Dkt. Stephano Reuben Moshi: Askofu Mkuu wa Kwanza KKKT Tanzania

Askofu Shoo yeye kazi yake ni kuropoka ropoka na kuwa chawa wa Mbowe, kiongozi wa kanisa ambaye ni mkabila na mbaguzi.
 
Askofu Shoo yeye kazi yake ni kuropoka ropoka na kuwa chawa wa Mbowe, kiongozi wa kanisa ambaye ni mkabila na mbaguzi.
Kwahyo mtu akionewa asiseme? Hata kwa jambazi sabaya alimuonya umeona kilichompata?
Ni mkabila kivipi? Angekuwa mkabila angepigiwa kura za uaskofu na maaskofu wenzie wa majimbo yote tz? Acha uzwazwa
 
Hapo ni kanisa LA komakundi Stefano moshi walikuwa wanasali na bibi yangu ruwaichi mmbando kanisa LA ashira kanisa LA kwanza marangu kabla ya kugawanyika usharika was mamba na kanisa LA kwanza kulijenga mamba n kotela lile dogo LA mawe bb yangu alizaliwa 1893 na kufariki 2016 akiwa na miaka 123 alikuwa ananipa stories nying za baba askofu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…