Mbombo ngafu mwanaflaleChini ya ufundi makini wa Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Aiseee Bonge la Bungalow sio mchezo BETINA Ametisha!!Chini ya ufundi makini wa Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Wacha weeee !!Chini ya ufundi makini wa Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Hii ndio double standard ya CCM, mbona Kigwa nasikia kagawa tu baskeli kadhaa tu TakoKURU wakamshukia kama mwewe? CCM ina wenyewe...Sugu aende akasaini msondo ngoma tu,ubunge kwa heri
Dada msomi anatosha
Dah umenikumbush enzi za Betina na Zena, Ila Zena alikua Sistaduu kinyama, yuko na Raba na Pedopusha moja matata na fulana moja hiviBETINA Ametisha!!
Hii ndio double standard ya CCM, mbona Kigwa nasikia kagawa tu baskeli kadhaa tu TakoKURU wakamshukia kama mwewe? CCM ina wenyewe...
Tuli-pakumpa alisha malizaga katika yale mazishi makubwa ya kuizika ChademaChini ya ufundi makini wa Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Hahaha long time sana!!Dah umenikumbush enzi za Betina na Zena, Ila Zena alikua Sistaduu kinyama, yuko na Raba na Pedopusha moja matata na fulana moja hivi