Pre GE2025 Dkt. Slaa: Nilipotoka CHADEMA niliwaambia wameleta Choo sebuleni kwa maana Walianza kutetea Ufisadi tulioupinga miaka yote!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mzee lowasa aliifufua CHADEMA na kuipa viti vingi vya ubunge vya kihistoria , haiikuwahi kutokea na huenda ikachukua miaka mingi kujirudia. Lowasa alikuwa Muhimu kuliko Slaa
 

SAWA
 
Mzee lowasa aliifufua CHADEMA na kuipa viti vingi vya ubunge vya kihistoria , haiikuwahi kutokea na huenda ikachukua miaka mingi kujirudia. Lowasa alikuwa Muhimu kuliko Slaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Ninayo furaha kukujulisha kuwa umeteuliwa kuwa katibu mkuu wa mazuzu.

Lowasa alitembelea upepo wa Dr Slaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…