Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

dah njaa mbaya sana
 
Kwa mila za kiafrika ni vibaya kuongea uku unakula
 
Dr.Slaa ni mnafiki !Tunamjua.Mimi binafsi sinaga muda wa kusikiliza anacho Sema
 
Ni jambo la kawaida sana hakuna sympathy hapa hiyo ndio siasa Mzee wangu Slaa uko sahihi wamedunguliwa kina JFK ije kuwa huyo mtaka sifa.
 
Ukisharudi CCM wewe utachanganyikiwa tu. Msimuone Slaa na suti zake, kichwani hakuna kitu ni kijani tuuuuuuu.

Huyu muacheni aendelee kujiharibia.
 
Hata hao nao ni suspect unawezaje kupeleka kesi ya nyani kula mahindi kwa ngedere?
 
Ni bora hata angeacha kulijibu swali hilo kuliko huo uduwanzi aliojibu,lakini tusimlaumu sana kama amefikia kushikiwa akili na lile shangingi tusitegemee cha maana toka kwake.
 
Huyu mzee ndo maana urais aliukosa anaonekana angekua rais bwege kuliko marais waliowahi kutokea kama kaweza kudanganyika na ka cheo kaubalozi tu
Mpaka anabadilishwa akili kutoka kua mtetezi wa.wanyonge kama tundu.lisu.mpaka kuwa papet.wa mafisadi
 
Ha.ha
Ha
Ha
Alikua.naosa.vyombo na.masinki kanada
 
Moja ya wazee wasiokua.na.faida hapa.tz.ni huyu silaha.me namkubali.walioba tu mzee wa katiba
 
Ukishakuwa mnufaika unaangalia maslai yako,yeye alishafulia hivo lzm aimbe nyimbo za kusifu na kuabudu,akienda kinyume na uteuzi utenguliwa,ili uchague ukamanda ukashindie Mihogo, au uimbe kusifu na kuabudu ili usogeze siku.
Kale kakibarua kake.kanada kamuachia nani huyu mzee
 
Una undugu.na.nabiii.wa.bia.maana akili.zenu zafanana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…