Dkt. Slaa yuko korokoroni kwa kumtetea Lissu, halafu Lissu anasema aliyemleta Lowassa na kuiua Chadema siyo Mbowe ni Dkt. Slaa. Lissu ni next Level

Dkt. Slaa yuko korokoroni kwa kumtetea Lissu, halafu Lissu anasema aliyemleta Lowassa na kuiua Chadema siyo Mbowe ni Dkt. Slaa. Lissu ni next Level

Lissu amegundua kampeni ya kumchafua Mbowe ina buma na anataka kujionyesha kuwa ana uwezo wa kutibu vidonda alivyosababisha mwenyewe. Ndio maana akasema pia kuwa atalinda heshima ya Mbowe!

Amandla...
Ukikaa madarakani muda mrefu Heshima ni lazima ishuke utake usitake

Mbowe anapata nini Chadema zaidi ya kujivunjia Heshima tu na kusingizia wenzake hadi vitoto vidogo Ole Sabaya, Makonda vilimfanya kama Babu Kibogoyo 🐼
 
Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu

Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili

1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk

Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM

Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu

Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu

Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄
Ukweli no msumeno punguza unafiki
 
Ukikaa madarakani muda mrefu Heshima ni lazima ishuke utake usitake

Mbowe anapata nini Chadema zaidi ya kujivunjia Heshima tu na kusingizia wenzake hadi vitoto vidogo Ole Sabaya, Makonda vilimfanya kama Babu Kibogoyo 🐼
Amewasingizia nini wakina Ole Sabaya na Makonda.

Amandla...
 
TAL kwa hulka yake ni mkweli, si mnafiki na hana muhali. Sasa utamaduni wa kusema ukweli Watanzania wengi hatuna kwa kisingizio cha kulinda heshma, uoga au hata unafiki.
Ndivyo wengi tulivyokuwa tunaamini. Huu uchaguzi umetuthibitishia baadhi yetu kuwa hayuko hivyo.

Amandla...
 
Slaa huyuhuyu aliyehama chama kwasababu ya Lowasa kwa hasira na kashfa za kutosha, ndiye aliyekuwa mgombea uraisi akanyang'anywa tonge Leo hii isemwe kuwa ni yeye ndiye alimkaribisha Lowasa ..acheni kutufanya mamburula jamani....naukumbuka sana ule wakati kuliko wakati mwingine wowote
Unachokumbuka nimetoka kichwani mwako kadiri ulivyoona. Ndani ya chama mambo yanaweza kuwa tofauti na ulichoona kwa nje.
Slaa huenda alizungukwa au alidhani Lowassa atajiunga CDM ataleta wapiga kura wafuasi wake huku akimuachia Slaa agombee uraisi.
Sasa mambo yalipogeuka akaona ajitoe kwa hasira.
Hizi ni hisia zangu tu.
 
Asante kwa kunielimisha. Lakini swali lina baki alimsingizia nani ndio ikawapa upenyo wakina Ole Sabaya na Makonda?

Amandla...
Alimsingizia Shujaa Magufuli kavunja Nyumba yake pale Posta Club kumbe ile Nyumba ni ya NHC 🐼
 
Baada ya kumsikiliza Tundu Lisu Kwenye Mdahalo wa jana nimejiridhisha Lisu ni Chaguo la Mungu

Katikati ya upinzani mkali Kutoka Kwa Mbowe na Wapambe wake Lisu anamtetea Freeman Kwenye mambo mawili

1. Mbowe hatumii ruzuku ya Chadema bali inatumika kuwalipa Mshahara akina Mnyika, Mrema, Kigaila nk

Pili, Mbowe siye aliyemuuzia Chadema Mzee Lowassa bali ni Dr Slaa akishirikiana na baba askofu Dr Gwajima wa CCM

Katika ubinadamu wa kawaida siyo rahisi Mtu kumtetea mpinzani wake huyu Lisu ni Chaguo la Mungu

Katika hali ya kawaida siyo rahisi Mtu kuelezea udhaifu wa mtetezi wako aliyeko Jela Kwa sababu ya kukutetea Wewe mwenyewe, hakika Lisu ni Mtumishi wa Mungu

Mbowe mwenyewe hajawahi kumtetea Tundu Lisu Kwa jambo lolote Sana Sana anamsimanga tu Kwa Gari bovu bovu alilomuazima mwaka 2008

Mungu wa Mbinguni mbariki Tundu Antipas Lisu 😄😄
Lissu akichukua CDM itakufa

Huyu jamaa kutunza siri ni sifuri kabisa,kama hajui siri ndio zinaendesha chama

CCM watatumia mwanya huo kumfanyia disorientation

Atachanganyikiwa

Na hii kujifanya yeye ni malaika na wengine wote ni mashetani really makes me see some doubts

Hakuna mahali ana accept responsibilities za aliyoyafanya akiwa kiongozi

Yeye anadhani Lissu kama Lissu ndio ataendesha chama bila kushirikiana na wazuri na wabaya wote?

Ukiangalia kijuu juu unaweza sema Lissu ndio sahihi sana ila I can see Kuna tatizo mahali
 
Back
Top Bottom