Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Mwalimu Via Heathrow Airport from USA to Dsm, aliwakuta waandishi wa habari hapo. Wakamuuliza "je utakwenda kumuona PM lkulu?"
Akasema haendi.
Wakomwongeza swali "Lakini kutoka Heathrow hadi lkulu si mbali mbona?"
Akawajibu wale wazungu kuwa....hata kutoka lkulu hadi hapa (Heathrow) si mbali.
Mwalimu kamwe hakumwogopa Mzungu. Aliwanyoosha kweli kweli.
Nimemuona Nyerere katika umbo la kijana Tulia Ackson Mwansasu. Big up sanaaa.
Hakika amewanyorosha.
Hiyo strategic body movement vijana wa sasa hawaioni kabisa.
 
Mpaka maiti za watu mnataka zitambulishwe kwa vyama?. Inamsaidia nini marehemu na familia yake?.
Sijasema maiti zitambuliwe kichama bali wajulikane waliouwawa na sababu za wao kuuwawa

Ukisoma Universal Declaration of Human Rights , inaeleza haki ya kuishi hivyo kama watu wanaondolewa haki hii ni kinyume na haki za binadamu.
Sio kila kitu kitazamwe kwenye mtazamo wa kisiasa, kwa akili hizi nakubaliana na wale wanaoamini kuwa hii demokrasia sio kwa ajili ya waafrika, ni tamaduni tumeziiga kwa wengine na hatuziwezi.
Demokrasia sio kwa ajili ya Africa hivyo udikteta ndio msingi sahihi wa uongozi kwa Africa?

Kwahiyo unaunga mkono mauaji na utekaji?

Katika misingi ya kidemokrasia kuna taratibu za kufuata kwa mtu aliyekiuka , ila kwa udikteta ni amri moja tu mtu atatekwa na kuuliwa.
 
Kwamba amekutuma uje kuandika huu ujinga wako hapa! huyo amefanya nini cha maana? shame on you

Kwenye vikao tu kwenu hua unatumika kutuliza kelele watoto wa ndg zako pindi ndgzo wakiwa kikaoni

Utaona nini cha maana alichowafanyia wananchi dr Tulia..
 
Mwenzio zamani kabla sijaenda ng’ambo nilikuwa najivunia sana utanzania kama wewe. Ila baadaye hata kujiita mtu wa hiyo nchi nikafuta. Ukijiita mtu wa nchi hiyo hata dili hupati.

Wewe kalaga baho
Miaka ya Mwalimu tukisafiri nchi yoyote duniani kulikuwa hakuna visa. Nyie kizazi cha wabeba madawa ya kulevya na mnaohamia kiharamu nchi nyingine lazima mtiliwe mashaka.
 
Sema amewainua wajinga, punguani na machawa wa Tanzania.

Lakini wenye akili wote wanajua aliidhalilisha nafsi yake mwenyewe, maana hayupo huko kumwakilisha mtanzania yeyote.

Kwa mtu mwenye akili, ukiulizwa swali unatakiwa ujibu kwaa ufasaha na hekima, siyo kufoka au kwa hasira.

Tulia, katika kujibu kwake swali aliloulizwa, alionesha namna alivyokosa busara na hekima. Kwake, kuulizwa swali, anaona kuwa ni ugomvi. Amezoea ujinga wa kiCCM, ambao mtu akihoji au kukosoa, anakuwa adui anayestahili kutekwa na kuuawa.

Kwa jinsi alivyoshindwa kutumia hekima, wabunge wa bunge hilo, wakiona ni vema, kwa kupitia taratibu zao, wamwondoe Tulia kwenye hiyo nafasi. Yeye amezoea kuongoza Bunge bandia, la asante Samia. Hakuna maswali, hakuna kukosoa wala kuwajibishana. Huko ambako watu wana uhuru wa kufikiri, kuhoji, na kukosoa, Tulia hawezi kuwafaa.
Kule kakutana na watu wenye fikra huru sio kama za pale chamwino ambako ni kusanyiko la machawa.
 
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzia iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!

Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Kweli kabisa ndio jeuri ya MTZ hiyo. Hata mimi nilishawanyoosha wazungu huko Ireland walitaka kuniletea ujinga na ubaguzi wa kikoloni niliwapa vidonge vyao wananiheshimu mpaka leo! Tusiwe kama Wakenya kujikombakomba tu kwa mabeberu.
 
Anainua waafrica wenzie huku kwao kunaungua?

Huyo dada alikataa watu kujadili matukio ya utekaji huku watu wakizidi kutekwa na kuuwawa na Samia akiongezea kwa kumpa kichwa eti ni "vijidrama" .

Leo ni siku ya 37 uchunguzi wa kifo cha mzee Kibao hauna majibu.

Siku ya 60 tangu Deusdedith Soka alipoitwa kituo cha polisi na hadi leo hajulikani alipo.

Hafai kuwa mfano bora wa kiongozi.

Charity begins at home.
View attachment 3128674
Akili yako ya kitoto sana tunaongelea issue ya kimataifa wewe uko local. Kwa hiyo wewe unaona Mh. TULIA hajajibu vizuri huko majuu? Pezuka basi kiakili mkuu wakati mwingine fikiri out of the box. Dunia nzima inampongeza wewe una diss na issue zako za kitoto toto tu.

Some comments hapo chini kwenye hiyo link


View: https://youtu.be/kMc6CYfZzZE?feature=shared
 
Akili yako ya kitoto sana tunaongelea issue ya kimataifa wewe uko local. Kwa hiyo wewe unaona Mh. TULIA hajajibu vizuri huko majuu? Pezuka basi kiakili mkuu wakati mwingine fikiri out of the box. Dunia nzima inampongeza wewe una diss na issue zako za kitoto toto tu.

Some comments hapo chini kwenye hiyo link


View: https://youtu.be/kMc6CYfZzZE?feature=shared

Sioni haja ya kujadiliana na wewe kama umeona nina akili ya kitoto na umeshindwa kuelewa hoja nyepesi maana kama anashindwa kuyajenga ya kwake ya majuu atayaweza?
 
Akili yako ya kitoto sana tunaongelea issue ya kimataifa wewe uko local. Kwa hiyo wewe unaona Mh. TULIA hajajibu vizuri huko majuu? Pezuka basi kiakili mkuu wakati mwingine fikiri out of the box. Dunia nzima inampongeza wewe una diss na issue zako za kitoto toto tu.

Some comments hapo chini kwenye hiyo link


View: https://youtu.be/kMc6CYfZzZE?feature=shared

Akili yako ya kitoto sana tunaongelea issue ya kimataifa wewe uko local. Kwa hiyo wewe unaona Mh. TULIA hajajibu vizuri huko majuu? Pezuka basi kiakili mkuu wakati mwingine fikiri out of the box. Dunia nzima inampongeza wewe una diss na issue zako za kitoto toto tu.

Some comments hapo chini kwenye hiyo link


View: https://youtu.be/kMc6CYfZzZE?feature=shared

Naitumia hii clip yako mkuu, kwenye mada tangulizi.
Hata wazungu wameukubali moto wa Tulia!
 
Hiyo tulia katudhalilisha sana watanzania tunaojitambua.
Yule jamaa alisema hiyo ilikuwa Kingereza kitupu,wewe unafikiri kwanini asingesema ratiba iliingiliana siku ile tulipanga kwenda Ukraine wenyeji wetu walikuwa New York ikabidi tuende Moscow.Fulstop
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=kMc6CYfZzZE
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzania iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!

Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Tumeaibishwa tena kwa mara nyingine.
 

View: https://www.youtube.com/watch?v=kMc6CYfZzZE
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzania iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!

Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Hao shut up ndio wanamlipa posho....alizokimbilia...ndio hao wata bote her out.....umasikini ni shida.....wakisema nchi yako ikulipe posho na gharama zote atajiuzuru kesho asubuhi......
 
Masopakyindi umri wako utakuwa ni mkubwa. Tofauti na hawa watoto wanaozaliwa na sehemu ya kwanza kupelekwa na wazazi ni pale Mlimani City kununuliwa Iphone 14.

Jeuri ya Mwalimu Nyerere ya kuwajibu wazungu wanaoleta dharau kwa ngozi ya kiongozi anayeongea mbele ya kipaza sauti inakuja wakati mhusika akiwa na elimu ya kutosha pamoja na upeo mpana.
Hakuna anayejali Tulia kaongea nini, ni useless Organization, acha atafute posho za safari na vikao
 
Kuna watu hasa wale waandamanaji, wanajipeleka ulaya kinyonge na kutegemea kufadhiliwa,.
Ukiwa na unyonge wa moyo na ni tegemezi, huwezi ongea kama Dr Tulia alivyoongea.
Kwamba tz si tegemez huyo mwnyw anapata mshahara kwa utegemez
 
Back
Top Bottom