Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia aitikisa Mbeya mjini akichukua fomu, CHADEMA wahaha

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia aitikisa Mbeya mjini akichukua fomu, CHADEMA wahaha

Labda katikisa nyumbani kwako mleta uzi,sisi wengine hapa Mbeya hatuoni kitu kabisa.
 
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!

Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.

Sugu alienda na watu kumi tu wakamtia ndani eti anafanya maandamano
 
Back
Top Bottom