luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
- Thread starter
-
- #21
Kilimanjaro hasa uchagani ni eneo lenye makanisa ya kisasa vijijin hakuna mkoa unaofikia Kilimanjaro kwa makanisa vijijihiyo picha ya kwanza nlijiuliza waliwezaje kujenga kanisa kubwa mlimani tena ndani ndani ya moshi!
respect sana.
He passed away in 1976Kumbe ndo huyu Dr!!!??!!!!! Nafurahi kumjua
Hivi lile kanisa la Kotela nalo pia askofu Moshi alihusika?Kilimanjaro hasa uchagani ni eneo lenye makanisa ya kisasa vijijin hakuna mkoa unaofikia Kilimanjaro kwa makanisa vijiji
Shirika mkuu siyo yeyehiyo picha ya kwanza nlijiuliza waliwezaje kujenga kanisa kubwa mlimani tena ndani ndani ya moshi!
respect sana.
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.......
Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza ni Roman Catholic) kati ya mwaka 1963-1976
Askofu Dr Moshi alifanya Mambo mengi na makubwa kiroho na kijamii ambapo aliheshimika ndani na nje ya nchi
Askofu Dr Stephano Moshi ndiye muanzilishi/muasisi wa hospital ya Kanda ya rufaa ya Kanda ya kaskazini ya Kcmc,pia chuo kikuu Cha kumbukumbu ya Stephano Moshi (STEMUCO) Cha mjini Moshi kilipewa jina lake ili kumuenzi
Askofu Dr Moshi alizaliwa mnamo mwaka 1906 katika Kijiji Cha Mamba kotela kata ya Marangu magharibi na kufariki mwaka 1976.
Kiingereza chako kibovuHe has passed away since 1976
Kiingereza chako kibovu
Ndio alikuwa msharika paleHivi lile kanisa la kotela nalo pia askofu Moshi alihusika?
Typing error, I have corrected it.Kiingereza chako kibovu
Ilikuwa typing error,nimerekebisha mkuuBora angeandika kwa Kiswahili! Sasa sentensi moja tu kiingereza hoi, ingekuwa ni kipande cha habari si ingekuwa balaa!
Bado mkuu, hata hayo marekebisho uliyofanya siyo sahihi.Typing error, I have corrected it.
[emoji848]Bado mkuu, hata hayo marekebisho uliyofanya siyo sahihi.
Andika tu kwa Kiswahili
Andika hivi;[emoji848]
Tumeambiwa legacy kiswahili chake ni urathi.Legacy ni alama mkuu? 🙆
Mkuu upo? Jana nilikupata ukichambua ya Ethiopia. Kongole. Tumeambiwa legacy kiswahili chake ni urathi.Sawa kabisa. Au kumbukumbu/ urithi
Nimetumia past perfect tense kwani sio sahihi ? Kwa maana tukio lilikwishatokeaAndika hivi;
He passed away in 1976
Nimetumia past perfect tense kwani sio sahihi ? Kwa maana tukio lilikwishatokea
Maaskofu wengi wa sasa wanalia madhabahuni taasisi zimegeuzwa saccoss na vikundi vya kisiasa....so sadSafi sana.. tuige mambo ya kimaendeleo ya askofu Stephano Moshi. Kazi nzuri alifanya.
Iwe chachu kwa maaskofu wengine na viongozi, waache alama ya kukumbukwa