johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mbunge wa Mbeya mjini Dr Tulia Ackson amesema kuna mkanganyiko mkubwa kati ya Ilani ya uchaguzi ya CCM na bajeti ya wizara ya Ujenzi kuhusu Ujenzi wa barabara ya Tanzam.
Ilani inasema upembuzi yakinifu umekamilika lakini waziri katika bajeti yake anasema upembuzi yakinifu utafafanyika mwaka ujao wa fedha, sasa tumwamini nani CCM au Serikali? Anauliza Dr Tulia ambaye pia ni naibu Spika wa bunge.
Chanzo: Bungeni
Ilani inasema upembuzi yakinifu umekamilika lakini waziri katika bajeti yake anasema upembuzi yakinifu utafafanyika mwaka ujao wa fedha, sasa tumwamini nani CCM au Serikali? Anauliza Dr Tulia ambaye pia ni naibu Spika wa bunge.
Chanzo: Bungeni