Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hacha uchoko wewe,fahari ya nyanda za juu kusini na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini. Huyo ndio nembo yetu.
Mzee wa machozi ya furaha🤣Ngoja mdogo ake betina wa damu kabisa apite hapa Lucas mwashambwa
Tuone/Tuwekee Alichoweeka Huko Ili Watu Wa Ubaruku Waone
Honorable Distinguish
Sasa kama hana Content ya kupost afanyeje? Unamuonea huo uwezo hana.Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
HahaaNgoja mdogo ake betina wa damu kabisa apite hapa Lucas mwashambwa
Kumbuka nje wa Madaraka aliyonayo bado ni kijana na anatakiwa Aishi vile vile kulingana na umri alio nao hivyo usikomae saaaana. Maisha ni mafupi Kila mtu anatakiwa ku enjoy kwa nafasi yake. Hivi wewe ukipewa nafasi ya kuongoza wabunge unafikiri ni kazi ndogo,? Kila anaye simama ni kulalamika tuu, na kupiga kelele Jimbo langu Jimbo langu, mwongozo ,mwongozo ukitoka kichwa kinaa. Tunapopata kitu Cha ku refresh akili yako kifanye ili kuepuka noncommunicable diseases kwa stress za kaziItoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
Nae ni bin adamu raha jipe mwenyewe je ameonyesha kibox manyoya hadharani?
PichaItoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
nadhani anakizana na mtazamo wako mkuu sio madaraka yake 🐒Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha miatandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii.......my sister pokea ushauri
UMETUDHARAU WATU WA MBEYA WAKATI NDIO TULIMPA MTAJI SUGU MPAKA KAJENGA HOTELI.Itoshe kusema Tulia Ackson anavyoandika na kuposti mitandaoni havina vinakinzana na madaraka aliyonayo. Nikiangalia page zake zina picha zake akiwa kwenye maeneo mbalimbali; lakini picha hizi kwa kiongozi wa kariba yake hazikupaswa kuishi kwenye page yake.
Anacopy au kupakua katuni na picha mitandaaoni na kuposti bila kujiridhisha na maudhui yake. Ninashauri abadili mtizamo, apost global strategic issue kwani wanaotazama account yake siyo watu Mbeya pekee bali ni watu wa Ulimwengu mzima.
Akaunti zake binafsi kwa sasa haziwezi kutenganishwa na majukumu yake. Unapokuwa international figure unapoteza uhuru binafsi kwa kiasi flani. International figure uwezi kuishi maisha yako unaishi maisha ya jamii. my sister pokea ushauri
Bibi wa taifa siyo dadaNimeshapita muda mrefu sana hapa nikaona hana hoja yenye mashiko na nilikuwa nataka kuja kumshushia NONDO kali hapa ,lakini nikaona atazimia na kukimbizwa hospitalini.kwa hiyo nimeona nimuhurumie tu.
Halafu uwe na adabu kwa Mheshimiwa Dada wa Taifa ,spika wa Bunge ,Rais wa IPU,fahari ya nyanda za juu kusini na msomi Nguli wa sheria kuwahi kutokea nyanda za juu kusini. Huyo ndio nembo yetu.
Kwa hapo hakika jpm alitetereka.Magufuli alitukosea sana