Dkt. Tulia Ackson anavyopost mitandaoni vinakinzana na madaraka aliyonayo Duniani

Dkt. Tulia Ackson anavyopost mitandaoni vinakinzana na madaraka aliyonayo Duniani

Tuone/Tuwekee Alichoweeka Huko Ili Watu Wa Ubaruku Waone
Honorable Distinguish
Screenshot_20240324-204401.png
 
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.

Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.

Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
Sasa kama hana Content ya kupost afanyeje? Unamuonea huo uwezo hana.
 
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.

Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.

Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
Kumbuka nje wa Madaraka aliyonayo bado ni kijana na anatakiwa Aishi vile vile kulingana na umri alio nao hivyo usikomae saaaana. Maisha ni mafupi Kila mtu anatakiwa ku enjoy kwa nafasi yake. Hivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza wabunge unafikiri ni kazi ndogo,? Kila anaye simama ni kulalamika tuu, na kupiga kelele Jimbo langu Jimbo langu, mwongozo ,mwongozo ukitoka kichwa kinaa. Tunapopata kitu Cha ku refresh akili yako kifanye ili kuepuka noncommunicable diseases kwa stress za kazi
 
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.

Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.

Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
Picha
 
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.

Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.

Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
1.jpeg
 
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.

Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.

Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
nadhani anakizana na mtazamo wako mkuu sio madaraka yake 🐒
 
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.

Anacopy au kupakua katuni na picha mitandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.

Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii. my sister pokea ushauri
UMETUDHARAU WATU WA MBEYA WAKATI NDIO TULIMPA MTAJI SUGU MPAKA KAJENGA HOTELI.
 
Nimeshapita muda mrefu sana hapa nikaona hana hoja yenye mashiko na nilikuwa nataka kuja kumshushia NONDO kali hapa ,lakini nikaona atazimia na kukimbizwa hospitalini.kwa hiyo nimeona nimuhurumie tu.

Halafu uwe na adabu kwa Mheshimiwa Dada wa Taifa ,spika wa Bunge ,Rais wa IPU,fahari ya nyanda za juu kusini na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini. Huyo ndio nembo yetu.
Bibi wa taifa siyo dada
 
Nadhani kule kumelenga wanambeya ili apate sympathy ya kupata ubunge tena. Hajafocus kwenye Dunia unayitaka. Huo ndio mtazamo wangu maana huwa namfuatilia IG.
 
Back
Top Bottom