Pre GE2025 Dkt. Slaa: Nilipotoka CHADEMA niliwaambia wameleta Choo sebuleni kwa maana Walianza kutetea Ufisadi tulioupinga miaka yote!

Pre GE2025 Dkt. Slaa: Nilipotoka CHADEMA niliwaambia wameleta Choo sebuleni kwa maana Walianza kutetea Ufisadi tulioupinga miaka yote!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yuko sahihi

Chadema kipindi cha Slaa kiliaminiwa sana na wananchi kwa kujitambulisha kama chama cha kupinga ufisadi kama agenda kuu tena kwa takwimu zilizoshiba

Sasa hivi Chadema hamna kitu pale lime baki jina tu na agenda ambazo hazina impact kwa mwananchi na vigumu kuzielewa .Ya kupambana na ufisadi wananchi wengi waliielewa.Ilieleweka kwa wasomi na wasio wasomi watu wa mijini na vijijini wa ndani ya nchi na nje ya nchi.Wafadhili wa ndani na nje
Mzee lowasa aliifufua CHADEMA na kuipa viti vingi vya ubunge vya kihistoria , haiikuwahi kutokea na huenda ikachukua miaka mingi kujirudia. Lowasa alikuwa Muhimu kuliko Slaa
 
Dkt. Slaa anasema Viongozi mkishindwa kuelewana wewe ambaye unaona Wenzako hawako sahihi ndio unaondoka tena kwa amani bila kuwachafua wanaobaki na hii ndio kanuni ya Siasa duniani kote

Dkt. Slaa anasema yeye alipoondoka Chadema aliwaeleza wazi Kabisa kwamba anaondoka kwa sababu Chama kimehamishia Choo sebuleni kwa maana ya Ufisadi

Source: Clouds media

SAWA
 
Mzee lowasa aliifufua CHADEMA na kuipa viti vingi vya ubunge vya kihistoria , haiikuwahi kutokea na huenda ikachukua miaka mingi kujirudia. Lowasa alikuwa Muhimu kuliko Slaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Ninayo furaha kukujulisha kuwa umeteuliwa kuwa katibu mkuu wa mazuzu.

Lowasa alitembelea upepo wa Dr Slaa
 
Back
Top Bottom