Aidha unaweza sasa pia kuelewa ni kwanini Chawa wa Freeman Mbowe wanatumia kauli au kigezo cha fedha kama turufu yao. Kwamba, hata akiwa Mwenyekiti huyu TL atatoa wapi pesa za kuendesha chama, kampeni ya u Rais nk iwapo TZS 30,000,000 tu za kuchangia gharama za mkutano mkuu wa uchaguzi ameshindwa kutoa. Msingi wa hoja hii, ni kuwa, wao wanategemea pesa za Abdul na mama yake alizohongwa na waarabu DP World na Oman kwa kuwapa rasrimali asili zetu bandari, misitu na mbuga za wanyama..!!

Sharti ni Moja tu: Mdhibitini huyu bwana.....Tundu Lissu
Ukisikia kumechangamka ndo hii sasa.
Slaa hamkubaligi Mbowe since ahame.
 
Fuatilia kwa umakini minyukano ya siasa za uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA Taifa utakaofanyika tarehe 21/01/2025 inayoendelea ndani ya chama hiki kisha husianisha na matukio haya👇..

TUKIO #1: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea u - Rais wa JMT 2025 iwapo chama chake kitampa ridhaa. Asema, tayari ameshaiweka nia yake hiyo kwa barua (maandishi) na kuiwasilisha kwa katibu mkuu..
View attachment 3192796

TUKIO#2: Sambamba na kuweka wazi nia yake kugombea u - Rais wa JMT, TL pia atangaza kusudio lake la kuwania Umakamu mwenyekiti wa CHADEMA kwa awamu ya pili 2024 - 2025..

TUKIO #3: Ghafla, Tundu Lissu aondoa kusudio lake la kuwania Umakamu mwenyekiti wa CHADEMA na badala yake kutangaza kuwania nafasi ya juu zaidi (Uenyekiti) wa CHADEMA...

TUKIO #4: Tundu Lissu apokea vitisho vya kuuwawa tena kama ilivyokuwa mwaka 2017 alipopigwa risasi 37. Anasema mtu muhimu na mzito sana ndani ya serikali kampa siri ya mipango inayosukwa na kikosi kazi cha siri ndani ya serikali. Aambiwa achukue tahadhari zote kwa usalama wake. Aanza kuvaa "bullet proof" kila anapokuwa ktk shughuli zake za nje...

TUKIO #5: Katibu mkuu John John Mnyika, atangaza rasmi tarehe ya uchaguzi, kuchukua na urejeshaji fomu za kuomba kuteuliwa kugombea nafasi mbali ndani ya chama ikiwemo Uenyekiti Taifa. Tundu Lissu siku ya kwanza tu aenda kuchukua fomu na kesho yake akalipia 1,500,000 (pesa ambayo anasema ilitolewa na mwanaharakati Sativa kama njia ya kumsapoti)

TUKIO #6: Wanaosemekana wafuasi na wapenzi wa M/Kiti kadhaa wafika kwake kwa kile walichodai kumshawishi achukue fomu Ili naye agombee (atetee nafasi). Asita kukubali siku hiyo. Awaambia wasubiri, atafakari kwanza aone mambo yanavyokwenda na akiona "chama chake kinaparanganyika, ataingia mzigoni" na masaa 48 atakuwa analo jibu. Masaa 48 yakaisha, akatoa jibu la NDIYO na kutangaza rasmi kuwa atachukua fomu na kutetea kiti chake...!

TUKIO #7: Freeman Mbowe baada ya siku kadhaa kuwa kimya, aonekana kwenye kituo kimoja cha TV ya matandaoni (Online TV) akifanya mahojiano na mwandishi wa habari maarufu Salimu Kikeke. Mahojiano yake hayo yanazua maswali mengi. Anasema, haelewi ni kwanini Makamu wake (Tundu Lissu) ameamua kugombea uenyekiti kwa kuwa walikaa, wakazungumza na kukubaliana. Hakuweka wazi walizungumza na kukubaliana nini. Anamshauri mwandishi aende akamuulize swali hili Tundu Lissu, maana yeye hana jibu. Japo hakusema wazi, lakini inawezekana makubaliano yao ni "NANI AWE MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA" tena 2024 - 2029...

TUKIO #8: Hili ndilo msingi mkuu wa mjadala huu na hayo mengine yote yatakuwa ni rejea. Ni Dr Wilbroad Slaa (Balozi) akiwa kwenye mjadala wa Moja ya Club 🏠 House mtandaoni akichambua hoja za Freeman Mbowe ktk interview ile ya kwenye Online TV. Dr Slaa anasema, kiini cha vita hii ya siasa za madaraka ya uongozi kati ya FREEMAN MBOWE na TUNDU LISSU, ni kwa sababu mapatano ya Samia na Mbowe ni kuwa, yeye Freeman Mbowe ndiyo agombee u - Rais ktk uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 kwa tiketi ya CHADEMA na sio Tundu Lissu. Mama Abdul atatoa mapesa mengi kwa CHADEMA na watapata/achiwa/shindishwa kwenye majimbo kadhaa ya ubunge...!

âś“ Inasemekana Moja ya makubaliano ya kilichoitwa "maridhiano" ni Freeman Mbowe kuhakikisha Tundu Lissu "anatoka katika picha" kabisa ya CHADEMA kwa kutokuwa na nafasi yoyote ya uongozi. Sasa anza kuunganisha dots:

âś“ Ndiyo maana TL aliwekewa Hezekiah Wenje apambane naye kwenye nafasi ya Umakamu mwenyekiti. System ingehakikisha Wenje anashinda iwe mvua au jua huku Freeman Mbowe naye akiwa mgombea pekee au akiwekewa mshindani dhaifu kwenye Uenyekiti..

âś“ Tundu Lissu akatonywa mkakati huu, akaambiwa, mfuate huko huko juu naye akajibu "sasa nampandia huko huko juu", kwenye Uenyekiti....

âś“ Kwa mujibu wa Dr Wilbroad Slaa, ni kuwa mapatano ya Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT na Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA) kwenye "maridhiano" yao ni:
Moja; Ni kuhakikisha Tundu Lissu hana nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama na ikibidi afukuzwe uanachama kabisa. Kwa njia hii hatakuwa na jukwaa la kusemea.

Pili, kuhakikisha yeye Freeman Mbowe ndiye anakuwa mgombea u - Rais wa CHADEMA na siyo Tundu Lissu. Lengo sio Mbowe ashinde bali kutoa unafuu wa Samia Suluhu na CCM kushinda kilaini. Mtu kama Tundu Lissu kwa ushawishi alionao kwao CCM na Samia wao ni hatari, atakuwa anawalaza na viatu...

##Sasa unaweza kuelewa ni kwanini TL mara kwa mara anayaponda maridhiano hayo na kusema wazi "Kuna mengi nyuma ya pazia ambayo Mwenyekiti huwa hawaambii wenzake kwenye hii kitu inayoitwa maridhiano..."

✓Pamoja na mikakati na figusufigisu hizi zinazoendelea ndani ya CHADEMA kuhakikisha TL "is out of the picture" kwa vihoja vya mara oh anatoa siri za chama, mara ooh hana busara, au amevunja na kukiuka katiba au mara hivi au vile; ieleweke tu kuwa, yote haya ni harakati za kujaribu kumjengea hoja ya "kumkosesha sifa ya haki ya kugombea uongozi na uanachama" Ili lengo na kusudi la kumtoa ktk chama (to take him out of the picture) litimie, ili CCM na Samia wao wapumue..!

âś“ Lakini pia moja ya "option" iliyosukwa kama njia hizi za ndani ya chama zinashindikana, ni kumuua kabisa au kumdhuru au kumjeruhi vibaya kabla ya uchaguzi Ili atumie muda mwingi kujiuguza hospitalini, akitoka huko akute mwana si wake..

âś“ Huu mkakati wa kumdhuru TL unasukwa na "wasiojulikana" ndani ya serikali/CCM na wengine wako ndani ya CHADEMA na Freeman Mbowe anajua fika...!!

Sasa unaweza kuelewa ni kwanini Team Campaign ya Freeman Mbowe ni wakali na wanahakikisha yanakuwa kama ilivyopangwa iwe jua au mvua kwa sababu ya ahadi walizopewa ikiwemo viti kadhaa vya ubunge, fedha za kampeni ya u - Rais nk

Aidha unaweza sasa pia kuelewa ni kwanini Chawa wa Freeman Mbowe wanatumia kauli au kigezo cha fedha kama turufu yao. Kwamba, hata akiwa Mwenyekiti huyu TL atatoa wapi pesa za kuendesha chama, kampeni ya u Rais nk iwapo TZS 30,000,000 tu za kuchangia gharama za mkutano mkuu wa uchaguzi ameshindwa kutoa. Msingi wa hoja hii, ni kuwa, wao wanategemea pesa za Abdul na mama yake alizohongwa na waarabu DP World na Oman kwa kuwapa rasrimali asili zetu bandari, misitu na mbuga za wanyama..!!

Sharti ni Moja tu: Mdhibitini huyu bwana.....Tundu Lissu
Slaa alisema amejiuzulu siasa hajatoa taarifa kama hivi sasa ni mganga wa ramli!
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Kumbe Mbowe ni msaliti anaitumia chadema kama chimbo la ukwasi
 
1736062724006.png
NDUMILA'KUNANE(DOC Octopus) analala na viatu!
 
Uongo mtupu mnajihami baada ya kuona Tundu anaenda kupotezwa katika ra.mani za kisiasa.
Mimi ni mchunguzi wa matukio, kuyachambua na kutoa maoni yangu tu ndugu. Huna haja ya kununa na kutetemeka...

By the way nimekuwekea mlolongo wa matukio, ya kweli na halisi. Uongo wangu uko wapi? Hayo hayakutokea...?
Lissu ilikuwa rahisi kwake kumshinda Wenje katika nafasi ya Umakamu kuliko kumshinda Mbowe katika nafasi ya m/ kiti hivyo hata kama amewekewa Wenje kama angetaka kubaki katika uongozi basi angepima ipi ni nafasi rahisi kwake kushinda na kugombea. Ni wazi akishindwa uenyekiti automatically atakuwa ametolewa katika uongozi na hiyo haimaanishi ni kwa sababu ya njama bali matokeo ya uchaguzi na hapo huwezi kumlaumu Mbowe.
Ni maoni na mtazamo wako kulingana na ukomo wa ufahamu wako..

Sasa ameamua kupanda juu huko huko aliko boss wako. Acha inyeshe, tuone panapovuja...!
Kuhusu kugombea urais Lissu aelewe hiyo siyo haki yake bali ni favour mtu yeyote anaweza kupewa hiyo fursa akawakilisha chama.
Unasemaje? Ni favour? Nani ampe favour nani..?

Ushauri wangu kwako ni huu..

Hii kauli mwambie Freeman Mbowe maana hili ndilo agano lake na "watesi wetu CCM" kupitia kwa Mama Abdul. Sasa anajaribu kulitekeleza. Lakini unajua nini? HE HAS ALREADY FAILED...!!
Kama anataka sana kugombea urais basi vipo vyama aombe agombee kutoka huko tuone kama atashinda.
CHADEMA ndiyo kwake. Atakuwa mwenyekiti, na ndiye mgombea wetu wa u - Rais 2025 whether you like it or not...!
Hoja yako ya urais ni mufilisi kabisa mtu yeyote timamu anajua CCM hawawezi kuuachia urais uchukuliwe na mtu nje ya CCM na yeyote anayegombea anajua hilo hata Lissu wako analijua hilo.
Akili zako ni za binadamu aliyeumbwa kwa udongo tu. Hawazi ama kufikiri zaidi kisogo chake kinapoishia..!

Pole sana kwa ufinyu wa fikra zako...
Faida pekee ya kugombea urais ni chama kupata ruzuku kubwa na wabunge wa viti maalum wengi kutokana na zile kura za urais atakazopata mgombea.
Historia ya dunia bila shaka inakupiga chenga. Unachoangalia wewe ni leo nimekula na kwenda choo, basi...

Utashangaa na kupigwa bumbuwazi pale utakapojua kuwa kumbe MUNGU SIO RMC...!!
Lissu anajifuta mwenyewe katika siasa kwa kutengeneza uadui na viongozi wenzake ndani ya CHADEMA na option pekee iliyo salama akaanzishe chama chake atoke jasho kukijenga na itamchukua miaka na pengine asifanikiwe sana maana hana fedha .
You are too low my friend..

Fedha? Fedha za kuendesha taasisi kama hii (chama cha siasa) ziko kwetu wapenzi, wafuasi na wanachama..

Hii kauli unaitoa ktk ground ipi hasa? Kwamba CHADEMA hakina wapenzi, mashabiki na wanachama wenye fedha?

Kama unafikiri hivi, basi akili na ufahamu wako ktk mambo haya uko chini ya wastani, unahitaji kubustiwa..
Akijiunga na hivi vyama vilivyopo atapata fursa ya kugombea urais tu lakini cheo hawatampacna baada ya uchaguzi watamtosa.

Lissu amelikoroga mwenyewe.
Mawazo ni mwanafunzi wa kidato cha pili haya..

Pole, karibu tena kwa maoni yako...

Hapa chini ni link ya YouTube. Msikilize Dr Slaa kwa umakini hasa kuanzia dakika ya 34

View: https://youtu.be/XTlnmsgZPRk?si=QISH6D5yf6AeGhZ6
 
Mleta mada Umeandika kirefu tuhuma bila chembe ya ushahidi hakikika hata mmoja

Umejaza umbeya wa uswahilini mwanzo hadi mwisho
Hayo matukio yote hayakutukia?

Sasa unataka ushahidi upi?

Freeman Mbowe hakufanya Interview na Salim Kikeke?

Hakusema naye alishangaa makamu wake kum - challenge kwenye uenyekiti wake?

Au unataka ushahidi wa kilichosemwa na Dr Slaa?

Ok. Fungua link hii👇🏻 ya YouTube kisha specifically, msikilize kuanzia dakika ya 34 na kuendelea

View: https://youtu.be/XTlnmsgZPRk?si=QISH6D5yf6AeGhZ6
 
Yeye ni mwanachama wa chama gani?
Chama kinaitwa Tanganyika au sema Tanzania...

Ni mwananchi na raia wa Tanganyika...

Swali la kichokozi:

Hivi tarehe 9 ya mwezi desemba kila mwaka huwa ni sherehe ya kumbukumbu ya uhuru wa nchi fulani. Unaweza kuniambia jina la nchi hiyo?
 
Kwa agano ambalo Freeman Mbowe ameingia na Mama Abdul/CCM, definitely, amedanganywa na shetani kuwa atapata wabunge wengi...

Hii ndiyo inayoleta shida ndani ya CHADEMA sasa. Freeman Mbowe kuingizwa mkenge kirahisi na ma - CCM...

Wenzake wamemchoka na sasa wanamwambia kwa macho makavu kabisa kuwa, NO WAY....!
kwa minajili ya kumfanyia tuu send off kwenye uenyekiti, na CCM ishinde kiulaini, ila kama ni kuishinda CCM na kuiingiza Chadema IKulu, Mbowe hawezi, ni mlaini sana kama mlenda!, mtu wa kuishinda CCM na kuiingiza Chadema ikulu ni mmoja tuu, Tundu Lissu!
Very funny, looh...!

Wewe umeelewa maudhui ya andiko hili...
Hapa tutatofautiana...

Tundu Lissu is not a liability. He's always a valuable asset...

Kwa mfumo wa kisheria na kikatiba unaosimamia na kuongoza ufanyikaji wa chaguzi zetu, hata ulete asset ya thamani kiasi gani ktk soko la uchaguzi chini ya mfumo huu, itaibiwa tu na wakora wa CCM..

2020 Tundu Lissu huyu huyu alimpiga John P. Magufuli kwa kura halisi zaidi ya 75% lakini majambazi yaliiba...!

That's why, we say NO REFORMS - NO 2025 GENERAL ELECTION ...
 
Mleta mada mjinga fulani hivi kaweka Dr Slaa ili kuvuta attention watu wasome lakini alichoandika upumbavu mtupu na
Una hasira sana eti eeh...?

Mimi ni mjumbe tu ndugu. Tunaleta, kuchambua na kujadili yaliyopo ndani ya jamii sasa..

Mimi sio mpumbavu. Mpumbavu ni yule asiyetaka kuhoji, kuchambua na kutaka kujua kila tukio lina maana gani na kile kilicho nyuma ya kila tukio...!
Pili Tundu Lisu ni mtu ambaye hata katiba ya Chadema haijjui kabisa ushahidi ni kuwa kuomba kugombea cheo xhochote ndani ya Chadema huwa mtu haandiki barua ya juomba kugombea.Muda ukifika wa kugombea mtu huenda kuchukua fomu kulipia na kujaza fomu haandiki barua hata siku moja
Kwa hiyo ni kosa kikatiba kuandika barua, au siyo..?

Kwenye ibara au kipengere gani cha katiba au hata kanuni basi..?

Hizi ni pure mawazo na akili za wana CCM wajinga. Na wewe uko huko siyo..?

Ninachoweza kukushauri ni hiki:

Waambie watu wako au wewe mwenyewe wamwekee pingamizi la kuwa "amekosa sifa ya kuwa mgombea" na sababu iwe "aliandika barua badala ya kwenda tu kuchukua fomu ya kuomba kugombea"

Ukifanya hivi, utaona jinsi utakavyo expose ujinga na upumbavu wako..!
Lisu kichwani hamna kitu hata sijui walimpaje hata huo umakamu mwenyekiti mtu asiyejua hata taratibu tu za kugombea uraisi eti ooh nimeandika barua !! Ugombea uraisi unaombwa kwa kuandika barua ? Hopeless kabisa
Aisee..

Kwamba Tundu Lissu hana kitu kichwani mwake...!!!???

Looh, kwa kauli hii, sasa natambua kuwa kumbe nasoma na kujibu maandishi ya mtu confused asiyeweza kutofautisha JEMA na BAYA...

I feel pity for you Mr Shotocan !!
 
Hii ya kusema mama Samia amekubaliana na mbowe agombee yeye badala ya Lissu ili iwe rahisi kushinda naona Ni uongo hivi Kuna mtu ambaye hapendi uraisi mpaka akuachie? Hata akigombea Mbowe uraisi sio rahisi eti amuachie mpinzani wake Mama Samia eti ashinde hii imekaa kiporojo sana hata Kama Mimi sio mpenzi wa vyama vyenu hivi mnavyoshabikia lakini hii hainiingii akili hata kudogo
Mbona huko kenya kina Musyoka huacha kugombea kwa ajili ya Odinga. Hata RFK Jr aliacha ugombea na kumuunga Trump. Cha msingi ukihakikishiwa maslahi either teuzi serikalini au "ahsante" nzuri basi unaachia.
 
Uongo mtupu mnajihami baada ya kuona Tundu anaenda kupotezwa katika ra.mani za kisiasa.

Lissu ilikuwa rahisi kwake kumshinda Wenje katika nafasi ya Umakamu kuliko kumshinda Mbowe katika nafasi ya m/ kiti hivyo hata kama amewekewa Wenje kama angetaka kubaki katika uongozi basi angepima ipi ni nafasi rahisi kwake kushinda na kugombea. Ni wazi akishindwa uenyekiti automatically atakuwa ametolewa katika uongozi na hiyo haimaanishi ni kwa sababu ya njama bali matokeo ya uchaguzi na hapo huwezi kumlaumu Mbowe.

Kuhusu kugombea urais Lissu aelewe hiyo siyo haki yake bali ni favour mtu yeyote anaweza kupewa hiyo fursa akawakilisha chama.

Kama anataka sana kugombea urais basi vipo vyama aombe agombee kutoka huko tuone kama atashinda.

Hoja yako ya urais ni mufilisi kabisa mtu yeyote timamu anajua CCM hawawezi kuuachia urais uchukuliwe na mtu nje ya CCM na yeyote anayegombea anajua hilo hata Lissu wako analijua hilo.

Faida pekee ya kugombea urais ni chama kupata ruzuku kubwa na wabunge wa viti maalum wengi kutokana na zile kura za urais atakazopata mgombea.

Lissu anajifuta mwenyewe katika siasa kwa kutengeneza uadui na viongozi wenzake ndani ya CHADEMA na option pekee iliyo salama akaanzishe chama chake atoke jasho kukijenga na itamchukua miaka na pengine asifanikiwe sana maana hana fedha .

Akijiunga na hivi vyama vilivyopo atapata fursa ya kugombea urais tu lakini cheo hawatampacna baada ya uchaguzi watamtosa.

Lissu amelikoroga mwenyewe.
Heeheeee imebidi nicheke tu, kwahiyo unategemea Lissu akishindwa ndio atakufa kisiasa na Huyo Mbowe ndio atakua relevant? Ni hivi Lissu akishindwa, wapiga kura wa upinzani (wengi kuliko wenye kadi za uanachama) wataacha kupiga kura wala kuhudhuria shughuli yoyote ya chadema na tutakua irrelevant kama CUF ya sasa.
 
Fuatilia kwa umakini minyukano ya siasa za uchaguzi wa Mwenyekiti CHADEMA Taifa utakaofanyika tarehe 21/01/2025 inayoendelea ndani ya chama hiki kisha husianisha na matukio haya👇..

TUKIO #1: Tundu Lissu atangaza nia ya kugombea u - Rais wa JMT 2025 iwapo chama chake kitampa ridhaa. Asema, tayari ameshaiweka nia yake hiyo kwa barua (maandishi) na kuiwasilisha kwa katibu mkuu..
View attachment 3192796

TUKIO#2: Sambamba na kuweka wazi nia yake kugombea u - Rais wa JMT, TL pia atangaza kusudio lake la kuwania Umakamu mwenyekiti wa CHADEMA kwa awamu ya pili 2024 - 2025..

TUKIO #3: Ghafla, Tundu Lissu aondoa kusudio lake la kuwania Umakamu mwenyekiti wa CHADEMA na badala yake kutangaza kuwania nafasi ya juu zaidi (Uenyekiti) wa CHADEMA...

TUKIO #4: Tundu Lissu apokea vitisho vya kuuwawa tena kama ilivyokuwa mwaka 2017 alipopigwa risasi 37. Anasema mtu muhimu na mzito sana ndani ya serikali kampa siri ya mipango inayosukwa na kikosi kazi cha siri ndani ya serikali. Aambiwa achukue tahadhari zote kwa usalama wake. Aanza kuvaa "bullet proof" kila anapokuwa ktk shughuli zake za nje...

TUKIO #5: Katibu mkuu John John Mnyika, atangaza rasmi tarehe ya uchaguzi, kuchukua na urejeshaji fomu za kuomba kuteuliwa kugombea nafasi mbali ndani ya chama ikiwemo Uenyekiti Taifa. Tundu Lissu siku ya kwanza tu aenda kuchukua fomu na kesho yake akalipia 1,500,000 (pesa ambayo anasema ilitolewa na mwanaharakati Sativa kama njia ya kumsapoti)

TUKIO #6: Wanaosemekana wafuasi na wapenzi wa M/Kiti kadhaa wafika kwake kwa kile walichodai kumshawishi achukue fomu Ili naye agombee (atetee nafasi). Asita kukubali siku hiyo. Awaambia wasubiri, atafakari kwanza aone mambo yanavyokwenda na akiona "chama chake kinaparanganyika, ataingia mzigoni" na masaa 48 atakuwa analo jibu. Masaa 48 yakaisha, akatoa jibu la NDIYO na kutangaza rasmi kuwa atachukua fomu na kutetea kiti chake...!

TUKIO #7: Freeman Mbowe baada ya siku kadhaa kuwa kimya, aonekana kwenye kituo kimoja cha TV ya matandaoni (Online TV) akifanya mahojiano na mwandishi wa habari maarufu Salimu Kikeke. Mahojiano yake hayo yanazua maswali mengi. Anasema, haelewi ni kwanini Makamu wake (Tundu Lissu) ameamua kugombea uenyekiti kwa kuwa walikaa, wakazungumza na kukubaliana. Hakuweka wazi walizungumza na kukubaliana nini. Anamshauri mwandishi aende akamuulize swali hili Tundu Lissu, maana yeye hana jibu. Japo hakusema wazi, lakini inawezekana makubaliano yao ni "NANI AWE MWENYEKITI WA CHADEMA TAIFA" tena 2024 - 2029...

TUKIO #8: Hili ndilo msingi mkuu wa mjadala huu na hayo mengine yote yatakuwa ni rejea.

View: https://youtu.be/XTlnmsgZPRk?si=NYQrP_QgSUzX9fDX
Katika audio video hiyo👆👆, ni Dr Wilbroad Slaa (Balozi) akiwa kwenye mjadala wa Moja ya Club 🏠 House mtandaoni akichambua hoja za Freeman Mbowe ktk interview ile ya kwenye Online TV....

Dr Slaa anasema, kiini cha vita hii ya siasa za madaraka ya uongozi kati ya FREEMAN MBOWE na TUNDU LISSU, ni kwa sababu mapatano ya Samia na Mbowe ni kuwa, yeye Freeman Mbowe ndiyo agombee u - Rais ktk uchaguzi mkuu mwaka huu 2025 kwa tiketi ya CHADEMA na sio Tundu Lissu. Mama Abdul atatoa mapesa mengi kwa CHADEMA na watapata/achiwa/shindishwa kwenye majimbo kadhaa ya ubunge...!

âś“ Inasemekana Moja ya makubaliano ya kilichoitwa "maridhiano" ni Freeman Mbowe kuhakikisha Tundu Lissu "anatoka katika picha" kabisa ya CHADEMA kwa kutokuwa na nafasi yoyote ya uongozi. Sasa anza kuunganisha dots:

âś“ Ndiyo maana TL aliwekewa Hezekiah Wenje apambane naye kwenye nafasi ya Umakamu mwenyekiti. System ingehakikisha Wenje anashinda iwe mvua au jua huku Freeman Mbowe naye akiwa mgombea pekee au akiwekewa mshindani dhaifu kwenye Uenyekiti..

âś“ Tundu Lissu akatonywa mkakati huu, akaambiwa, mfuate huko huko juu naye akajibu "sasa nampandia huko huko juu", kwenye Uenyekiti....

âś“ Kwa mujibu wa Dr Wilbroad Slaa, ni kuwa mapatano ya Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa JMT na Freeman Mbowe (Mwenyekiti wa CHADEMA) kwenye "maridhiano" yao ni:
Moja; Ni kuhakikisha Tundu Lissu hana nafasi yoyote ya uongozi ndani ya chama na ikibidi afukuzwe uanachama kabisa. Kwa njia hii hatakuwa na jukwaa la kusemea.

Pili, kuhakikisha yeye Freeman Mbowe ndiye anakuwa mgombea u - Rais wa CHADEMA na siyo Tundu Lissu. Lengo sio Mbowe ashinde bali kutoa unafuu wa Samia Suluhu na CCM kushinda kilaini. Mtu kama Tundu Lissu kwa ushawishi alionao kwao CCM na Samia wao ni hatari, atakuwa anawalaza na viatu...

##Sasa unaweza kuelewa ni kwanini TL mara kwa mara anayaponda maridhiano hayo na kusema wazi "Kuna mengi nyuma ya pazia ambayo Mwenyekiti huwa hawaambii wenzake kwenye hii kitu inayoitwa maridhiano..."

✓Pamoja na mikakati na figusufigisu hizi zinazoendelea ndani ya CHADEMA kuhakikisha TL "is out of the picture" kwa vihoja vya mara oh anatoa siri za chama, mara ooh hana busara, au amevunja na kukiuka katiba au mara hivi au vile; ieleweke tu kuwa, yote haya ni harakati za kujaribu kumjengea hoja ya "kumkosesha sifa ya haki ya kugombea uongozi na uanachama" Ili lengo na kusudi la kumtoa ktk chama (to take him out of the picture) litimie, ili CCM na Samia wao wapumue..!

âś“ Lakini pia moja ya "option" iliyosukwa kama njia hizi za ndani ya chama zinashindikana, ni kumuua kabisa au kumdhuru au kumjeruhi vibaya kabla ya uchaguzi Ili atumie muda mwingi kujiuguza hospitalini, akitoka huko akute mwana si wake..

âś“ Huu mkakati wa kumdhuru TL unasukwa na "wasiojulikana" ndani ya serikali/CCM na wengine wako ndani ya CHADEMA na Freeman Mbowe anajua fika...!!

Sasa unaweza kuelewa ni kwanini Team Campaign ya Freeman Mbowe ni wakali na wanahakikisha yanakuwa kama ilivyopangwa iwe jua au mvua kwa sababu ya ahadi walizopewa ikiwemo viti kadhaa vya ubunge, fedha za kampeni ya u - Rais nk

Aidha unaweza sasa pia kuelewa ni kwanini Chawa wa Freeman Mbowe wanatumia kauli au kigezo cha fedha kama turufu yao. Kwamba, hata akiwa Mwenyekiti huyu TL atatoa wapi pesa za kuendesha chama, kampeni ya u Rais nk iwapo TZS 30,000,000 tu za kuchangia gharama za mkutano mkuu wa uchaguzi ameshindwa kutoa. Msingi wa hoja hii, ni kuwa, wao wanategemea pesa za Abdul na mama yake alizohongwa na waarabu DP World na Oman kwa kuwapa rasrimali asili zetu bandari, misitu na mbuga za wanyama..!!

Sharti ni Moja tu: Mdhibitini huyu bwana.....Tundu Lissu

Kama ulichoandika ni kweli, basi Tundu Antipass Lissu bye bye Chadema, bye bye siasa.
 
Kwa agano ambalo Freeman Mbowe ameingia na Mama Abdul/CCM, definitely, amedanganywa na shetani kuwa atapata wabunge wengi...

Hii ndiyo inayoleta shida ndani ya CHADEMA sasa. Freeman Mbowe kuingizwa mkenge kirahisi na ma - CCM...

Wenzake wamemchoka na sasa wanamwambia kwa macho makavu kabisa kuwa, NO WAY....!

Very funny, looh...!

Wewe umeelewa maudhui ya andiko hili...

Hapa tutatofautiana...

Tundu Lissu is not a liability. He's always a valuable asset...

Kwa mfumo wa kisheria na kikatiba unaosimamia na kuongoza ufanyikaji wa chaguzi zetu, hata ulete asset ya thamani kiasi gani ktk soko la uchaguzi chini ya mfumo huu, itaibiwa tu na wakora wa CCM..

2020 Tundu Lissu huyu huyu alimpiga John P. Magufuli kwa kura halisi zaidi ya 75% lakini majambazi yaliiba...!

That's why, we say NO REFORMS - NO 2025 GENERAL ELECTION ...
Kwamba Lissu alimshinda Magu Kwa 75%?

Wewe ulifanikiwa kuzitofautisha kura fake na kura halali ndani ya Sanduku la kura na kumjua mshindi wa kura halali kati ya Lissu na Magu?
 
Heeheeee imebidi nicheke tu, kwahiyo unategemea Lissu akishindwa ndio atakufa kisiasa na Huyo Mbowe ndio atakua relevant? Ni hivi Lissu akishindwa, wapiga kura wa upinzani (wengi kuliko wenye kadi za uanachama) wataacha kupiga kura wala kuhudhuria shughuli yoyote ya chadema na tutakua irrelevant kama CUF ya sasa.
Mkaribisheni ACT Wazalendo kama mnamvalue sana Lissu tuone hiyo impact nje ya yale niliyoyasema kumhusu.

Tarehe 21 Jan ni wiki mbili toka sasa subiri ifike tuone. Ninacho foresee ni kuwa baada ya kushindwa mtakuja kulialia humu kuwa Lissu ameporwa ushindi maana kwenu uchaguzi halali ni pale Lissu akishinda tu.

Nchi hii nimekuwa nikisema mara nyingi kuwa wanasiasa wote hawana watu nyuma yao wana mashabiki wa key board tu. Hivyo Lissu akitoka CHADEMA sio mwisho wa wananchi wa nchi hii kupiga kura, kwani huyo Lissu alkiwa CHADEMA je ACT haikupata kurs wakati wa uchaguzi? Kana nyinyi ACT mlipata kura wakati Lissu akiwa CDM vivyo hivyo CDM itapata kura hata baada ya Lissu kuondoka.

Kuhusu kushinda uchaguzi mimi binafsi najua fika sio CDM wala ACT Wala chama chochote kinaweza kushinda uchaguzi hapa Tanzania, kwa sababu CCM wameishaamua hawataki ushindani ila wanagawa nafasi kidogo jinsi wanavyotaka kwa vyama vingine. Hata huyo Zitto wako anajua mfano uchaguzi ukiwa wa haki CCM haiwezi kupata kiti hata kimoja Pemba na kama kushindana watashindana Unguja sio Pemba ambapo napo wanaweza kugawana nusu kwa nusu na ACT .

Katika mazingira haya ya ubabe wa CCM na unyumbu wa watanzania hakuna mwanasiasa wa upinzani atafanikisha kuiondoa CCM kwa kizazi chetu labda MUNGU aingilie kati.
 
Back
Top Bottom