Dkt. Slaa: Nilijiona ndani ya moyo wa Rais Magufuli

Dkt. Slaa: Nilijiona ndani ya moyo wa Rais Magufuli

Kasema ukweli kwa mama Happ tumepigwa vibaya mno hatuna mkuu hapa
Ni geresha la kikatiba ndio liko kazini
Kiasi useme hivyo kwa sababu ulikuwa ukifaidika kwenye utawala wa dikteta magufuli lakini wengi sasa wamepata uhakika wa usalama wao sasa hakuna watu kutekwa, hakuna watu kuokotwa kwenye vipolo, hakuna kuwekwa nadani watu indefinite bila kesi kwisha uchunguzi kubabakizia watu kesi za uhujumu uchumi na ugaidi ,kukandamiza wapinzani kama si raia wa nchi hii yote haya ulikuwa huyaoni, halafu ubaguzi katika mikopo ya elimu ya juu wakati wa magufuli mikopo ilitolewa kwa kozi maalumu ambazo wao walizipa kipaumbele lakini sasa mikopo hutolewa kwa kozi yoyote ambayo mwanafunzi anataka kusema ilhali ana vigezo na mkopo atarejesha tena bila ya riba ya retention basi yote hayo hamuyaoni kwamba nchi sasa iko kwenye mikono salama. Huyo dr. Slaa yote hayo kwa sababu magufuli alimuhonga ubalozi na samia hakumuwacha kuendelea na ubalozi kama alivyowaacha wengine.
 
Flying under JPM Star..., kuna watu nadhani hawajaona hii Fursa.. JPM was a polarizing leader and a propaganda machine.... am sure wengine wengi watakuja kusafiria nyota yake.. Bila kusahau a dead man can do no wrong...

That's Politics 101
Save it for another day[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee...huyu jamaa alikuwa anakula raha au karaha ?.......yaani akiamua kumtembelea mmoja mmoja kwa zamu anatumia takribani miezi 6 mpaka 7 kwa mwaka ili akamilishe mzunguko kisha aanze tena.


Hii biashara haramu inahitaji kujilipua kweli kweli ili kupunguza au kuitokomeza.

Hongera Dr. Slaa kwa kuipamba 'legacy' ya JPM na kuwakumbusha Watz mema ya aliyekuwa Rais wao wa 5.
Hiyo ndio jamii forum,kila kitu kipo...
 
La Mzee
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Uchawa anauweza...ukimsimamissha Slaa wa CHADEMA na huyu ni chui na Paka!
 
Kasema ukweli kwa mama Happ tumepigwa vibaya mno hatuna mkuu hapa
Ni geresha la kikatiba ndio liko kazini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ukweli mchungu
 
"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"
Hapo amedhani amesifia lakini ameonyesha Weakness / Mapungufu yake.....

Kutokufuata utaratibu sio sifa wala jambo la kuendeleza ni jambo la kupinga (kama alitakiwa kuomba Kibali basi angefanya hivyo) utaratibu wa kufuata sheria no matter wewe ni nani ndio ustaarabu
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Kumbe JPM wapo wengi nchi hii !! Kongole kwa Dr Slaa !! IPO siku ukweli utadhihiri !!
 
Kasema ukweli kwa mama Happ tumepigwa vibaya mno hatuna mkuu hapa
Ni geresha la kikatiba ndio liko kazini
Sasa huyu mama alijipa umakamu wa Rais? Kama hawezi nani alaumiwe?
Kasema ukweli kwa mama Happ tumepigwa vibaya mno hatuna mkuu hapa
Ni geresha la kikatiba ndio liko kazini
Huyu aliupataje umakamu? Nani alimpendekeza? Alaumiwe Nani?
 
Tatizo kubwa huku mitaani ni vitu muhimu kupanda bei mkuu ! Na hilo linamgusa moja kwa moja mwananchi wa hali ya chini ambao ndio wengi sana hapa nchini !! Hayo mengine hawayajui wao wanaangalia their daily bread baas !!!
Kiasi useme hivyo kwa sababu ulikuwa ukifaidika kwenye utawala wa dikteta magufuli lakini wengi sasa wamepata uhakika wa usalama wao sasa hakuna watu kutekwa, hakuna watu kuokotwa kwenye vipolo, hakuna kuwekwa nadani watu indefinite bila kesi kwisha uchunguzi kubabakizia watu kesi za uhujumu uchumi na ugaidi ,kukandamiza wapinzani kama si raia wa nchi hii yote haya ulikuwa huyaoni, halafu ubaguzi katika mikopo ya elimu ya juu wakati wa magufuli mikopo ilitolewa kwa kozi maalumu ambazo wao walizipa kipaumbele lakini sasa mikopo hutolewa kwa kozi yoyote ambayo mwanafunzi anataka kusema ilhali ana vigezo na mkopo atarejesha tena bila ya riba ya retention basi yote hayo hamuyaoni kwamba nchi sasa iko kwenye mikono salama. Huyo dr. Slaa yote hayo kwa sababu magufuli alimuhonga ubalozi na samia hakumuwacha kuendelea na ubalozi kama alivyowaacha wengine.
 
Kwa akili hizo unadhani chadema angepawezaje mpaka leo?

Alafu huyu mzee muongo sana, Magufuri alizuia vitu kupanda bei?

Au kwa sababu yeye alikuwa Canada na mushumbushi wake hajui jinsi vitu vilivyopanda bei?

Sio Magufuri aliyewaambia wakulima mkiona Kuna njaa uzeni mazao kwa bei kubwa mnayotaka.
Ndiyo alizuia,hadi akapanga bei ya sukari,wafanyabiashara wa sukari wakaificha,nayeye akaagiza itafutwe hadi ndani walipoficha na itaifishwe,kwa Sasa bidhaa inapanda holela tu
 
DAKTARI SLAA;NILIJIONA NDANI YA MOYO WA RAIS MAGUFULI.

Hayati Rais Magufuli aliwapenda na kuwapigania watu wa hali ya chini,mfano sasa hivi vitu vinapanda bei na gharama ya kupanda bei haimuumizi tajiri bali mlaji wa mwisho,katika walaji wa mwisho kuna matajiri wachache na masikini wengi,ambapo vitu vikipanda bei mishahara yao haipandi,Hayati Rais Magufuli alipinga vitu kupanda bei ili wasimuumize mwananchi wa hali ya chini ambae ndie mlaji wa mwisho.

Nukuu za Daktari Wilbroad Slaa.

"Rais Magufuli alikuwa na mchango pekee katika kuikumbatia amani kwa kupitia kuyaunganisha makundi ya dini,Rais Magufuli hakuacha kushiriki kumuomba Mungu iwe kanisani au msikitini,tukiacha kutambua hilo,tutakuwa tumefanya Jambo baya sana".

"Rais Magufuli alienda mbali sana katika kuheshimu dini,ni pale alipokwenda mbele ya kanisa katoliki tena bila kuomba kibali akachangisha fedha kwa ajili ya kujenga msikiti,Rais Magufuli alikuwa ni kiongozi,sifa ya kwanza ya kiongozi ni kuwaunganisha wananchi"

"Serikali mlitukosea kwa kutunyima nafasi ya kumuombea kwa Mwenyezi Mungu Baba yetu aliyetupenda (Hayati Rais Magufuli) kipindi alipokuwa anaumwa kwa kushindwa kutoa taarifa"

"Kila sehemu alipopelekwa Rais Magufuli kwa ajili ya kuagwa Watanzania walishikamana kwa majonzi makubwa na kujitokeza kuonesha upendo wai,kila aliyekuwa anasema Rais Magufuli alikuwa na maadui wengi,nilikuwa nawapigia simu nawaambia hebu fungua television yako uone umati wa watu wakimuaga Rais wao kipenzi,Hayati Rais Magufuli"

"Sisi ni binadamu na tuna mapungufu yetu lakini ukiona umati wa watu kama ule waliojitokeza kumuaga Rais Magufuli ujue kuna kitu,kupitia umati ule kama una moyo unaofunguka kwa jicho la imani ulipaswa kujua Rais Magufuli alikuwa ni mtu wa aina gani".

"Kwa wasiojua ni kwamba Dk Slaa hana chama chochote cha siasa,tangu nilipojiuzulu lakini katika masuala ya Taifa Mimi bado ni Mtanzania na nitatoa kauli yangu kuhusu masuala yanayohusu Taifa langu"

"Magufuli alikuwa ni mtu ambae akishakuamini anaweka imani yake katika moyo wako na hatafuti makandokando yako,ataanza kutafuta makando kando yako akianza kusikia maneno mengine,lakini haizuii kugeuka"

"Kabla ya Rais Magufuli,tulifika katika nchi ambayo kiongozi wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) alikuwa na wasichana 200 na wote alikuwa anawanunulia gari,hata mchwa wanakula lakini hawawezi kula namna hiyo"

"Magufuli alikuwa ni Mzalendo na mwana wa kweli wa Afrika,na hili hatutaki kutambua,ni kawaida ya wahunzi hata chungu alichotengeneza, nyumbani kwake hakithamini,wenzetu Afrika nzima walimthamini Hayati Rais Magufuli na wangependa awe Rais wao"

"Wote tuko sawa,mfano tu nchi za Afrika zifunge bandari zao,Ulaya kule viwanda vitafungwa,ajira zitakosekana na watu watagombana kwa kuwa malighafi hazitakuwepo,kwa namna hiyo sisi ni matajiri"..

"Tulichokosa Waafrika ni kujiamini,mtu mwenye kujiamini hata kama hauna kitu,utafanya kitu na utapata kitu,ile kauli ya We are donor Country tulipaswa kuiendeleza"

"Rais Magufuli alihamasisha tufanye kazi,asiyefanya kazi na asile,hayakuwa tu maneno ya Magufuli bali yalikuwa ni maneno kutoka ndani ya Biblia"

"Ukiingia Ikulu meza ya ofisi ya Rais Magufuli,huwezi kutegemea unakuta mafaili mengi lakini meza ya Rais Magufuli ilikuwa imejaa mafaili,alikuwa anafuatilia ndio maana aligundua mengi, kwenye halmashauri walikuwa wanalipa mishahara ya watu waliofariki miaka kumi iliyopita kwa hali hiyo ulitaka Rais Magufuli afanyeje"

"Wakati nikiwa Katibu Mkuu wa Chadema,nililetewa taarifa kuwa kuna madawa ya kulevya yanasafirishwa usiku wa leo point x,kwa nia njema nikawapa taarifa wakubwa Serikalini,kumbe huyo mkubwa mtoto wake ni mbia katika biashara hiyo,nafurahi Hayati Rais Magufuli aliipiga vita biashara hiyo na alisema haiwezejani watoto wetu watoke makamasi ili watoto wao wakasome Ulaya"

"Kupitia Rais Magufuli tulipata sauti ya Wanyonge,alikuwa Mwanademokrasia wa kweli na mpenda haki, wamachinga walipewa vitambulisho na wakafanya biashara ya halali,je uko si kutenda haki!? Mama ntilie waliruhusiwa kuuza barabarani,je uko si kutenda haki!!? Au haki hadi watendewe wakubwa!?.
Yani leo Padre Slaa wa kutuelezea Watanzania kuhusu Magufuli?

Jitu katili, lipenda sifa, liuwaji, fashisti, liongo kupindukia, hivi huwa watu wanatuchukuliaje? Ule uongo wake wa kukamata kontena la karatasi za kura Tunduma bado hajaacha?
 
Back
Top Bottom