Dkt. Slaa: Serikali mmetunyima watanzania nafasi ya kumuombea baba yetu alipokuwa anaumwa

You are right theoretically, lakinj wakati wa Magufuli ndugu zake akina Kalemani Au Makonda walikuwa wana nguvu kuliko hata VP na PM
 
Amuombee Sasa hivi Afufuke
 
Huyu angemumbea yeye na familia yake alijitoa utu akakubali kujifanya bidhaa akanunuliwa Kwa vipande vya fedha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…