Rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Warioba ambayo ni maoni ya wananchi ilishatatua hilo.Muundo wa muungano na idadi ya Serikali pendekezwa ndo tatz,
Zenji hawakubali iwe 1, na bara wanataka 3, maelekezo ya waasisi ni 2 kuelekea moja.
Tukikosa majibu kuhusu mvutano huo, mchakato waeza yeyuka tukarudi kwenye mkono wa CHUMA.
Bt naamini ktk maridhiano, tukiongea sana, tutaelewana.
Ulivyo punga unajisahaulisha kuwa yale yalikuwa maamuzi halali ya chama kupitia kamati kuu na sio ya mtu mmoja kama unavyotaka kuwaaminisha chawa wenzakoSlaa yupo sahihi ,Mbowe kafanya upuuzi mkubwa 2015 kumpeta lowassa CDM
Ulivyo punga unajisahaulisha kuwa yale yalikuwa maamuzi halali ya chama kupitia kamati kuu na sio ya mtu mmoja kama unavyotaka kuwaaminisha chawa wenzako
Unasinama na watu wanaofanya unyama katika kudai katiba mpya? Je hao wanaofanya unyama wameacha? Una uhakika wanataka katiba mpya kwa minajilu ya kuacha au kuendeleza unyama?Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!
Ninavyoelewa kuna movement inaendelea kukusanya nguvu ya kudai katiba na Dr Slaa ni moja ya silaha. Wataibuka wengi ambao hata si Chadema lakini kwa kazi hiyo tu. Kwenye katiba ni rahisi Dr Slaa kusimama na Chadema kuliko upande mwingine.
Kwenye katiba hata mimi nitasimama na Chadema na sina kadi ya chama chochote! Ni issue ya kupigania future ya Taifa langu sio uvyama wenu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Kusamehewa ni jambo moja na kupewa nafasi ni jingine....pro na cons zinaangaliwa, hii ni siasa na sio swala la utakatifunna udhambi.
Lakini kama CHADEMA iliweza kumsamehe Lowassa makosa yake na kutaka kumfanya Rais, hata Dr. Slaa anasameheka. Alilamba asali, asali imeisha na wote tunafahamu madhara ya asali.
Mamluki na cdm nao ni kama wamekopesha akili zao hawajifunziView attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Huyu mzee niyo mjinga kama mumeoView attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Una matatizo ya matako!Huyu mzee niyo mjinga kama mumeo
MumeoUna matatizo ya matako!
Ndio siasa hizo mkuu.View attachment 2533331
View attachment 2533342
Huyu mzee kweli ni oppurtunist. Alishachaguliwa kuwa Balozi wetu huko Sweden, na alichaguliwa na serikali ya CCM.
Sasa tunamuona tena, mdomo juu, kakimbilia CHADEMA na magwanda yake. Kiapo chake cha utii kwa serikali ya CCM kiliisha lini?
Na kasahau kitu gani huko CHADEMA?
Rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Warioba ambayo ni maoni ya wananchi ilishatatua hilo.
Wanaong'ang'ania serikali 2 ni Ccm kwa kulinda maslahi yao.
Umeshatumika, Kenya unatafutwa na Ruto, Bishop wa mashoga.Mumeo
Kuendelea kumjadili mtu kama huyu ni kumpa sifa zisizomwenea kabisa.
Politics ni permanent interests.Kwani dr slaa lini alichukua kadi ya ccm na kurudisha kadi ya chadema. Hapa kuna mchezo, lakini muhimu slaa anaweza arudi CDM wakati wowote na hata mabinti watarudi hizo ndizo dalili "politics is a dirty game".
Mkuu , umeniacha mataa. Hivi mnaotaka Katiba Mpya maana yake kwasasa kuna katiba ya zamani. Je,ni kweli tumewai kua na Katiba ya Taifa au Nchi yetu?Utachanganyikiwa mshikiwa akili kama wewe! Ulihoji Lowasa anafanya nini Chadema? Sumaye? Kuna CCM kuliko hao? Mlibeba hadi wahuni ambao huko CCM wenyewe waliowaona ni takataka lakini mlishangilia leo mnajifanya mna uchungu na Chadema kuliko Dr Slaa!
Ninavyoelewa kuna movement inaendelea kukusanya nguvu ya kudai katiba na Dr Slaa ni moja ya silaha. Wataibuka wengi ambao hata si Chadema lakini kwa kazi hiyo tu. Kwenye katiba ni rahisi Dr Slaa kusimama na Chadema kuliko upande mwingine.
Kwenye katiba hata mimi nitasimama na Chadema na sina kadi ya chama chochote! Ni issue ya kupigania future ya Taifa langu sio uvyama wenu.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app