Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Hahaha nobody cares na huo ujinga wa nonsense organization's kama hizo, ni nchi maskini tuu ndio wanachukulia serious maana ndio wanapopatia posho, hata Magufuli alishtukia huo ujinga akaacha kupoteza muda kusafiri kuhudhuria hii mikutano ambayo ni useless
Sio kweli, hizo organizations zimejaa wazungu wengi tu. Hao wawakilishi wa Lithuania, Ukraine na Russia wanawakilisha mataifa hayo makubwa na wamo humo.

Magufuli alikuwa mwepesi sana kwenye masuala ya kidiplomasia, alitanguliza ujivuni katika mahusiano na mataifa makubwa pengine ikiwa ni kinga ya kutojihusisha nao kwenye masuala mengi, na wakati huo huo tukaendelea kutengwa na mashirika pamoja na taasisi mbalimbali.
 
Sio kweli, hizo organizations zimejaa wazungu wengi tu. Hao wawakilishi wa Lithuania, Ukraine na Russia wanawakilisha mataifa hayo makubwa na wamo humo.

Magufuli alikuwa mwepesi sana kwenye masuala ya kidiplomasia, alitanguliza ujivuni katika mahusiano na mataifa makubwa pengine ikiwa ni kinga ya kutojihusisha nao kwenye masuala mengi, na wakati huo huo tukaendelea kutengwa na mashirika pamoja na taasisi mbalimbali.
Ukiongelea mataifa yaliyoendelea usitaje Russia au Ukraine, ukiona wazungu kwenye hizo organization wengi ni recent graduates waliojitolea na CIA😂😩
 
Yule jamaa alisema hiyo ilikuwa Kingereza kitupu,wewe unafikiri kwanini asingesema ratiba iliingiliana siku ile tulipanga kwenda Ukraine wenyeji wetu walikuwa New York ikabidi tuende Moscow.Fulstop
90% hata alichosema Tulia hawakumelewa, wakaanza kuangaliana wengine wakaanza kuulizana “ kasema nini?” (What she said?). Wakapata jibu. Waliompigia kura safari hii watafanya googling (google).
 
Afrika imezizima Cairo mpaka Cape Town tunabubujikwa na machozi ya furaha kwa kuinuliwa. Sasa dunia inatuheshimu
 
Parliamentary AffairsPolitics

Deputy Speaker of Nigerian House of Representatives Backs Tanzania’s Dr. Tulia Ackson for IPU Presidency African Institutions Support Group Writer July 23, 2023
Ni mabeberu tu na CHADEMA ndio hawamsapoti Dr Tulia
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=kMc6CYfZzZE
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.

Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.

Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzania iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!

Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin



Haha lazima utafute angle ya kusifia Tu

Sasa pale kajibu kibabe?

Ile tone si hata Dodoma anaitumia au Kwa vile kaongea Kwa kizungu

Katoa maelezo marahisi kabisa
 
Haha lazima utafute angle ya kusifia Tu

Sasa pale kajibu kibabe?

Ile tone si hata Dodoma anaitumia au Kwa vile kaongea Kwa kizungu

Katoa maelezo marahisi kabisa
Wazee wansojielewa na wazalendo huko Tabora, wamempogeza Dr Tulia kwa kusapa wazungu vidonge vyao.
ITV saa mbili.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=kMc6CYfZzZE
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.

Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.

Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzania iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!

Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Unachokisema ni sawa na mtu anayejitekenya na kucheka mwenyewe. Unakumbuka wimbo unaosema "mazoea eh, yana tabu..." Intelligent/smart/critical thinkers wanachotaka ni reasoning yako and your art of persuasion. Kufoka ni kuonyesha tu kwamba bado kabisa unavutwa na mazoea (mambo uliyozoea kufanya), na ndivyo nilivyoona mimi. Alitakiwa tu ajenge hoja akiwa sober, lakini alionyesha ali'panic' na kuongea kwa ukali as if anawafokea watoto. Katika muktadha huo kumpa credit ni kutojitendea haki mwenyewe na kutomtendea yeye haki pia kwa sababu unamweka mahali ambapo hastahili kuwa.
 
chama cha mapinduzi ni shule mujarabu ya kuwapika viongozi uliza mtu yoyote afrika
 
Kwa majibu yale au mihemukk ile sidhani kama anaweza kufikiriwa kwa post za kimataifa huko mbeleni na hilo bunge kwake ulikuwa ni mtaji wa mashirika ya kimataifa lkn kwa yale anayeweza kumpa nafasi nyingine ya kimataifa atakuwa ana matatizo makubwa..NI AIBU
 
Afrika imezizima Cairo mpaka Cape Town tunabubujikwa na machozi ya furaha kwa kuinuliwa. Sasa dunia inatuheshimu
Dunia gani hiyo inayokuheshimu? Ku',panic' nako kunamfanya mtu aheshimiwe kweli au kuonewa huruma?
 
Hahaha! Sawa bwana, jitekenye na kucheka mwenyewe.
Mbona una akili finyu, wazee wa Tabora wenye uzalendo mkubwa kwani walikuwepo IPU Geneva?
Wamepima upepo na kuelewa kuwa huko alikokuwa Dr Tulia kafanya lile limpasavyo kufanya kwa uzalendo, kana mtanzania.
Ninyi mnaotweta kwa kuogopa kufutiwa misaada ya condom na ARV mtabaki kuwa na fikra za kimasikini.
 
Back
Top Bottom