Dkt. Tulia aitetemesha Mbeya. Atua kijeshi na ndege ya Jeshi

Naona unajitekenya na kujichekesha mwenyewe tu kama kichaa tu. Maana unaongea vitu vya uongo uongo tu .eti wanafunzi walisomewa.hivi upo sawa kweli kichwani mwako? Walisombwa kutoka shule ipi?
Kutoka shule ya Msingi Vwawa pamoja na Mbozi. Hata wewe nimekuona ukichukuliwa na kupakiwa kwenye roli toka Mbozi ukashushwa uwanjani umevaa fulana imeandikwa Tulia Trust.
 
Kutoka shule ya Msingi Vwawa pamoja na Mbozi. Hata wewe nimekuona ukichukuliwa na kupakiwa kwenye roli toka Mbozi ukashushwa uwanjani umevaa fulana imeandikwa Tulia Trust.
Acha uongo wako hapa wewe.Dr Tulia ni kipenzi cha wanambeya ndio maana watu wamemiminika kwa kishindo kumlaki na kumpokea mtoto wao kipenzi aliyewaheshimisha na kulipatia heshima Taifa
 
Taifa langu ninaangamia kwakutojua vipaumbele vyake
 
"misiri" = mithili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…