Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kizazi kilichopo ni kile kinachomjua Mbowe tu kama baba yao!!!Masopakyindi umri wako utakuwa ni mkubwa. Tofauti na hawa watoto wanaozaliwa na sehemu ya kwanza kupelekwa na wazazi ni pale Mlimani City kununuliwa Iphone 14.
Jeuri ya Mwalimu Nyerere ya kuwajibu wazungu wanaoleta dharau kwa ngozi ya kiongozi anayeongea mbele ya kipaza sauti inakuja wakati mhusika akiwa na elimu ya kutosha pamoja na upeo mpana.
Hilo deni lipo kabatini!Deni la taifa lipoje sahivi?
Ulimuuliza kwanini alikataa mjadala usiendelee bungeni?. Kuna kanuni na miongozo inayoongoza shughuli za bunge sio kiongozi kupelekeshwa kwa hisia tu za huruma.Anainua waafrica wenzie huku kwao kunaungua!
Huyo dada alikataa watu kujadili matukio ya utekaji huku watu wakizidi kutekwa na kuuwawa.
Hafai kuwa mfano bora wa kiongozi.
Charity begins at home.
View attachment 3128674
Sema amewainua wajinga, punguani na machawa wa Tanzania.Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.
Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzia iliyopotea miaka mingi.
Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!!
Wewe nadhani kichwani kuna shida. Kuna.mtu anaenda Ulaya mara nyingi zaidi ya Rais wetu? Au umeamua kumtukana?Nyie ndo mtajipeleka ulaya kulamba viatu.
Actually,Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.
Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzia iliyopotea miaka mingi.
Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!
Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Wajinga na punguani wanaamini nafasi ya uongozi inakupa nafasi ya kurusha vijembe. Ni kiongozi taahiri anayeweza kuona vijembe vinamwongezea heshima.Swali lilijibiwa ipasavyo na kijembe juu-tuheshimiane bana!
Toa factRoho mbaya tu
Lakini tunalipa bara Zanzibar hawalipi hata senti 5Hilo deni lipo kabatini!
Toa fact acha kueneza ujingaRoho mbaya inakutesa wewe na wote wenye akili kama za kwako.
Fact huwa tatizo upande wako mkuu Benjamin. Dunia nzima inamuunga mkono huyu dada kwa namna alivyojibu isipokuwa wewe na wa aina yako.Toa fact acha kueneza ujinga
Sampling yako nini?Fact huwa tatizo upande wako mkuu Benjamin. Dunia nzima inamuunga mkono huyu dada kwa namna alivyojibu isipokuwa wewe na wa aina yako.
Wajumbe 1500 waliomo mle ndani asilimia kubwa ndio walimpigia kura ya kuwa spika wa IPU, ni nafasi kubwa sana tatizo letu wabongo ni negativities za kipuuzi.Sampling yako nini?
mfano wa hayo mataifa ni yapi mkuu nami nijuenyoyo za mataifa mengi sana duniani.
Huyo na wazungu ni kama chupi na kalio ...Ndoto zake akaishi Marekani ndio ndugu zake .Fact huwa tatizo upande wako mkuu Benjamin. Dunia nzima inamuunga mkono huyu dada kwa namna alivyojibu isipokuwa wewe na wa aina yako.
Yote tu kutoka bara Asia, Africa, ulaya kwenyewe na kwingineko duniania na ndio maana makofi ya kongole yalilipuka kwa nguvu mno mjengoni 🐒mfano wa hayo mataifa ni yapi mkuu nami nijue