Pre GE2025 Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania leo na siyo Oktoba 2025

Pre GE2025 Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania leo na siyo Oktoba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huo n
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
Huo ni ukweli 100%
 
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
Mbona hayo maneno ya Lisu kuwa Raisi Leo na sio oktoba hayapo zaidi ya kuwepo kwenye kichwa cha taarifa ya thread
 
Kwanchi sawa lkn sikwa chama kwasababu kuongoza nchi ni kuepesi kwakuwa anamajeshi anaweza kudictate na watu wakatii tofauti na kuwa opposition AMBAPO hekima busara zinaomhoza zaidi

..kuongoza nchi sio rahisi kwa kila mtu.

..Mrs.Hazifi hata hotuba imekuwa changamoto, anazidiwa na Lissu anayeandika hotuba mwenyewe.
 
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
Duuuuh ila SILAAA
 
Ameyasema hayo kupitia ClubHouse kujadili hotuba ya Tundu Antipas Lisu kulinganisha na hotuba ya Rais Samia hapo jana.

Dkt Slaa, amesema Lisu amezungumza mambo muhimu na msingi kuliko Rais Samia.

Anasema Dkt. Slaa kwamba, Rais Samia hajazungumzia rasilimali za nchi kwa mlinganyo wa wanufaika lakini amezungumzia masuala ya familia yake na viongozi wasaidizi wake. Samia hakuzungumzia masuala ya usalama na uhai wa raia hususan matukio ya utekaji nyara, kesi za kubumba na mauaji ya wakosoajj wake.

Amehitimisha kwa kusema hotuba ya leo ya Lisu imejali maisha na uhai wa Watanzania kuliko hotuba ya Samia hapo jana.

Ninamuunga mkono Tundu Lisu for Presidency akianzia na kupata uenyekiti wa CHADEMA Taifa.

Nawatakia heri ya Mwaka Mpya
Amandla
Kumbe matamshi haya ndio chanzo
 
Back
Top Bottom