Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia aitikisa Mbeya mjini akichukua fomu, CHADEMA wahaha

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia aitikisa Mbeya mjini akichukua fomu, CHADEMA wahaha

Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!

Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.

[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]Eli Tege dah...you made my evening
 
Kwenye hiyo motorcade kuna STL/STK/SU ngapi? Tayari hiyo ni disqualification ya candidacy. A lawyer who does not know law is a liability. Hatumuhitaji. Arudi tu kwenye mipasho kuwa Dela bila msambwata halinogi.
Hii kitu hata mimi imenishangaza. Iutumia mali za serikali kwenye isdue za chama.
Hivi hakuona hata JPM alitoa namba kwenye yale magari? Hata walinzi walijifanya sio watumishi wa umma waka vaa vitenge
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!

Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.

[/QUO
TE]
Hiyo edit braza, halafu naona kjan tu, hiv wanapewa bado nguo kumbe??
Twaweza,60% wasio na elimu wanaipenda ccm
 
Lumumba mna tabu na hamjielewi kabisaa,lissu akikusanya nyomi mnaishia kusema hao wote sio wapiga kura ila ni vijana tuu wa mtaani walokuja kumshangaa, nyomi hiyohiyo akikusanya betina mnaishia kudai chadema itafutika kwenye ramani. Hamueleweki na hamjielewi.

Ahaaaa ahaaaa, wakati huo huo Lissu akiongea na watu wanasema atakatwa kwa kuanza kampeni mapema! Katika majimbo ambayo kutakuwa na umwagikaji wa damu ni hilo jimbo la Mbeya iwapo wapinzani watahakikisha mgombea halali anatangazwa.
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!

Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.

aya sio maandamano mbona sisi tuliopo mbeya atukutikisika wala kusimama ata kustuka pia
 
Ahaaaa ahaaaa, wakati huo huo Lissu akiongea na watu wanasema atakatwa kwa kuanza kampeni mapema! Katika majimbo ambayo kutakuwa na umwagikaji wa damu ni hilo jimbo la Mbeya iwapo wapinzani watahakikisha mgombea halali anatangazwa.
Mmeo ndiyo atamwaga hiyo damu
 
Jana nilikuwa mahali na mtumishi mmoja wa serikali , akaniambia anajuta kumpigia kura Magufuli ile 2015.

Nikamwambia awe mpole, mambo mazuri yanakuja huko mbele.
Hakuna dalili hio kwa Upendo upi alionao kwa wanadamu furaha yake ni kuona machozi ya watu ili wamuabudu
 
Wewe ndio umenena, kiufupi tunawalia target tu. Mkiteleza kidogo Sugu si mgombea tena na Tulia hatokuwa na mpinzani. Vinginevyo Tulia itabidi asubiri muujiza kwenye sanduku la kura, tukishindwa mbinu zote za kimedani tutafanya figisu kama zile za uchaguzi wa marudio Kinondoni. Mbeya pagumu sana kwa bibie, angebaki Rungwe kupunguza matatizo yasiyo ya lazima.
Asubirie teuzi na Kama atarudi baba yake maana nae hatihati
 
Hakuna dalili hio kwa Upendo upi alionao kwa wanadamu furaha yake ni kuona machozi ya watu ili wamuabudu
Muwe na matumaini , magufuli ni mpenda haki amani , maendeleo na mpenda watu.

Tuendelee kumuombea asiwe na kiburi kuzidi alichonacho tayari.

Eat more fruit the slogan says.
 
Muwe na matumaini , magufuli ni mpenda haki amani , maendeleo na mpenda watu.

Tuendelee kumuombea asiwe na kiburi kuzidi alichonacho tayari.

Eat more fruit the slogan says.
Mpenda watu hakomoi watu asomeshi namba watu kwa kuwafanya masikini ili awatawale
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!

Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.

Mbona ni watu wachache sana; huo ndio mtikisiko?
 
Back
Top Bottom