Mbona una akili finyu, wazee wa Tabora wenye uzalendo mkubwa kwani walikuwepo IPU Geneva?
Wamepima upepo na kuelewa kuwa huko alikokuwa Dr Tulia kafanya lile limpasavyo kufanya kwa uzalendo, kana mtanzania.
Ninyi mnaotweta kwa kuogopa kufutiwa misaada ya condom na ARV mtabaki kuwa na fikra za kimasikini.