Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Kama wamepima upepo wakawa na "uzalendo mkubwa" kwa nini uone mimi niliyepima upepo pia "niwe na akili finyu"? Cheki vizuri criteria unayotumia kupima upepo, labda inakupotosha usione sawasawa. After all, kama una mihemko huwezi kupima vizuri mpaka uwe sober.
 
Mpaka wazee wa Tabora wawasitukie wazungu, wewe "uliyesoma" hujui hata kama unadhalilishwa na wazungu basi ujue iko siku utaosha chupi za wazungu.
 
Mpaka wazee wa Tabora wawasitukie wazungu, wewe "uliyesoma" hujui hata kama unadhalilishwa na wazungu basi ujue iko siku utaosha chupi za wazungu.
Aina yako hiyo ya reasoning haifanyi kazi. Kama wana hiyo busara unayoisema, wameshindwaje kutoa ushauri nchi yetu ikawa na maendeleo makubwa, maana tangu mwaka 1972 bado iko kwenye orodha ya nchi maskini zaidi duniani (kwa mujibu wa taarifa ya Umoja wa Mataifa ya mwaka huu)? Hiyo busara iko tu kuwaona wazungu wabaya, lakini haisaidii kuiondoa nchi kutoka kwenye dimbwi la umaskini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…