Dkt. Slaa: Tukio la Tundu Lissu kupigwa risasi na watu ‘wasiojulikana’ ni jambo la kawaida

Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?
Maskini Dr Slaa, huyu mzee amelishwa nini ndugu zangu?

Amekuwa kitu cha ajabu!
 
Mungu wa ajabu, anaweza kutangulia yeye na kifo chake kikawa cha kawaida, Dr mzima anaongozwa na tumbo!!!!
 
Mimi sijamsikia, Ila km kweli kasema hivyo alaaaniwe huyu. Laana na iwe juu yake
 
Bila shaka najua ushajibiwa na member ngoja mimi nikae kimya aisee.

''Ugua pole Lisu"
 
Huyu alipokuwa Katibu mkuu siku za kabla hajakimbia alikuwa amechoka.
Taarifa zake kila siku ilikua kulalamika kutaka kuuliwa. Mpaka polisi walichoka na uongo wake.
Ukweli huyu ni Padri wa RC ambao kimsingi hawa ni ccm. Hawa wapo kama bakwata.
Alichofata Chadema ni ubunge. Mtakumbuka wakati wa Mkapa aligombea ubunge ccm lakini jina lake wakalikata hivyo akaamua kuingia Chadema kuutafuta na akaupata.
Hakuenda chadema kuujenga upinzani bali maslahi yake.
 
Yeye ile list of shame alikwenda kutoa taarifa Polisi au TAKUKURU? Au anavyokomaa kuwa Lowasa ni fisadi kuna taarifa yoyote aliyoipeleka TAKUKURU?


Kwa kipindi kile cha Kikwete unafikiri TAKUKURU wangefanya nini? Wale jamaa baada ya kuzuia rushwa ndiyo wanaongoza kula rushwa na kuwa mabilionea.
 
From supermarket straight hadi kuwa balozi anaachaje kupayuka kwa maslahi ya tumbo lako. Njaa mbaya sana jamani usiombe ikukute

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
supermarket kubwa sana (kwa msisitizo)
 
Katika nchi hii hakuna anayezungumza kwa evidence. Hata kiranja mkuu wa nchi mengi anayapanga kichwani tu na akishayasema "anawatuma" watu watu "kutimiza unabii"
 
kweli siasa ni mchezo mchafu na ili uwe mwanasiasa maarufu lazima uwe comedian wa maneno, hatari sana sikutegemea kabisa km huyu mzee yangemtoka maneno km haya Amejitahidi sana kulinda ubalozi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…