Fanton Mahal
JF-Expert Member
- Mar 22, 2024
- 1,597
- 4,661
Ni mtazamo wako.uheshimiweLissu amegundua kampeni ya kumchafua Mbowe ina buma na anataka kujionyesha kuwa ana uwezo wa kutibu vidonda alivyosababisha mwenyewe. Ndio maana akasema pia kuwa atalinda heshima ya Mbowe!
Amandla...
Ukikaa madarakani muda mrefu Heshima ni lazima ishuke utake usitakeLissu amegundua kampeni ya kumchafua Mbowe ina buma na anataka kujionyesha kuwa ana uwezo wa kutibu vidonda alivyosababisha mwenyewe. Ndio maana akasema pia kuwa atalinda heshima ya Mbowe!
Amandla...
Mtego umewanasa wanaojiona Werevu,aibu yaooooo..............βοΈLisu yuko kuwavuruga kweli kweli
Ukweli no msumeno punguza unafikiBaada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu
Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili
1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk
Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM
Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu
Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu
Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu ππ
ChaiBaada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu
LISU kanyooka kama SGRLissu kanyooka
Amewasingizia nini wakina Ole Sabaya na Makonda.Ukikaa madarakani muda mrefu Heshima ni lazima ishuke utake usitake
Mbowe anapata nini Chadema zaidi ya kujivunjia Heshima tu na kusingizia wenzake hadi vitoto vidogo Ole Sabaya, Makonda vilimfanya kama Babu Kibogoyo πΌ
Ndivyo wengi tulivyokuwa tunaamini. Huu uchaguzi umetuthibitishia baadhi yetu kuwa hayuko hivyo.TAL kwa hulka yake ni mkweli, si mnafiki na hana muhali. Sasa utamaduni wa kusema ukweli Watanzania wengi hatuna kwa kisingizio cha kulinda heshma, uoga au hata unafiki.
Anapowasingizia " wenzake" ndio akina Sabaya humchezea kama Babu KibogoyoAmewasingizia nini Ole Sabaya na Makonda.
Amandla...
Asante kwa kunielimisha. Lakini swali lina baki alimsingizia nani ndio ikawapa upenyo wakina Ole Sabaya na Makonda?Anapowasingizia " wenzake" ndio akina Sabaya humchezea kama Babu Kibogoyo
Muwage mnaelewa π
Unachokumbuka nimetoka kichwani mwako kadiri ulivyoona. Ndani ya chama mambo yanaweza kuwa tofauti na ulichoona kwa nje.Slaa huyuhuyu aliyehama chama kwasababu ya Lowasa kwa hasira na kashfa za kutosha, ndiye aliyekuwa mgombea uraisi akanyang'anywa tonge Leo hii isemwe kuwa ni yeye ndiye alimkaribisha Lowasa ..acheni kutufanya mamburula jamani....naukumbuka sana ule wakati kuliko wakati mwingine wowote
Alimsingizia Shujaa Magufuli kavunja Nyumba yake pale Posta Club kumbe ile Nyumba ni ya NHC πΌAsante kwa kunielimisha. Lakini swali lina baki alimsingizia nani ndio ikawapa upenyo wakina Ole Sabaya na Makonda?
Amandla...
Lissu akichukua CDM itakufaBaada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu
Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili
1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk
Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM
Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu
Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu
Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008
Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu ππ
Mama Samia ndio akamuone ili kutekeleza zile 4R.Hakuna team Lissu hata mmoja aliyeenda kumuona Slaa Kisutu wala gerezani
Kwani ukipanga kwa mtu huwezi kusema pale ni nyumbani kwako?Alimsingizia Shujaa Magufuli kavunja Nyumba yake pale Posta Club kumbe ile Nyumba ni ya NHC πΌ
Mdafu au mtogwaDuh!Ngoja niende vitindini nikapunge upepo.
Labda kama huelewi Maana ya nyumbani πΌKwani ukipanga kwa mtu huwezi kusema pale ni nyumbani kwako?
Amandla...
Huyo anakunywaga Mdindifu πMdafu au mtogwa
Kwa all intents and purposes New Palace Hotel ilijulikana kama ya wakina Mbowe. Kuwa walikuwa wapangaji ni semantics.Labda kama huelewi Maana ya nyumbani πΌ