Pre GE2025 Dkt. Slaa: Nilipotoka CHADEMA niliwaambia wameleta Choo sebuleni kwa maana Walianza kutetea Ufisadi tulioupinga miaka yote!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Halafu Slaa akakimbia sebuleni ili kwenda kula na kulala chooni kabisa.
 
Yuko sahihi kabisa! Kuja kwa late ENL kulichafua hali ya hewa.
CDM ifikirie kumrudisha kundini.
 
Dr Slaa huwa anasema hakujiunga na CCM bali alipewa wadhifa wa kuitumikia nchi.
In England, apartment and cookie are known as flat and biscuit respectively, but they're still the very same things that are being referred to.
 
Mara nyingi alikua anazingua ila kwa hilo alisema ukweli
 
So?
 
Yuko sahihi

Chadema kipindi cha Slaa kiliaminiwa sana na wananchi kwa kujitambulisha kama chama cha kupinga ufisadi kama agenda kuu tena kwa takwimu zilizoshiba

Sasa hivi Chadema hamna kitu pale lime baki jina tu na agenda ambazo hazina impact kwa mwananchi na vigumu kuzielewa .Ya kupambana na ufisadi wananchi wengi waliielewa.Ilieleweka kwa wasomi na wasio wasomi watu wa mijini na vijijini wa ndani ya nchi na nje ya nchi.Wafadhili wa ndani na nje
 
Huyu ndio alikuwa mleta maono wa CHADEMA.
Baada ya kuondoka na lichama likafa kifo cha mende miguu juu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…