Nature
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 830
- 2,241
Ndiyo alihusika pakubwa sana..kwa maana ndiyo usharika wake wa Nyumbani alikozaliwa...Hivi lile kanisa la kotela nalo pia askofu Moshi alihusika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo alihusika pakubwa sana..kwa maana ndiyo usharika wake wa Nyumbani alikozaliwa...Hivi lile kanisa la kotela nalo pia askofu Moshi alihusika?
Ndiyo nilisikika kwa hakika kupitia DW. Urathi ni sahihi piaMkuu upo? Jana nilikupata ukichambua ya Ethiopia. Kongole. Tumeambiwa legacy kiswahili chake ni urathi.
kongole kwao, shukrani kaka kwa kunijuza.Shirika mkuu siyo yeye
Ngoja Mataga na Sukuma Gang waje watatuelezea kwa mifano ya mungu wao Kayafa.Nikitaka kuandika kwa kiswahili fasaha "aliacha legacy" naandikaje? [emoji23]
Kwahyo mtu akionewa asiseme? Hata kwa jambazi sabaya alimuonya umeona kilichompata?Askofu Shoo yeye kazi yake ni kuropoka ropoka na kuwa chawa wa Mbowe, kiongozi wa kanisa ambaye ni mkabila na mbaguzi.
Siku hizi yale mashirika hayatoi tena ufadhilii,kila eneo linajitegemea.Safi sana,sio hawa wakina Malasusa kazi kulamba miguu ya Wanasiasa.
Hapo ni kanisa LA komakundi Stefano moshi walikuwa wanasali na bibi yangu ruwaichi mmbando kanisa LA ashira kanisa LA kwanza marangu kabla ya kugawanyika usharika was mamba na kanisa LA kwanza kulijenga mamba n kotela lile dogo LA mawe bb yangu alizaliwa 1893 na kufariki 2016 akiwa na miaka 123 alikuwa ananipa stories nying za baba askofuWakuu nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kama mada isemavyo,baba Askofu Dr Moshi ni Mkuu wa Kwanza wa KKKT Tanzania ambapo aliongoza taasisi hiyo ya pili kwa ukubwa(ya Kwanza ni Roman Catholic) kati ya mwaka 1963-1976
Askofu Dr Moshi alifanya Mambo mengi na makubwa kiroho na kijamii ambapo aliheshimika ndani na nje ya nchi
Askofu Dr Stephano Moshi ndiye muanzilishi/muasisi wa hospital ya Kanda ya rufaa ya Kanda ya kaskazini ya KCMC, pia chuo kikuu Cha kumbukumbu ya Stephano Moshi (STEMUCO) Cha mjini Moshi kilipewa jina lake ili kumuenzi
Askofu Dr Moshi alizaliwa mnamo mwaka 1906 katika Kijiji Cha Mamba Kotela kata ya Marangu magharibi na kufariki mwaka 1976.
Nawasilisha.
View attachment 2009077View attachment 2009078View attachment 2009079