Dkt. Tulia Ackson: Ilani inasema barabara ya Tanzam upembuzi yakinifu umekamilika Serikali inasema utafanyika mwakani. Tuiamini CCM au Wizara?

Dkt. Tulia Ackson: Ilani inasema barabara ya Tanzam upembuzi yakinifu umekamilika Serikali inasema utafanyika mwakani. Tuiamini CCM au Wizara?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mbunge wa Mbeya mjini Dr Tulia Ackson amesema kuna mkanganyiko mkubwa kati ya Ilani ya uchaguzi ya CCM na bajeti ya wizara ya Ujenzi kuhusu Ujenzi wa barabara ya Tanzam.

Ilani inasema upembuzi yakinifu umekamilika lakini waziri katika bajeti yake anasema upembuzi yakinifu utafafanyika mwaka ujao wa fedha, sasa tumwamini nani CCM au Serikali? Anauliza Dr Tulia ambaye pia ni naibu Spika wa bunge.

Chanzo: Bungeni
 
Vitu vingi vilikuwa vinaendeshwa kwa ubabe na urongo !
Ndo maana huyo banyamulenge Bashiru alikuwa na powers na kiburi...
Ilani imejaa fiksi tu..
Kama ilani ya CCM haitafanyiwa upembuzi yakinifu kwa kupitia upya na kuangaliwa vipaumbele vya haraka na vya muda mrefu, Kun kila dalili Watanzania

Kutokujua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi na kila mtanzania kuona kama tunapotea njia na uelekeo.​

 
Mbunge wa Mbeya mjini Dr Tulia Ackson amesema kuna mkanganyiko mkubwa kati ya Ilani ya uchaguzi ya CCM na bajeti ya wizara ya Ujenzi kuhusu Ujenzi wa barabara ya Tanzam.

Ilani inasema upembuzi yakinifu umekamilika lakini waziri katika bajeti yake anasema upembuzi yakinifu utafafanyika mwaka ujao wa fedha, sasa tumwamini nani CCM au Serikali? Anauliza Dr Tulia ambaye pia ni naibu Spika wa bunge.

Chanzo: Bungeni
Wabunge wa Mbeya /Songwe wakomalie hii miundo mbinu ya mikoa hii.
Ukitoka pale Igawa kuelekea Mbeya barabra ni mbaya mbaya mno, unaweza hata kupoteza rim ya gari na kuingia korongo(Igawa-Mbeya ni 100km na Mbeya-Tunduma ni ~100km)

Mkapa hakuwahi kukarabati
Kikwete hakuwahi kukarabati.
Mwendazake alikuwa busy na fly over ya Busisi kwenda kwao.

Ni wakati kudai barabara hii na nyingine Mkoani Mbeya /Songwe zijengwe, tumenyanyapaliwa mno.
 
Wabunge wa Mbeya /Songwe wakomalie hii miundo mbinu ya mikoa hii.
Ukitoka pale Igawa kuelekea Mbeya barabra i mbaya mbya mno, unaweza hata kupoteza rim ya gari na kuingia korongo.
Mkapa hakuwahi kukarabati
Kikwete hakuwahi kukarabati.
Mwendazake alikuwa busy na fly over ya Busisi kwenda kwao.

Ni wakati kudai barabara hii na nyingine Mkoani Mbeya /Songwe zijengwe, tumenyanyapaliwa mno.
Serikali imekusikia bwashee!
 
Upinzani mbaya sana. Kuna nchi ya kiafrika rais aling'oa reli inayoenda kwa wapinzani ili kuwakomoa. Sasa jiwe kaishia kupanua barabara Igawa ili kukomoa watu wa Mbeya na ile barabara ni ya kimataifa?
 
Upinzani mbaya sana. Kuna nchi ya kiafrika rais aling'oa reli inayoenda kwa wapinzani ili kuwakomoa. Sasa jiwe kaishia kupanua barabara Igawa ili kukomoa watu wa Mbeya na ile barabara ni ya kimataifa?
Hivi lachi za taifa aliye zihujumu ni nani ?
 
Hilo suala la hiyo Barbara huwa linaniumiza sana. Kiongozi anaamua tu kwamba sitaki hii Barabara ipite Mbeya basis
Ndiyo tumjue Mwendazake kwa ubaya wake, roho yake isiyo nzuri kwa watu wa Mbeya.
Hata tulipomzomea mtu wake Chalamamila majuzi, ni kwa vile alikuwa anamshabikia kam baba yake lakini mkoa unaumia.
 
Mbunge wa Mbeya mjini Dr Tulia Ackson amesema kuna mkanganyiko mkubwa kati ya Ilani ya uchaguzi ya CCM na bajeti ya wizara ya Ujenzi kuhusu Ujenzi wa barabara ya Tanzam.

Ilani inasema upembuzi yakinifu umekamilika lakini waziri katika bajeti yake anasema upembuzi yakinifu utafafanyika mwaka ujao wa fedha, sasa tumwamini nani CCM au Serikali? Anauliza Dr Tulia ambaye pia ni naibu Spika wa bunge.

Chanzo: Bungeni

Matapeli bana huwa wana tabia ya kujichanganya sana. Serikali ni matapeli, na ccm wazee wa ilani ya kurasa 300 nao ni matapeli. Sasa wameanza kushikana uchawi.
 
Back
Top Bottom