Nonsense...Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.
Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.
Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
Kwa hiyo mpaka Covid 19 wamempa kura sio?
Inasikitisha sanaHao ndio wa kwanza kumpa. Usicheze na tumbo ndugu.
TUMIA AKILI, CHADEMA ina mbunge mmoja tu BUNGENI, toka jimbo la NKASI, anaitwa AIDA KENANIMbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.
Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.
Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
Mbatia na Ndugu yai wanasemajeMbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100.
Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye jumla hiyo.
Spika Tulia Akckson ameapishwa kuwa Spika wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akimrithi mtangulizi wake aliyeng'atuka, Job Yustino Ndugai.
"Utatuongoza vema"Hongera sana Dr. Tulia,
Tunakuamini utatuongoza vema
[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Taja jina na nafasi unayoketi pale Bungeni tukaangalie kama kweli hukumpigia!Uongo jamani. Jana mi nilimchagu mwingine lakini nashanga kura yangu imejumuishwa kwenye kura za tulia aksoni ili kufikisha idadi eti amepita kwa kishindo na wabunge woge.
Jamani ccm muogopeni mungu. Mi sijampigia kabisa humu bungeni na wengine rafiki zangu wanne hawajampigia. Duh hii kali
HahahahahahTaja jina na nafasi unayoketi pale Bungeni tukaangalie kama kweli hukumpigia!
Umengalia ili iweje au ulifikiri na Marekani wapinzani wakiambulia wabunge 8 wa majimbo kama Tanzania?Imebidi nirudi kuangalia uchaguzi uliomuweka madarakani Nancy Pelosi.
Kiukweli nimesikitika sana.
Sio bunge lenye udhaifu bali vyama vya upinzani vyenye wabunge ndio dhaifu. Hawa ndio walishindwa kusimamisha mgombea waoKura 100% bado wabunge/bunge lina udhaifu.
Ccm ni chama dhaifu zaidi.Sio bunge lenye udhaifu bali vyama vya upinzani vyenye wabunge ndio dhaifu. Hawa ndio walishindwa kusimamisha mgombea wao
Wameshindwa hata kuelekeza wabunge wao kutoka nje
Au kuharibu kura zao
Au kupiga kura za kumkataa kama utaratibu unaruhusu
Kumbe Chadema Act na Cuf ni vyama dhaifu sana