[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23]Eli Tege dah...you made my eveningMgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!
Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.
Njoo upige kura umpigie Msaliti Lissu acha kukaa huko kwa Mabeberu tuu!!Mpango kabambe ni CCM kupita bila kupingwa
Hii kitu hata mimi imenishangaza. Iutumia mali za serikali kwenye isdue za chama.Kwenye hiyo motorcade kuna STL/STK/SU ngapi? Tayari hiyo ni disqualification ya candidacy. A lawyer who does not know law is a liability. Hatumuhitaji. Arudi tu kwenye mipasho kuwa Dela bila msambwata halinogi.
Usikonde wewe bwege halisiHayo maandamano yameruhusiwa sio. Huyo OCD atatelekeza familia. Mwambieni kuwa Mbeya sio ya kujifunzia kazi. Manina
Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!
Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.
[/QUO
TE]
Hiyo edit braza, halafu naona kjan tu, hiv wanapewa bado nguo kumbe??
Twaweza,60% wasio na elimu wanaipenda ccm
Lumumba mna tabu na hamjielewi kabisaa,lissu akikusanya nyomi mnaishia kusema hao wote sio wapiga kura ila ni vijana tuu wa mtaani walokuja kumshangaa, nyomi hiyohiyo akikusanya betina mnaishia kudai chadema itafutika kwenye ramani. Hamueleweki na hamjielewi.
aya sio maandamano mbona sisi tuliopo mbeya atukutikisika wala kusimama ata kustuka piaMgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!
Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.
Mmeo ndiyo atamwaga hiyo damuAhaaaa ahaaaa, wakati huo huo Lissu akiongea na watu wanasema atakatwa kwa kuanza kampeni mapema! Katika majimbo ambayo kutakuwa na umwagikaji wa damu ni hilo jimbo la Mbeya iwapo wapinzani watahakikisha mgombea halali anatangazwa.
Hakuna dalili hio kwa Upendo upi alionao kwa wanadamu furaha yake ni kuona machozi ya watu ili wamuabuduJana nilikuwa mahali na mtumishi mmoja wa serikali , akaniambia anajuta kumpigia kura Magufuli ile 2015.
Nikamwambia awe mpole, mambo mazuri yanakuja huko mbele.
Asubirie teuzi na Kama atarudi baba yake maana nae hatihatiWewe ndio umenena, kiufupi tunawalia target tu. Mkiteleza kidogo Sugu si mgombea tena na Tulia hatokuwa na mpinzani. Vinginevyo Tulia itabidi asubiri muujiza kwenye sanduku la kura, tukishindwa mbinu zote za kimedani tutafanya figisu kama zile za uchaguzi wa marudio Kinondoni. Mbeya pagumu sana kwa bibie, angebaki Rungwe kupunguza matatizo yasiyo ya lazima.
Muwe na matumaini , magufuli ni mpenda haki amani , maendeleo na mpenda watu.Hakuna dalili hio kwa Upendo upi alionao kwa wanadamu furaha yake ni kuona machozi ya watu ili wamuabudu
Hatutaki wanaojaribu uongoziMuwe na matumaini , magufuli ni mpenda haki amani , maendeleo na mpenda watu.
Tuendelee kumuombea asiwe na kiburi kuzidi alichonacho tayari.
Eat more fruit the slogan says.
Mpenda watu hakomoi watu asomeshi namba watu kwa kuwafanya masikini ili awatawaleMuwe na matumaini , magufuli ni mpenda haki amani , maendeleo na mpenda watu.
Tuendelee kumuombea asiwe na kiburi kuzidi alichonacho tayari.
Eat more fruit the slogan says.
Hata sokoine aliukimbikiza upepo kwa kuwanyoosha watu siku hizi anasomwa kwenye vitabu vya historia tuUtanyooka tu
Mbona ni watu wachache sana; huo ndio mtikisiko?Mgombea ubunge wa jimbo la Mbeya Mjini Dkt. Tulia Mwansasu amechukua fomu ya kugombea ubunge huku akisindikizwa na maelfu ya wananchi wengi kuliko walioenda kwenye udhamini wa mgombea urais kupitia Chadema Tundu Lissu!
Hiki kishindo cha uchukuaji fomu ni salamu tosha kwa Sugu na CHADEMA kwa ujumla kwamba wajiandae kustaafu na kwenda kufagia kwenye hotel yao ya Desideria.
Kwa Sungu huyu mama lazima ataenda periodHayo maandamano yameruhusiwa sio. Huyo OCD atatelekeza familia. Mwambieni kuwa Mbeya sio ya kujifunzia kazi.
Vipi! Umepatwa na ugonjwa wa akili? Watu hao ni kama idadi ya wakazi wa nyumba kumi tu.Mtanyooka tu