Kwanza watu mnashangaza Sana,
Hivi suala la Tundu lissu Lina uspecial gani Zaid ya
1. Alphonse Mawazo
2. Chacha wangwe
3. Mauaji ya kibiti au
4. Kupotea Kwa Ben saa nane?
Watu hasa wafuasi wa Chadema ni washenzi mno Yan, wanataka kila Jambo kupelekwa kisiasa, mengine hayapelekwi Kwa namna mnayotaka,
Bora suala la Lissu aliyeko kwenye matibabu ubelgiji lakin inasikitisha Saa nane hatujui alipo,
Unadhani family ya Alphonse Mawazo, inajisikiaje kusikia mnasikitikia Tundu lissu wakati mawazo hayupo?
Haimaanishi kwamba tusilaani suala la lisuu, Ila ni la kawaida mno,
Na mtu halazimishwi kwenda kumuona kama ambavyo wengine hawalazimishi kwenda kuwaona,
Cc
Dr Willibrod Slaa Mnyika