imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Sasa ngoja Lissu apande jukwaani alipize kisasi😆😆Kuozea ndani ni jambo l kawaida 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ngoja Lissu apande jukwaani alipize kisasi😆😆Kuozea ndani ni jambo l kawaida 😁😁
Wala hutamsikia Lissu akiongea shit dhidi ya Dr.Slaa kwenye kadhia hii. Ana busara mno, sana sana ataomba Dr.Mihogo aachiwe huru.Sasa ngoja Lissu apande jukwaani alipize kisasi😆😆
Kwani wewe baba yako hataozaDaah..ataozea ndani
Binadamu tunapishana roho wakati Lissu akiuguza matobo ya risasi 40 huyu Mzee alisema "mbona pooa tu"Wala hutamsikia Lissu akiongea shit dhidi ya Dr.Slaa kwenye kadhia hii. Ana busara mno, sana sana ataomba Dr.Mihogo aachiwe huru.
Tofautisha kuozea kaburini na kuozea lupangoKwani wewe baba yako hataoza
Baba yako mbona anabebaNaipenda sana Nchi yangu hata kama kuna matatizo siwezi kuiombea mapinduzi ya kijeshi.
Huyu Mzee wa Kinyaturu alienda too far na sijui kama ataweza kubeba mtondoo na uzee wite huo
Baba yako hatakufa ?Maskini mzee wa watu Jela na huo uzee wote si atakufa kwa ukurutu?
Huu mchezo hauhitaji hasira povu la nini?😁😁😆Baba yako mbona anabeba
Baba yangu mtondoo wake uko tumboni anatembea nao lakini Dakta Slaa anaenda kubeba mitondoo ya watu😁Baba yako mbona anabeba
Bado yupo Canada ?Balozi Mteule na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbroad Slaa amesema tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida na ameitaka jamii kuliacha Jeshi la Polisi kukamilisha upelelezi na kutoa majibu.
Dkt. Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na kituo cha runinga cha Clouds juu ya hali ya kisiasa ya Tanzania na mustakabali wa maisha yake baada ya kuondoka CHADEMA, amesema hafurahishwi na baadhi ya watu kuwataja hadharani watuhumiwa wa tukio hilo kwasababu linaharibu uchunguzi wa polisi.
“Mimi kinachoniudhi ni hii watu kusema hadharani kwamba kuna hiki na hiki tunasuspect (tunahisi) waliofanya ni fulani. Sheria inasema ukihisi nenda polisi katoe taarifa sio unaenda kwenye vyombo vya habari”, amesema Dkt. Slaa.
Amesema hawezi kuzungumzia kwa undani suala la Lissu kupigwa risasi, ikizingatiwa kuwa watu wengi wamepigwa risasi nchini na kazi ya kuwabaini wahalifu waliomshambulia ni ya polisi sio viongozi wa siasa au wananchi.
“Lakini kama binadamu hakuna anayependa binadamu yeyote aumizwe lakini matukio haya ya kuumizwa yametokea nchi hii kwa watu wengi sana. Na mimi sio chombo cha dola kujua kwamba unanyoosha kidole kwa kitu ambacho hatukiamini; mimi ni msomi”, amesema Dkt. Slaa na kuongeza kuwa,
“Ukitoa taarifa za upelelezi unaharibu upelelezi. Mimi niko Canada mauaji yapo kila siku na watu wanapotea, wanapigwa risasi wakiulizwa polisi wanakwambia suala hilo liko kwenye upelelezi tukifikia hatua nzuri tutatoa taarifa”.
Sitakaa nisahau hiliBalozi Mteule na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Wilbroad Slaa amesema tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida na ameitaka jamii kuliacha Jeshi la Polisi kukamilisha upelelezi na kutoa majibu.
Dkt. Slaa ametoa kauli hiyo wakati akihojiwa na kituo cha runinga cha Clouds juu ya hali ya kisiasa ya Tanzania na mustakabali wa maisha yake baada ya kuondoka CHADEMA, amesema hafurahishwi na baadhi ya watu kuwataja hadharani watuhumiwa wa tukio hilo kwasababu linaharibu uchunguzi wa polisi.
“Mimi kinachoniudhi ni hii watu kusema hadharani kwamba kuna hiki na hiki tunasuspect (tunahisi) waliofanya ni fulani. Sheria inasema ukihisi nenda polisi katoe taarifa sio unaenda kwenye vyombo vya habari”, amesema Dkt. Slaa.
Amesema hawezi kuzungumzia kwa undani suala la Lissu kupigwa risasi, ikizingatiwa kuwa watu wengi wamepigwa risasi nchini na kazi ya kuwabaini wahalifu waliomshambulia ni ya polisi sio viongozi wa siasa au wananchi.
“Lakini kama binadamu hakuna anayependa binadamu yeyote aumizwe lakini matukio haya ya kuumizwa yametokea nchi hii kwa watu wengi sana. Na mimi sio chombo cha dola kujua kwamba unanyoosha kidole kwa kitu ambacho hatukiamini; mimi ni msomi”, amesema Dkt. Slaa na kuongeza kuwa,
“Ukitoa taarifa za upelelezi unaharibu upelelezi. Mimi niko Canada mauaji yapo kila siku na watu wanapotea, wanapigwa risasi wakiulizwa polisi wanakwambia suala hilo liko kwenye upelelezi tukifikia hatua nzuri tutatoa taarifa”.
Kawaida maana yake nini?Mzee Kibao kifo chake ( Mauaji ) kawaida.
Lissu jaribio la mauaji Kawaida.
Kumbe siku nikitandika risasi na kuua watu ni kawaida.
Wale walioswekwa ndani waachiwe tuje tufanye ukawaida mitaani.
Naona mnajitahidi kupausha uhalifu.Kawaida maana yake nini?
We Hujui Mzee Karume aliigwa risasi umesahau kuwa RC wa Iringa Mr.Kreuu alipigwa risasi, wewe hujui kuwa Raisi Kennedy wa US alikufa kwa risasi.
Umesahau kuwa Martin Ruther JR alipigwa risasi. Iv wewe Hujaona majuzi Trump risasi ilivyopita sikion? Unashangaa nini wewe ? Tupac alikufa kwa risasi hata Notorious BIG alikufa kwa risasi. RPC Mwanza Mr Baro alikula risasi. Unashangaa nini wewe?
Alioanda nini? Anaweza mgeuka hata Sasa huyo Lisu asiye na akili Kwa sababu hela ndio inaongea.Leo hii dr slaa anavuna alichopanda
Ewe chawa unampangia lisu aishi unavyotaka weweAlioanda nini? Anaweza mgeuka hata Sasa huyo Lisu asiye na akili Kwa sababu hela ndio inaongea.
Kelele za huyo mtu wenu ni njaa tuu hana jingine