Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Ngoja John mbatizaji na genge lake waje 🤣🤣🤣 maana hawaishi kuimba mapambio humu kila mara kua Slaa ni akili kubwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤾🤾🤾🤾View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu hukoCanadaSweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
HOJA ya KATIBA mpya inaunganisha makundi yote.Ngoja nione kama Lisu atasimama Jukwaa Moja na huyu Babu Mihogo.
Wengine walinunuliwa na vyomboKwa hiyo wote hawa walinunuliwa na hela ya Dr Bashiru Kakurwa?
Anayekataa Katiba Mpya hataki ustawi wa Nchi. Ni wa kuogopwa kwama ukoma.HOJA ya KATIBA mpya inaunganisha makundi yote.
Mimi Kwa mfano, sipo CDM Wala CCM bt Naungana na yeyote anaetamani kuiona Nchi yetu inapata KATIBA mpya.
Kwani Padri Slaa alikuwa always Chadema?Si alikuwa CCM ndio akajiunga na Chadema baada ya kukosa fursa ya ubunge?Huwezi kumbadilisha fisi tabia.Hata akipigwa mkuki wa tumbo na utumbo ukatambaa chini ataula tu ili ashibe bila kujali athari zitakazofuata.Once Chadema always Chadema. Ile imani ya Chadema ni kama umelogwa vile.
Hata akina Joshua Nasari na akina Waitara ni basi tu wale ni Chadema watupu
ACHA UJINGA KWANI LOWASSA NA SUMAYE WALISAHAU NINI CCM ?View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Mjinga ni wewe usiyejua hata mada inasemaje.ACHA UJINGA KWANI LOWASSA NA SUMAYE WALISAHAU NINI CCM ?
Alisha aapa kuitumikia serikali ya CCM, kama balozi.Kwani dr slaa lini alichukua kadi ya ccm na kurudisha kadi ya chadema. Hapa kuna mchezo, lakini muhimu slaa anaweza arudi CDM wakati wowote na hata mabinti watarudi hizo ndizo dalili "politics is a dirty game".
Mtu kwao eti.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Wewe hujui chochote.Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!
Ninavyoelewa kuna movement inaendelea kukusanya nguvu ya kudai katiba na Dr Slaa ni moja ya silaha. Wataibuka wengi ambao hata si Chadema lakini kwa kazi hiyo tu. Kwenye katiba ni rahisi Dr Slaa kusimama na Chadema kuliko upande mwingine.
Kwenye katiba hata mimi nitasimama na Chadema na sina kadi ya chama chochote! Ni issue ya kupigania future ya Taifa langu sio uvyama wenu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kiapo chake kilikua kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio serikali ya CCM.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Mkuu uko dunia ipi?Kiapo chake kilikua kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio serikali ya CCM.
Kwani imesemwa kwamba kuwa balozi lazima uwe mwanachama wa CCM? Vipi na watumishi wa Serikali?View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Kuna kitu inaitwa "real politik", you MUST align with the ruling politics.Kwani imesemwa kwamba kuwa balozi lazima uwe mwanachama wa CCM? Vipi na watumishi wa Serikali?
Slaa hajawahi kurudisha kadi ya Chadema hivyo hakuaga.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Kama hawapendezwi kinachowazuia kuibadilisha hiyo katiba ni nini ?No, KATIBA mpya ni move itokayo ktk Ule mhimili Magu aliouita umejichimbia chini zaidi.
Hawapendezwi na jinsi Nchi inavyoongozwa na familia zile zile miaka nenda Rudi.
Muundo wa muungano na idadi ya Serikali pendekezwa ndo tatz,Kama hawapendezwi kinachowazuia kuibadilisha hiyo katiba ni nini ?