Dkt. Slaa ulisahau nini huko CHADEMA?

Dkt. Slaa ulisahau nini huko CHADEMA?

View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist.
Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Canada Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake.
Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?

Na kasahau kitu gani huko CHADEMA!
Ngoja John mbatizaji na genge lake waje 🤣🤣🤣 maana hawaishi kuimba mapambio humu kila mara kua Slaa ni akili kubwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤾🤾🤾🤾
 
mnataka kumdunga pia ? chadema siyo mali ya mtu na yoyote anaweza kuingia na kutoka kama kanuni zao zinaruhusu, Slaa akisimama uraisi CCM hii haitoboi hata waibe kura mpaka Mbinguni, lkn kama Slaa tu akisimama wengine wote corrupt!
 
HOJA ya KATIBA mpya inaunganisha makundi yote.

Mimi Kwa mfano, sipo CDM Wala CCM bt Naungana na yeyote anaetamani kuiona Nchi yetu inapata KATIBA mpya.
Anayekataa Katiba Mpya hataki ustawi wa Nchi. Ni wa kuogopwa kwama ukoma.
 
Once Chadema always Chadema. Ile imani ya Chadema ni kama umelogwa vile.

Hata akina Joshua Nasari na akina Waitara ni basi tu wale ni Chadema watupu
Kwani Padri Slaa alikuwa always Chadema?Si alikuwa CCM ndio akajiunga na Chadema baada ya kukosa fursa ya ubunge?Huwezi kumbadilisha fisi tabia.Hata akipigwa mkuki wa tumbo na utumbo ukatambaa chini ataula tu ili ashibe bila kujali athari zitakazofuata.
 
Kwani dr slaa lini alichukua kadi ya ccm na kurudisha kadi ya chadema. Hapa kuna mchezo, lakini muhimu slaa anaweza arudi CDM wakati wowote na hata mabinti watarudi hizo ndizo dalili "politics is a dirty game".
 
Kwani dr slaa lini alichukua kadi ya ccm na kurudisha kadi ya chadema. Hapa kuna mchezo, lakini muhimu slaa anaweza arudi CDM wakati wowote na hata mabinti watarudi hizo ndizo dalili "politics is a dirty game".
Alisha aapa kuitumikia serikali ya CCM, kama balozi.
 
Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!

Ninavyoelewa kuna movement inaendelea kukusanya nguvu ya kudai katiba na Dr Slaa ni moja ya silaha. Wataibuka wengi ambao hata si Chadema lakini kwa kazi hiyo tu. Kwenye katiba ni rahisi Dr Slaa kusimama na Chadema kuliko upande mwingine.

Kwenye katiba hata mimi nitasimama na Chadema na sina kadi ya chama chochote! Ni issue ya kupigania future ya Taifa langu sio uvyama wenu.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wewe hujui chochote.
Mpaka miezi michache iliyopita (kabla ya Samia kuruhusu mchakato wa katiba mpya kuanza), bado Dr. Slaa huyo huyo alikuwa busy kuwabeza CHADEMA kuhusu agenda yao ya kudai Katiba mpya. Dr.Slaa alikuwa akisema Katiba mpya sio agenda ya watanzania, ni agenda mfu iliyopitwa na wakati na haina mantiki. Leo hii, nani amuelewe sasa akizungumzia Katiba mpya?

Huyo mzee kwa sasa akae pembeni kwenye siasa, alishapoteza msimamo na mvuto kisiasa.
 
Dai katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi... Dr mihogo kasanuka na ww sanuka
 
View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.

Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?

Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Kiapo chake kilikua kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio serikali ya CCM.
 
View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.

Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?

Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Kwani imesemwa kwamba kuwa balozi lazima uwe mwanachama wa CCM? Vipi na watumishi wa Serikali?
 
No, KATIBA mpya ni move itokayo ktk Ule mhimili Magu aliouita umejichimbia chini zaidi.

Hawapendezwi na jinsi Nchi inavyoongozwa na familia zile zile miaka nenda Rudi.
Kama hawapendezwi kinachowazuia kuibadilisha hiyo katiba ni nini ?
 
Kama hawapendezwi kinachowazuia kuibadilisha hiyo katiba ni nini ?
Muundo wa muungano na idadi ya Serikali pendekezwa ndo tatz,

Zenji hawakubali iwe 1, na bara wanataka 3, maelekezo ya waasisi ni 2 kuelekea moja.

Tukikosa majibu kuhusu mvutano huo, mchakato waeza yeyuka tukarudi kwenye mkono wa CHUMA.

Bt naamini ktk maridhiano, tukiongea sana, tutaelewana.
 
Back
Top Bottom