Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Dkt. Tulia Ackson umetuinua Waafrika na kuwaonyesha watu wa mabara mengine kuwa Mtanzania si wa kumchezea

Anainua waafrica wenzie huku kwao kunaungua?

Huyo dada alikataa watu kujadili matukio ya utekaji huku watu wakizidi kutekwa na kuuwawa na Samia akiongezea kwa kumpa kichwa eti ni "vijidrama" .

Leo ni siku ya 37 uchunguzi wa kifo cha mzee Kibao hauna majibu.

Siku ya 60 tangu Deusdedith Soka alipoitwa kituo cha polisi na hadi leo hajulikani alipo.

Hafai kuwa mfano bora wa kiongozi.

Charity begins at home.
GXH-Q0XXIAEIUxC.jpg
 
Masopakyindi umri wako utakuwa ni mkubwa. Tofauti na hawa watoto wanaozaliwa na sehemu ya kwanza kupelekwa na wazazi ni pale Mlimani City kununuliwa Iphone 14.

Jeuri ya Mwalimu Nyerere ya kuwajibu wazungu wanaoleta dharau kwa ngozi ya kiongozi anayeongea mbele ya kipaza sauti inakuja wakati mhusika akiwa na elimu ya kutosha pamoja na upeo mpana.
Mkuu kizazi kilichopo ni kile kinachomjua Mbowe tu kama baba yao!!!
 
Anainua waafrica wenzie huku kwao kunaungua!

Huyo dada alikataa watu kujadili matukio ya utekaji huku watu wakizidi kutekwa na kuuwawa.

Hafai kuwa mfano bora wa kiongozi.

Charity begins at home.
View attachment 3128674
Ulimuuliza kwanini alikataa mjadala usiendelee bungeni?. Kuna kanuni na miongozo inayoongoza shughuli za bunge sio kiongozi kupelekeshwa kwa hisia tu za huruma.
 
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzia iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!!
Sema amewainua wajinga, punguani na machawa wa Tanzania.

Lakini wenye akili wote wanajua aliidhalilisha nafsi yake mwenyewe, maana hayupo huko kumwakilisha mtanzania yeyote.

Kwa mtu mwenye akili, ukiulizwa swali unatakiwa ujibu kwaa ufasaha na hekima, siyo kufoka au kwa hasira.

Tulia, katika kujibu kwake swali aliloulizwa, alionesha namna alivyokosa busara na hekima. Kwake, kuulizwa swali, anaona kuwa ni ugomvi. Amezoea ujinga wa kiCCM, ambao mtu akihoji au kukosoa, anakuwa adui anayestahili kutekwa na kuuawa.

Kwa jinsi alivyoshindwa kutumia hekima, wabunge wa bunge hilo, wakiona ni vema, kwa kupitia taratibu zao, wamwondoe Tulia kwenye hiyo nafasi. Yeye amezoea kuongoza Bunge bandia, la asante Samia. Hakuna maswali, hakuna kukosoa wala kuwajibishana. Huko ambako watu wana uhuru wa kufikiri, kuhoji, na kukosoa, Tulia hawezi kuwafaa.
 
Nikifikiri kizazi cha watanzania wenye jeuri ya nchi yao kiliishia na Mwalimu Nyerere.
Wakati wa Mwalimu, hakuna mwanasiasa wa nje ambaye alikuwa hajitayarishi vilivyo kuongea na mwanadiplomasia wa Tanzania.
Wanadiplomasia wabobevu kama Mzee Mahiga kizazi hicho kilicho pikwa na Mwalimu kimepotea kabisa.

Dr Tulia karudisha heshima ya kujibu hoja kibabe na kujiamini akiwa anajibu ana kwa ana.
Hii ndiyo jeuri ya mtanzia iliyopotea miaka mingi.

Akiwajibu wale wazungu waliohoji kapata wapi kibali cha kuongea na Putin wa Urusi, kimsingi Dr Tulia kawaambia tuheshimiane, hunipangii pa kwenda alimradi nilitaka kuja kwako hukunikaribisha-tuheshimiane!!
Mzungu akalewa za uso!

Pia soma: Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin
Actually,
Powerful IPU president Dr Tulia Akson amekonga nyoyo za mataifa mengi sana duniani. Apongezwa kwa ujasiri na ushupavu wake katika kuiongoza IPU na mijadala mbali mbali 🐒
 
Swali lilijibiwa ipasavyo na kijembe juu-tuheshimiane bana!
Wajinga na punguani wanaamini nafasi ya uongozi inakupa nafasi ya kurusha vijembe. Ni kiongozi taahiri anayeweza kuona vijembe vinamwongezea heshima.

Lile siyo bunge bandia la CCM. Tulia amewaabisha waafrika wote, na kudhihirisha maneno ya Trump, "Africa needs to be recolonized".
 
Back
Top Bottom